nyerere day

Public holidays in Tanzania are in accordance with the Public Holidays Ordinance (Amended) Act, 1966 and are observed throughout the nation.

View More On Wikipedia.org
  1. Mohamed Said

    Nyerere Day 2022: Special branch na tasjila ya TANU

  2. Mohamed Said

    Uchaguzi wa TAA Arnautoglo Hall 1953

    Uchaguzi wa TAA Arnautoglo Hall 1953
  3. Mohamed Said

    Nyerere Day 2022: Mwalimu na Edouard Masengo 1958

    NYERERE DAY 2022: EDOUARD MASSENGO ALIPOKUTANA NA JULIUS KAMBARAGE NYERERE Jioni hii rafiki yangu moja kutoka Ulaya kanipitia kunijua hali na kaniletea CD ya muziki wa Edouard Masengo na Mwenda Jean Bosco. Ikawa kanikumbusha kuwa Masengo alipata kuja Dar es Salaam wakati akiwa katika kilele...
  4. Abdul Nondo

    Siku ya kumbukumbu ya Nyerere isifungamanishwe na siku ya Mwenge

    Ushauri wangu kwa viongozi wa serikali na mamlaka ya serikali walione hili. Mimi najiuliza kwanini sherehe za kilele cha Mbio za Mwenge wa uhuru zifungamanishwe na siku ya kumbukumbu ya Baba wa Taifa tar 14 Oktoba? Mimi nashauri hizi siku zitenganishwe sababu sherehe ya mwenge...
  5. Mohamed Said

    Nyerere Day: Julius Nyerere, Dossa Aziz na Ujenzi wa Chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam 1958

    NYERERE DAY: MWALIMU NYERERE NA DOSSA AZIZ WALIPOKUBALIANA KUJENGA CHUO KIKUU WAKIWA WAMEEGESHA GARI MLIMANI Viongozi wa TANU walikuwa na kawaida wakimaliza mkutano wa hadhara Mnazi Mmoja watakatiza barabara kwa miguu kuja Princess Hotel wakafanya tathmini ya mkutano, kula chakula na kunywa...
  6. Mohamed Said

    Nyerere Day StBongo TV

    Nyerere Day STBONGO TV STARTIMES NYERERE DAY 2022 KEVIN LAMECK NA MOHAMED SAID Kipindi kitarushwa saa tatu kamili asubuhi leo na marudio ni saa nne kamili usiku.
  7. Mohamed Said

    Nyerere day 2022

  8. Mohamed Said

    Stbongo Tv Nyerere Day 2022

    BONGO TV NA NYERERE DAY Kevin Lameck wa Bongo TV leo asubuhi alinitembelea nyumbani kwa nia ya kufanya kipindi cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa ajili ya Nyerere Day kesho. Bwana Kevin kanirushia maswali mazito moja akitaka kujua kama historia ya Mwalimu imekamilka...
  9. Mohamed Said

    Nyerere Day: Historia ya Baba wa Taifa kwa mukhtasari

  10. Mohamed Said

    Nyerere Day: Nyerere “Mtume” wa Afrika

  11. Mohamed Said

    Nyerere Day: Baba wa Taifa katika vitabu

  12. Rockefeller

    Kumbe tumepiga hatua kwenye ujenzi wa barabara kiwango cha lami!

    Habari za mida Watanzania wenzangu, Kumbe mwaka 1961 Tanzania nzima barabara za mkoani zilizokua katika kiwango cha lami zilikua ni tatu (3) tu! Nazo ni Dar es salaam hadi Morogoro, Korogwe hadi Tanga mjini na Moshi hadi Arusha.😳 CCM hoyeeee!😂😂 Mungu hoyeeee! Source: Tanzania, Miaka 10 baada...
  13. Mohamed Said

    Hamza Kassongo on sunday Nyerere Day miaka 22

  14. Mohamed Said

    Hamza Kassongo on sunday Nyerere day 2

    MOHAMED SAID: HAMZA KASSONGO ON SUNDAY NYERERE DAY 2 Namzungumza Mama Maria Nyerere na juhudi zake za kusaidia familia yake kujikimu baada ya Mwalimu Nyerere kuacha kazi na kuwa mtumishi wa TANU.
  15. Mohamed Said

    Hamza Kassongo Nyerere Day

  16. Mohamed Said

    Matayarisho ya Nyerere day na Hamza Kassongo on Sunday

    MATAYARISHO YA NYERERE DAY NA HAMZA KASSONGO ON SUNDAY Hamza Kassongo amenihoji historia ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na jinsi alivyoishi na marafiki zake aliojuananao siku za mwanzo alipofika Dar es Salaaam mwaka wa 1952. Nilimweleza Hamza Kassongo historia ya Mwalimu...
  17. M

    Aliyepanga na kuamua sherehe za kuzima mwenge zifanyike kwenye tarehe ya "Nyerere day" ni nani?

    Mambo mengine yanakera!! Mwenge unaweza kuzimwa siku yoyote!! Kwa nini ipangwe kuzima mwenge siku ya kumbukizi maalumu ya baba wa Taifa?? Kwa nini zipangwe shughuli zingine za kiserikali katika siku ambayo ni Public holiday iliyotengwa kama siku ya kumbukizi ya baba wa Taifa? Dhambi hii ni...
  18. Kasomi

    Nini hatima ya Nyerere Day? Lini mwisho wake?

    Huwa nakaa chini nafikiria sana juu ya Hatima yaani mwisho wa kumkumbuka au kumbukumbu ya Nyerere. Leo inatimia miaka 22 bila Mwalimu tangu alipo tutoka tarehe na mwezi kama wa leo mnamo Mwaka 1999. Maswali yangu juu ya Hatima hii leo imetimia miaka 22 pasipo kuwa na Nyerere. Je, Mwaka gani...
  19. Mohamed Said

    Nyerere Day: tuwakumbuke mashujaa hawa wawili kwa pamoja

    NYERERE DAY: TUWAKUMBUKE MASHUJAA HAWA WAWILI KWA PAMOJA ABDULWAHID KLEIST SYKES NA JULIUS KAMBARAGE NYERERE Leo tarehe 13 Oktoba ndiyo siku aliyozikwa Abdul Sykes siku ya Jumapili mwaka wa 1968. Fumba macho yako na lete picha ya Mtaa wa Lindi, Gerezani mwaka wa 1968 umma mkubwa umefurika...
  20. Mohamed Said

    Nyerere Day: Tumkumbuke Bi. Titi Mohamed na juhudi za kumtoa Jomo Kenyatta kifungoni Kapenguria

    NYERERE DAY: TUMKUMBUKE BI. TITI MOHAMED NA JUHUDI ZA KUMTOA JOMO KENYATTA KIFUNGONI KAPENGURIA Msukumo mkubwa wakati nchini Kenya ilikuwa kufanya kampeni ya nchi nzima kuwashinikiza Waingereza wamwachie huru Kenyatta aliyekuwa akichukuliwa na wananchi wote kama kiongozi na nguvu ya umoja wa...
Back
Top Bottom