mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Mambo mengine yanakera!! Mwenge unaweza kuzimwa siku yoyote!! Kwa nini ipangwe kuzima mwenge siku ya kumbukizi maalumu ya baba wa Taifa?? Kwa nini zipangwe shughuli zingine za kiserikali katika siku ambayo ni Public holiday iliyotengwa kama siku ya kumbukizi ya baba wa Taifa? Dhambi hii ni mbaya!!
Naomba ufanyike uchunguzi tumjue aliyeamua kuifunika siku hii muhimu kwa kuweka shughuli nyingine ya kitaifa ili kulipotosha Taifa juu ya umuhimu wa shughuli hii!! Nahisi kuna watu wanataka kumchafua mama katika hili na wamefanya hivyo kwa makusudi!!
Ifahamike tu kuwa jambo hili limekera!! limeudhi!! Ni tusi kwa watanzania!!
Lazima aliyehusika AWAJIBISHWE!!
Naomba ufanyike uchunguzi tumjue aliyeamua kuifunika siku hii muhimu kwa kuweka shughuli nyingine ya kitaifa ili kulipotosha Taifa juu ya umuhimu wa shughuli hii!! Nahisi kuna watu wanataka kumchafua mama katika hili na wamefanya hivyo kwa makusudi!!
Ifahamike tu kuwa jambo hili limekera!! limeudhi!! Ni tusi kwa watanzania!!
Lazima aliyehusika AWAJIBISHWE!!