Aliyepanga na kuamua sherehe za kuzima mwenge zifanyike kwenye tarehe ya "Nyerere day" ni nani?

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,663
18,037
Mambo mengine yanakera!! Mwenge unaweza kuzimwa siku yoyote!! Kwa nini ipangwe kuzima mwenge siku ya kumbukizi maalumu ya baba wa Taifa?? Kwa nini zipangwe shughuli zingine za kiserikali katika siku ambayo ni Public holiday iliyotengwa kama siku ya kumbukizi ya baba wa Taifa? Dhambi hii ni mbaya!!

Naomba ufanyike uchunguzi tumjue aliyeamua kuifunika siku hii muhimu kwa kuweka shughuli nyingine ya kitaifa ili kulipotosha Taifa juu ya umuhimu wa shughuli hii!! Nahisi kuna watu wanataka kumchafua mama katika hili na wamefanya hivyo kwa makusudi!!
Ifahamike tu kuwa jambo hili limekera!! limeudhi!! Ni tusi kwa watanzania!!

Lazima aliyehusika AWAJIBISHWE!!
 
Mambo mengine yanakera!! Mwenge unaweza kuzimwa siku yoyote!! Kwa nini ipangwe kuzima mwenge siku ya kumbukizi maalumu ya baba wa Taifa?? Kwa nini zipangwe shughuli zingine za kiserikali katika siku ambayo ni Public holiday iliyotengwa kama siku ya kumbukizi ya baba wa Taifa? Dhambi hii ni mbaya!!
Naomba ufanyike uchunguzi tumjue aliyeamua kuifunika siku hii muhimu kwa kuweka shughuli nyingine ya kitaifa ili kulipotosha Taifa juu ya umuhimu wa shughuli hii!! Nahisi kuna watu wanataka kumchafua mama katika hili na wamefanya hivyo kwa makusudi!!
Ifahamike tu kuwa jambo hili limekera!! limeudhi!! Ni tusi kwa watanzania!! Lazima aliyehusika AWAJIBISHWE!!
Wako ambao hawatakuelewa lakini Mimi binafsi nimekuelewa Sana...una hoja nzito
 
Mi nadhani nia ni nzuri ya kuenzi aliyoyafanya baba wa Taifa na ukichukulia mwenge ulibeba kwakiasi kikubwa falsafa yake. Ndomaana miaka yote kulikuwa hakuna kelele. Ila hii ya kuadhimisha kifo cha Mwl. Nyerere halafu mashada ya maua na Ibada maalum inafanyika kwenye kaburi la Magufuli ndo inaharibu ile nia njema. Bado hawajakosea sana maana wanaweza kuomba radhi na kurekebisha .
 
Kuzima mwenge Chato and siku ya Nyerere day looh . Hili lilipangwa kupeleka agenda fulani wamefanikiwa sana.
 
Hili swali kama lako nimeshajiuliza tangu niliposhuhudia kilele cha mbio za mwenge Oktoba 14, 2008 mkoani Tanga.

Jana tena nikashangaa ilipogeuka kuwa kumbukumbu ya Marais waliofariki, nikajiuliza kwanini wasitengewe siku maalum badala ya kuivamia Nyerere day?
 
Siasa ni mchezo unaohitaji akili
Hapo naona kuna watu wanapoozwa
Mjadala wa ukabila ulishika kasi mpaka viongozi baadhi wakauweka hadharani
Sasa tunaupoza kidogo halafu tunaendelea tena na mengine
 
Mambo mengine yanakera!! Mwenge unaweza kuzimwa siku yoyote!! Kwa nini ipangwe kuzima mwenge siku ya kumbukizi maalumu ya baba wa Taifa?? Kwa nini zipangwe shughuli zingine za kiserikali katika siku ambayo ni Public holiday iliyotengwa kama siku ya kumbukizi ya baba wa Taifa? Dhambi hii ni mbaya!!

Naomba ufanyike uchunguzi tumjue aliyeamua kuifunika siku hii muhimu kwa kuweka shughuli nyingine ya kitaifa ili kulipotosha Taifa juu ya umuhimu wa shughuli hii!! Nahisi kuna watu wanataka kumchafua mama katika hili na wamefanya hivyo kwa makusudi!!
Ifahamike tu kuwa jambo hili limekera!! limeudhi!! Ni tusi kwa watanzania!!

Lazima aliyehusika AWAJIBISHWE!!

Pole sana kwa kukereka

Kwani wewe huwajui wanaopanga shughuli za kitaifa?




Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
 
Mambo mengine yanakera!! Mwenge unaweza kuzimwa siku yoyote!! Kwa nini ipangwe kuzima mwenge siku ya kumbukizi maalumu ya baba wa Taifa?? Kwa nini zipangwe shughuli zingine za kiserikali katika siku ambayo ni Public holiday iliyotengwa kama siku ya kumbukizi ya baba wa Taifa? Dhambi hii ni mbaya!!

Naomba ufanyike uchunguzi tumjue aliyeamua kuifunika siku hii muhimu kwa kuweka shughuli nyingine ya kitaifa ili kulipotosha Taifa juu ya umuhimu wa shughuli hii!! Nahisi kuna watu wanataka kumchafua mama katika hili na wamefanya hivyo kwa makusudi!!
Ifahamike tu kuwa jambo hili limekera!! limeudhi!! Ni tusi kwa watanzania!!

Lazima aliyehusika AWAJIBISHWE!!
Ni Mkapa - kipenzi cha Nyerere
 
Mambo mengine yanakera!! Mwenge unaweza kuzimwa siku yoyote!! Kwa nini ipangwe kuzima mwenge siku ya kumbukizi maalumu ya baba wa Taifa?? Kwa nini zipangwe shughuli zingine za kiserikali katika siku ambayo ni Public holiday iliyotengwa kama siku ya kumbukizi ya baba wa Taifa? Dhambi hii ni mbaya!!

Naomba ufanyike uchunguzi tumjue aliyeamua kuifunika siku hii muhimu kwa kuweka shughuli nyingine ya kitaifa ili kulipotosha Taifa juu ya umuhimu wa shughuli hii!! Nahisi kuna watu wanataka kumchafua mama katika hili na wamefanya hivyo kwa makusudi!!
Ifahamike tu kuwa jambo hili limekera!! limeudhi!! Ni tusi kwa watanzania!!

Lazima aliyehusika AWAJIBISHWE!!
Kwa hili twende polepole...Mbona mwenge wenyewe ndiyo unamwenzi Hayati baba wa Taifa? Tufikirie chanya kuna mambo ambayo wala hayahitaji kushikia bango ki hivyoo, well nionavyo mimi lakini.
 
Kulalamika mpaka mnajikuta mkionekana kama wajinga fulani hivi. Ungezimiwa Butiama mngesema mbona Chato imesahauliwa!. Mdomo kuongea ni kazi nyepesi sana, fikra ya unachokiongea ndio mtihani huwa mgumu.
Ishu ni kuwa kuzima mwenge kusiingiliane kabisa na siku ya kumbukizi ya baba wa Taifa! Wangezimia huko huko chato lakini kwa tarehe tofàuti!!
 
Kwa hili twende polepole...Mbona mwenge wenyewe ndiyo unamwenzi Hayati baba wa Taifa? Tufikirie chanya kuna mambo ambayo wala hayahitaji kushikia bango ki hivyoo, well nionavyo mimi lakini.
Mwenge unafocus kwenye shughuli za maendeleo kwa sasa hususan miradj mbali mbali. Ukiongelea haya kumbukizi la mwalimu lazima liwe pembezoni!! The two should not collide on a single day!!
 
Back
Top Bottom