nondo

Nondo is a commune in the Gounghin Department of Kouritenga Province in the Centre-Est region of Burkina Faso. It had a population of 394 in 2006.

View More On Wikipedia.org
  1. Chachu Ombara

    Abdul ana nondo, asema uchaguzi serikali za mtaa haupaswi kuendelea kusimamiwa na Ofisi ya Rais - TAMISEMI

    Akizungumza na Clouds Media, Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT Wazalendo, Abdul Nondo amesema wao kama chama hawakubaliani na sheria TAMISEMI kuendelea kusimamia uchaguzi Serikali za Mitaa. Ameongeza kuwa tunapotaka Haki ya Uchaguzi, Uchaguzi wa uhuru na haki hatuwezi kuendelea endapo Ofisi ya...
  2. R

    Baada ya kimya kirefu nimeamua kumsupport Rais wangu na hizi ndizo nondo nne za kuanza nazo

    Habari jf , binafsi kama Sukuma Gang na mfuasi wa falsafa za hayati Magufuli kwa akili yangu nimeamua kumuamini Rais wangu mama Samia . Hii ni baada ya kufanya tathmini na kugundua Rais Samia ana mipango na malengo mazuri na hii nchi . Hivyo kwa kuanza namshauri haya mambo manne :- 1.Afute...
  3. Lusungo

    Kwa nondo zile za Lissu siioni Katiba Mpya!

    Nimemsikiliza Lissu tangu juzi akiwa kariakoo na pale Kibamba leo kwa hakika ujumbe anaotema ni mzito sana sidhani kama Samia ana kifua cha kuuhimili. Kama Magufuli aliyejiita chuma, Jiwe, Kamongo hakuweza furukuta mbele ya makombora ya Lissu nimewaza sana kuhusu Samia. Japo taarifa za ndani...
  4. chiembe

    Jeshi la Polisi limuite Abdul Nondo na wenzake kwa mahojiano ili kujua nia yao ni nini, na mahala pa kuelekea katika maandamano ili wasivuruge amani

    Ni vyema Jeshi la Polisi likampelekea Abdul Nondo na waandamanaji wenzake ambao wanaweza kufika kumi au ishirini, wito wamuhoji nia yake, na kisha wamuelekeze kwamba, kiusalama, ni vyema maandamano yake yakaishie Mwembeyanga au Ofisi za ACT Wazalendo, wakapokewe na Kiongozi wao mkuu. Hata...
  5. Adharusi

    Vyama vya siasa ya Upinzani kushambulia vyama vya wafanyakazi ni mkakati au Heche na Nondo wanatumika?

    Msingi wa vyama vyote siasa Duniani umezaliwa ubavuni mwa vyama vya wafanyakazi. Kwa sababu kundi la vyama vya wafanyakazi wote wanakua wamesoma na werevu, ndio kundi la kwanza kuona ukandamizaji katika jamii, na kuanza kutoa elimu kwa jamii. Vyama vya wafanyakazi mara nyingi kazi ngumu ya...
  6. Shujaa Mwendazake

    Bakari Nondo Mwamnyeto at his prime. Je, anastahili kuwa Man of the Match leo?

    Baada ya kusugua benchi, leo ameongoza jahazi la ulinzi wa Yanga. Kwa mimi huyu ndio Man of the Match wangu. Kuna muda alikuwa kama kapagawa au kama kavurugwa hivi maruhani yamempanda, alikuwa akiosha na kuanua na kutumia nguvu nyingi sana. Wanabodi wenzangu, ni nani alistahili hii tuzo ya man...
  7. Corner of cool

    Valentine is coming, waspoil wapendwa wako kwa saa za kijanja

    Hello Dears, ▫️New Stock ya Saa za Mike ▫️Hizi za mikanda ya ngozi ni Unisex mwanaume au mwanamke anaweza vaaa, hizi za chuma ziko in couple kubwa ya kiume ndogo ya kike, tho its Oky Mwanamke akivaa kubwa kulingana na choice yake. ▫️Material ni Uhakika Kwa hizo zote mikanda ni Genuine Leather...
Back
Top Bottom