Nguzo za Nchi bye bye
Chama cha CCM kimeshinda kwa kishindo uchaguzi wa 2020. Kama ndio hivyo basi, kupeleka majeshi Zanzibar pamoja na baadhi ya maeneo ya Tanzania bara yenye upinzani ni ishara kubwa kuwa haki za watu zimepotea.
Nimefikiria sana tunaenda vipi mbele kama Taifa. Baba wa Taifa...