Mwaka 1960 Ngorongoro Ilikuwa na Tembo zaidi ya 2000! Ila leo hii Tembo waliobaki Ngorongoro ni 30! Moja ya utajiri wa kipekee duniani ni kuwa na wanyama Mwitu kama hawa ambao sisi wabongo tunawachukulia poa sana!
Ila wana thamani kubwa katika ulimwengu huu! Dunia nzima kwa sasa inateigemea...
Kwa heshima na taadhima, Mhe Rais kuna kila dalili za upigaji katika Mamlaka hii. Kuna tetesi za chini kwa chini kuwa NCAA imewalipa waandishi wa habari pesa nyingi wakiongozwa na Maulid Kitenge chini ya Uratibu wa mmiliki wa gazeti la Jambo la habari ndugu Mchange. Nguvu wanayotumia ni kubwa...
Wakati watu wanashinikiza wanangorongoro waondolewa nawakumbusha kuna amri ya mahakama ya Afrika Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa, na serikali imekuwa ikiheshimu amri hiyo toka Sept 2018, tunataka Serikali isiyo heshimu utawala wa sheria? #Ngorongoro
Eneo la Ngorongoro asili...
Wakuu,
Gazeti la JAMVI LA HABARI limeendelea kuandika masuala yanayohatarisha ustawi wa watu, wanyamapori, mifugo na uhifadhi katika Mamlaka ya Uhifadhi wa Eneo la Ngorongoro.
Gazeti hilo rimeripoti kuwa watu wameongezeka kutoka watu 8000 mwaka 1959 hadi 110,000 mwaka huu linalosababisha...
Mtandao wa DarMpya Media umeripoti makala fupi inayoonyesha hali ya Hatari ya kutoweka kwa hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro kutokana na kuingiliana kwa kasi kubwa baina ya binaadamu, mifugo, uhifadhi na wanyama pori.
Katika Makala hiyo fupi Dar mpya ambao wamerejea andiko la Gazeti la...
Wasalaam kutoka Ngorongoro.
JF na Great thinkers wote wa humu wamekuwa na mchango mkubwa kwa matatizo yanayowakabili wananchi wa Tanzania kutoka maeneo mbalimbali...
Nawandikia hivi ikiwa kuna mgogoro mkubwa ndani ya Ngorongoro ikihusishwa na nia ya Serikali kutaka kuwaondoa wananchi hao...
Taarifa kwa Umma
Katibu Mkuu John Mnyika ameiandikia barua Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuitaarifu rasmi kuwa Chadema hakitashiriki uchaguzi wa marudio wa ubunge kwenye Jimbo la Ngorongoro na kata saba na badala yake amesisitiza kutaka iundwe Tume Huru ya Uchaguzi itakayohakikisha chaguzi...
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Ngorongoro, wamewadondosha wagombea wasomi na vigogo waliokuwa wanapewa nafasi kumrithi aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo, William Tate Ole Nasha aliyefariki Septemba 27, 2021.
Katika matokeo ya kura za maoni yaliyoshirikisha wagombea...
Wataalamu walishaona mbali. Tusipoangalia tutaua migration ya Serengeti.
=========
Thirsty Serengeti wildlife to get new water hole: Lake Victoria
Kizito Makoye
DAR ES SALAAM Tanzania (Thomson Reuters Foundation) - After decades of struggling to help the wildlife of Serengeti...
Mhe Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Mama Samia Suluh Hassan, wakati wa kuwapisha makatibu wakuu na baadhi ya wakuu wa taasisi mbalimbali za serikali aliagiza wizara ya maliasili na utalii inayongozwa na mhe.Dr Damas ndumbaro(MB) watafute suluhisho la kudumu ndani ya wenyeji waishio ndani ya mamlaka ya...
Hakika Mhe.Rais ametoa alert nzuri sana kuhusu kupotea kwa Ngorongoro Conservation area
Eneo linaweza kuimili population ya watu 9000 ila leo Waziri aliposimama pale Ikulu alitaja figure zaidi ya idadi ya watu 9000
Hakuna Mtanzania asiyejua umuhimu wa NCA ktk sekta ya utalii. Hii mbuga pekee...
Timu ya Taifa ya Tanzania vijana umri chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes imeendelea kusuasua kwenye mashindano ya Afcon u-20 baada ya kucheza michezo miwili na kuambulia alama 1.
Baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Ghana juma lililopita, hii leo imetoka sare ya 1-1 na Gambia.
Kwa matokeo hayo...
Baada ya kupoteza katika mchezo wa ufunguzi wa mashindano ya Afcon U20 Juma lililopita, Timu ya Taifa Tanzania ya vijana chini ya miaka 20, almaarufu Ngorongoro heroes hapo kesho wanatupa tena karata yao kuvaana na Gambia katika Dimba la Stade Municipal de Nouadhibou huko Mauritania...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAMKO LA MADIWANI NA VIONGOZI WA MILA (ILAIGWANAK) WA ENEO LA HIFADHI YA NGORONGORO (TARAFA YA NGORONGORO) JUU YA UHIFADHI NA JAMII
Sisi, Madiwani na Viongozi wa Mila (Ilaigwanak) wa Tarafa ya Ngorongoro (eneo la Hifadhi ya Ngorongoro), Wilaya Ngorongoro kwa niaba...
Wazungu aka Mabeberu wana wivu sana, halafu wanataka kutuaminisha eti harakaharaka haina baraka na kutangulia sio kufika, kama sio wivu nini?
Eti nimesikia miongoni mwa nchi 54 zilizoruhusiwa kuingia Ulaya Tanzania haimo. Huu ni wivu tu! Hawa sio wale waliokuwa wanaota nyumbu na Ngorongoro...
MATUMIZI MABOVU YA OFISI NDANI YA HFADHI YA NGORONGORO
Mheshimiw Rais shikamoo. Napenda kukupa pole wewe na serikali yako yote kwa ujumla kwa majukumu mazito ya ujenzi wa Taifa letu. Mwenyezi Mungu aendelee kuwapa nguvu na hekima ili tuweze kufikia malengo tuliyojiwekea kama Taifa
Watanzania...
By: Eric Allard
I’ve been in Tanzania for 30 years now and i'm proud of where this nation is at when compared to what it was when I first arrived. It was a good decision to move here then and I’ve experienced the country’s economic and infrastructure growth over the 30 years. I’ve also run my...
The Ngorongoro Conservation Area (NCA) was established under National Parks Ordinance CAP. 412 of 1959. This unique area is currently managed by the Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA) pursuant to CAP 284 of 2002. It is under the Ministry of Natural Resources and Tourism.
The main...
Mheshimiwa Rais, Makamu na Waziri Mkuu shikamooni. Poleni na majukumu magumu ya ujenzi wa Taifa letu la Tanzania.
Ninawatakia mwaka mpya mwema mkiwa na afya njema.
Watanzania wenzangu habari za leo na poleni na majukumu ya kupambana na maisha.
Katika kumalizia mwaka naomba leo naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.