Ndugu zangu Watanzania,
Hiyo ni Kauli nzito iliyotolewa na Mkuu wa Majeshi Ya Tanzania.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ), Jenerali Jacob Mkunda, amesema Taifa imara halijengwi na Watu wanaojihusisha na vitendo vya utapeli, ugomvi, uhalifu na uvunjifu wa sheria, huku akisisitiza kuwa...