Kwa kawaida Watu au waafrica tunapozungumzia maendeleo tunaongelea vitu kama Ajira,Miladi wawekezaji kutoka nje,mikubwa,Au kugundulika kwa rasilimali kama mafuta,dhahabu au gesi .
Lakini kamwe hatuangali mifumo na nguzo hizi zinazotengeneza na kukuza uchumi.
Nguzo ya kwanza : UAMINIFU
Uaminifu...