natafuta mke

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Natafuta mke wa kuoa

    Habari Wana JF ,poleni na majukumu ya kila siku ili mkonouinhie kinywani. Samahani kwa wazo langu hili . Natafuta mke wa kuoa Mwenye umri wa miaka 25-40,Dini yeyote,kabila lolote. Sifa zangu Naitwa Florian Mwenye umri wa miaka 38,Naishi tabora,kabila ni mnyamwezi. Nipo serious natafuta mke...
  2. N

    Natafuta mke wa kuoa

    Habari Wana jf ,poleni na majukumu ya kila siku ili mkonouinhie kinywani. Samahani kwa wazo langu hili . Natafuta mke wa kuoa Mwenye umri wa miaka 25-40,Dini yeyote,kabila lolote. Sifa zangu Naitwa Florian Mwenye umri wa miaka 38,Naishi tabora,kabila ni mnyamwezi. Nipo serious natafuta mke...
  3. kuntakinte9320

    Natafuta mke

    Habari wakuu,natafuta mwanamke umri kuanzia 28 mpk 35 asiwe na mtoto maana silei mbegu ya mtu kazi yangu ni daktari(MD)kwenye moja ya hospitali za rufaa hapa Dar alie interested aje inbox.ahsanteni
  4. M

    natafuta mke awe mwanza

    nahitaji mwana mke awe mwanza umri 30-42 akiwa na mtoto haina shida ila asizidi 1 .. naishi nyegezi nina miaka 43 na mtoto mmoja ... aliye tayari ani pm tuyajenge
  5. graciasp3

    Natafuta mke wakuoa!!(25_27 yrs)

    Habari za mda huu wakubwa kwa wadogo,,,sipend kuzunguka mnoo nataka niende straight to the point,,,,natafuta mwanamke wakuoa umri tyr nshaandika apo juu,,, Awe tayari kuishi mahali popote,awe mpenda maendeleo Sifa ya mke ninaye mtaka. ~ Awe na umri 25_27 ~ Elimu siyo kipaumbele changu. ~...
  6. Malafyale

    Natafuta mke awe na watoto tayari angalau wa 5 au zaidi

    Kichwa cha habari chajieleza. Tafiti zangu za muda mrefu zimeonyesha kuwa uaminifu kwa sasa ni kitu adimu sana kwa wana ndoa. Hivyo basi mm Malafyale muda wa kuoa umefika,natafuta mwananke aliye tayari kuolewa na mm awe na watoto angalau wa 5 au zaidi,na haijalishi hao watoto kazaa na wanaume...
  7. N

    Natafuta mke wakuoa mwenye utayari wakuitwa mke

    Habari Jina - Brighton Umri - 39 Urefu - 5.5ft Dini - Mkristo Damu - group o Pombe- sinywi Rangi- maji ya kunde Kazi- Nimejiajiri Naishi- Nyanda za juu kusini Maono/ndoto - nikukua kimaisha Sofa za mwanamke naye mtaka. Umri- 35nakuendelea Kabila - lolote Dini - mkristu Kazi - yeyote...
  8. D

    Nahitaji mwanamke wa kuanza nae maisha. Awe na miaka kuanzia 28

    Nahtaji mke wa maisha yangu age 28 nipo na nia kama upo 0652359199 awe mkiristo tuheshimiane Awe uelewa juu ya maisha akiwa na mtoto mmoja siyo mbaya
  9. Kanye2016

    Natafuta mke wa Pili Umri kuanzia 20-40 (Binti wa Kiislam)

    Habari Wakuu!!! Natafuta mke mwenye sifa zifuatazo: Awe Muislam. (Awe ana jistiri kama dini inavyohitajika) Umri 20-40 Ajue mapishi Ajue kujiremba na ni msafi. Usiwe na tumbo kubwa. Kama ni single mother (Watoto wasiwe zaidi ya wawili) Awe ni mfanyakazi au mjasiliamali Kama sio mfanyakazi au...
  10. mhuri25

    Natafuta mke awe mwalimu

    Hello Wanabodi mimi ni Kijana nipo tu nafanya ujasiriamali mdogomdogo kiasi sikosi hela ya kulipa Pango na Kula Napenda kutafuta Mke awe Mwalimu wa Daraja lolote lile asizidi miaka 25, asiwe mweusi, wala mnene sana, Mkristo itakuwa vizuri hata akiwa Dini nyingine sawa ila akubali kuolewa na...
  11. fh kwenye beat

    Natafuta mke wa kuoa

    Natafuta mwanamke aliye serious kuolewa mwaka huu Niko na miaka 30 Mkristo Aliye tayari tuwasiliane
  12. Kipenzi Changu

    Natafuta mke wa kuoa kabisa

    Sifa zangu: Umri wangu ni kijana Ni mwajiriwa na mfanyabiashara Kigezo cha mwanamke Awe na kitu cha kuofa kwangu mbali na kunivulia nguo ya ndani
  13. H

    Natafuta mke wa pili

    Nahitaji kuoa mke wa pili awe na sifa zifuatazo:- Dini yoyote ila watoto wangu watakuwa wakristo Umri kati ya miaka 25 hadi 35 Awe mwajiriwa. Awe tayari kuwa mke. Akiwa na mtoto mmoja tayari hakuna shida. Asiwe mgomvi wala mchokozi wala kupenda ugomvi. Asiwe mtu wa kuchukua mikopo pasipo...
  14. M

    Natafuta Mke

    Natafuta mke , Naitwa jose nina miaka 27 natafuta mke mweny miaka kuanzia 20-25
  15. A

    Natafuta mke wa kuoa

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 Naishi Morogoro Dini mkristo Kazi ni mwalimu Mke awe na sifa hizi; Mrefu kiasi Awe na kazi sio golikipa Miaka 20_27 Awe na tabia njema Ukiwa na sifa hizo please nicheki PM
  16. C

    Nahitaji mchumba (Mke)

    Habari, jina langu halisi ni Baraka, nina miaka 39. Kwa sasa, niko katika hali ngumu maishani. Sina makazi wala mali, na bado najitahidi kujenga maisha yangu upya. Hata hivyo, nina imani kwamba hali yangu itabadilika kwa wakati na mimi nitakuwa sawa baada ya muda. Natafuta mwanamke mwenye moyo...
  17. MamaSamia2025

    Natafuta mke mwenye sifa hii muhimu

    Umri kuanzia miaka 22. Elimu form four na kuendelea. MUHIMU awe ana uzoefu wa kulima kwa jembe la plau linalovutwa na ng'ombe. Angalia picha kwa ufafanuzi zaidi.
  18. M

    Mimi ni Mwanaume wa miaka 27, natafuta mke wa kuoa

    Mimi ni Mwanaume wa miaka 27 , Dini yangu , ni mkristo. naishi DAR kazi yangu ni muajiliwa elimu yangu ni DIPLOMA. Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo , *awe mkristo *Awe anaishi dar *awe ameajiliwa au anafanya biashara awe na miaka kwanzia 20 adi 26. *ALIYE TAYALI NA MWENYE SIFA HIZO...
  19. M

    Natafuta mke wa kuoa awe na sifa hizi

    Mimi ni Mwanaume wa miaka 27 , Dini yangu, ni mkristo. Naishi DAR Kazi yangu ni muajiliwa Elimu yangu ni DIPLOMA. Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo , Awe mkristo Awe anaishi Dar Awe ameajiliwa au anafanya biashara Awe na miaka kwanzia 20 adi 26. ALIYE TAYALI NA MWENYE SIFA HIZO ANIFUATE PM
  20. V

    Natafuta Mke wa kuoa

    Habari wana JF, Natumai mpo salama na mnaendelea vizuri na majukumu yenu, Nipo hapa kutafuta mwanamke serious ambae atakuwa mke endapo tutaridhiana, sifa zangu ni zifuatazo; Umri: 30 Elimu: Degree Mahali ninapoishi: kaskazini mwa Tanzania Dini: Mkristo Kazi: muajiriwa serikalini Sina mtoto wala...
Back
Top Bottom