Nilikuwa na hamasa sana ya kuanza ufugaji wa wanyama mbalimbali kama kuku, sungura, mbwa, paka, njiwa, na bata. Kwa hiyo, kama sehemu ya mwanzo wa safari hiyo, niliamua kununua njiwa sita. Niliwaleta nyumbani kwangu nikiwa na nia ya kuwafuga kwa ajili ya urembo tu, si kwa biashara wala kwa...