Pre GE2025 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa Milioni 4 kwa wanafunzi wa Nachingwea Girls

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
2,096
5,592
Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mh.Kassim Majali ametoa shilingi 4,000,000 kwa wanafunzi wa shule ya Msingi Nachingwea Girls iliyopo wilayani Nachingwea.

Majaliwa ametoa fedha hizo machi 6 alipotembelea shuleni hapo na kuongea na wanafunzi wa shule hiyo.

Aidha amesema kuwa shule hiyo ilikua na changamoto nyingi lakini kwa sasa hazipo na serikali inatambua uwepo wa shule hiyo huku akieleza kuwa wanakwenda kuiyagiza tamisemi shule hiyo ya Nachingwea girls waingize katika mpango wa ukarabati wa majengo ya zamani ili waweze kukarabati hatua kwa hatua.

Pia amewapongeza waalimu kwa kuendelea kuwalea vizuri hali wanafunzi hao hali ambayo inapelekea kupata ufaulu katika wilaya hiyo.

wazir mkuu.png

Source: Mashujaa Radio
 
Muda wa kurudi majimboni sasa na kutoa chochote kitu. Ndiyo muda wa wananfunzi kuahidiwa wali nyama shuleni

===
Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mh.Kassim Majali ametoa shilingi 4,000,000 kwa wanafunzi wa shule ya Msingi Nachingwea Girls iliyopo wilayani Nachingwea.

Majaliwa ametoa fedha hizo machi 6 alipotembelea shuleni hapo na kuongea na wanafunzi wa shule hiyo.

Aidha amesema kuwa shule hiyo ilikua na changamoto nyingi lakini kwa sasa hazipo na serikali inatambua uwepo wa shule hiyo huku akieleza kuwa wanakwenda kuiyagiza tamisemi shule hiyo ya Nachingwea girls waingize katika mpango wa ukarabati wa majengo ya zamani ili waweze kukarabati hatua kwa hatua.

pia amewapongeza waalimu kwa kuendelea kuwalea vizuri hali wanafunzi hao hali ambayo inapelekea kupata ufaulu katika wilaya hiyo.
 
Huyu mwamba sidhani kama atagombea tena kule,kwa status yake haitakuwa sawa,mtu ulishakuwa waziri mkuu,leo tena unarudi bungeni kama mbunge wa kawaida,nadhani ni msaada tu kwa ajili ya shule,ukumbuke kule ndio mitaa yake lazima akuweke vizuri...
 
Huyu mwamba sidhani kama atagombea tena kule,kwa status yake haitakuwa sawa,mtu ulishakuwa waziri mkuu,leo tena unarudi bungeni kama mbunge wa kawaida,nadhani ni msaada tu kwa ajili ya shule,ukumbuke kule ndio mitaa yake lazima akuweke vizuri...
Anaweza akarudi huyo kaka
 
Back
Top Bottom