mwafrika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Chizi Maarifa

    Mwafrika mwenzetu akielezea uzoefu wake katika Jeshi la Urusi wakipigana na Ukraine

    Waafrika twendeni kwa wingi kuwasaidia ndugu zetu Russia dhidi ya Mabeberu. Ukrainian troops from the 63rd Mechanized Brigade captured a Ugandan man, Richard Akantoran, who said he was lured to Russia with promises of civilian work and then forced to sign a military contract under threat of...
  2. ELI COHEN

    Hivi ndivyo katika kila group la umri mwafrika anayo chambua sababu za tabu zake

    18 - 21= baba na mama 22 - 25= shetani 26 - 30= uchawi na mikosi 30 - 35= bado yupo confused hajaelewa vizuri😁 (uchawi, baba, mama, trump, shetani, kurogwa, etc) 35 - 40= "Mimi mwenyewe ndio nilizingua all along aisee"
  3. M

    Default settings za mwafrika ni wizi, akipata cheo, lori likianguka, n.k. anachowaza ni kuiba

    Hata kama wizi upo kote ila kwa waafrika ni default settings Lori likipiga mzinga default settings za waafrika huwa ni Baraka imeshuka, watu wanajsevia hawajali hasara wanayotengeneza Mwajiriwa anaelipwa kwa kodi za wananchi bado anahitaji mlungula au ya soda ili afanye kazi yake, bila hivyo...
  4. Dennis Robert Shughuru

    Kuna muda najiuliza mwafrika ni binadamu aliyekamilika kweli!, asije akawa ni tofauti na hao wengine

    Kwa matukio yaliyotokea siku za karibu kuna maswali imebidi nijiulize Mwafrika ni rational human being What if wanaotubagua wako sahii kwa asilimia mia mkuu content ya character zetu ni ya ajabu sana Kwa nini tusirudi kwenye utawala wa kifalme kama demokrasia hatuwezi Hivi marekani ingekuwa ni...
  5. ELI COHEN

    Cameramen huwa hawaanguki na mapepo, njia ya kwenda kwa mganga imejaa masikini ila we unatoka mjin kufata utajir kwake, ishara ni nying ila mwafrika🤣

    Tunahangaika na vitu ambavyo tunataka vi-prove kitu kwetu wakati hata vyenyewe binafsi haviwezi hata kuji-prove.
  6. Alloyce PR

    Tafakuri ya mwafrika

    "Waafrika wengi tumepewa zawadi ya kufikiri, lakini tunaikabidhi kwa viongozi wa dini kama sadaka, kisha tunalalamika tunapopotezwa hata katika mambo yanayohitaji akili tu, si maombi ya kufunga." — Alloyce, P.R.
  7. Saad30

    Uzi wa nukuu mbali Mbali Za wasanii, Wanasiasa, Wagunduzi, Wanafalsafa

    Habari wakuu. Uzi huu ni kwajili ya Quotes Mbali Mbali Kwa watu mashughuli duniani ambao bado wapo Hai na wengine waliotangulia kwenye ulimwengu mwengine.
  8. H

    Picha za kuhamasisha ukombozi wa Mwafrika

    Walianza kama wapigania uhuru lakini baada ya kupewa huo uhuru wamebadirika na kuwa wakoloni wa kiafrika wenye kujirimbikizia mali kwaajili ya familia zao na siyo Afrika.
  9. H

    Wakenya wasipenyeze tabia zao chafu Tanzania

    Kila taifa lina tabia na tamaduni zake zinazostahili kuenziwa hata kwa mtutu wa bunduki. Wakenya wanatabia na tamaduni za kianzisha fujo na chokochoko nchini kwao na wakaangaliwa tu na serikali yao kwa kuwa inawadekeza hivyo. Kama wangekuwa na nia ya kuja kufuatilia kesi ya Lissu wangeomba kwa...
  10. Samia atosha tukutane2030

    Mwafrika utumwa hautamwacha mpaka mwisho wa Dunia

    Mwafrika ndiye mwanadamu ambaye hajawahi kupata raha halisi ya duniani ambayo Mungu aliiweka. 1. Ujima Zama za ujima Mwafrika alikufa mapema sana, life expectancy yake ilikuwa fupi sana. Baridi, magonjwa ya kitropiki vimemuua sana Mwafrika. 2. Utumwa Watu kama Waarabu wakamuona Mwafrika kama...
  11. LIKUD

    Zumaridi yupo sahihi (Mwafrika hajaumbwa/ Mwafrika ni Mungu) Likud 7th theory of creation

    Bado naendelea kutafuta asili ya mwanadamu na kwanini yupo duniani. Nimesha taja nadharia Sita kuhusu kile ninacho ona huenda kikawa ndio chanzo cha Sisi kuwepo hapa duniani. Hii ni nadharia yangu namba saba. MWAFRIKA HAJAUMBWA. Ila? MWAFRIKA yuko pamoja na Mungu. Kama ambavyo Mungu hana...
  12. R

    Kwa nini Mwafrika kiasili hana akili nyingi kama races nyingine ?

    Sisemi kila mwafrika bali kwa wastani, wapo waafrika wana akili nyingi lakini ni wachache wa kuhesabu Hata kwa akili za darasani nachokiona wengi wanaishia kukariri tu, mpaka leo hatuna maabara za kutengenezea madawa ya magonjwa yanayotusumbua waafrika ila watu wana phd za mambo ya madawa...
  13. 05CUBA

    Jinsi Mungu alivyombariki mtu mweusi. Namna Biblia inavyomuongelea mtu mweusi

    Uzi huu natamani hata usomwe na mtu mmoja tu ntafurahi, Ilimradi mtu huyo mmoja spare ufahamu juu ya ukweli juu ya Baraka alizokirimiwa mtu MWEUSI na namna mtu mweus alivyo ongelewa kwa uzuri ktk biblia . Kuanzia sa nne naanza kupost taratibu, Sasa uuonapo Uzi huu comment kitu chochote ili...
  14. R

    Sasa ni muda wa PAPA wa kanisa katoliki awe Mwafrika, Wazungu wengi wameacha kwenda makanisani

    Waafrika ndio tunaongoza kwa kuwa na waumini wengi wa kanisa katoliki Duniani, Kuchagua Papa Mzungu si sahihi. wazungu wengi wameachana na mambo ya dini na hawaendi makanisani, mambo ya dini yamebaki Afrika, kwa mbali kidogo Nchi za kilatini na Ulaya ya maghariki. Hali ya kidini nchi za...
  15. ELI COHEN

    Nimekuja kugundua kuwa katika free time Mzungu anaisaka ADVENTURE huku Mwafrika anaisaka PLEASURE🤣

    MZUNGU NA ADVENTURE: HAYA SASA MUAFRIKA KATIKA KUISAKA PLEASURE: ALL IN ALL MAISHA YAENDELEE
  16. H

    WAAFRIKA walio waislam na wakristo wooote ni MATAHAIRA

    Waafrika hao ndivyo walivyoelewa na siyo kwamba wao ndiyo wako sahihi kwa walivyoelewa hakuna Mwafrika mwenye akili aliye muislam au mkristo wote wanaoishi humo ni MATAHIRA kwani wanaishi kwa hofu ya moto kwa mambo ya kuhadithiwa na watu waliowatawala na wasiyokuwa na utu
  17. H

    Elimu ya Kizungu/Kiarabu i.e:uislam /ukristo haziwezi kamwe kumkomboa Mwafrika KIFIKIRA

    Hili liko wazi na halipongiki. Kama Waafrika wamesoma hadi kuwa maprofesa na bado hawatambui juu ya uongo ndani ya uislam/ukristo na bado hawatambui wanatoka wapi na wanenda wapi kiasi cha kuendelea kutumia majina ya ubatizo ya kizungu na kiarabu yasiyo na maana kwao...
  18. H

    Mwaafrika unasujudia makaburi ya Yesu na Muhamadi na kuacha makaburi ya bibi na babu zako ulio na vinasaba nao

    Habarini, Hili nalo linafikirisha sana MWAFRIKA,unaenda kusujudia kabuli la yesu na muhamadi na kuacha kusujudia makaburi ya WAZAZI/WAASISI ambao ni BIBI na BABU zako yanayokuzunguka na ulio na vinasaba nao ,unaakili wewe kweli? Yaani hata kitasafusha kwa kuyapalilia tu umeshindwa ila...
  19. H

    Kama kweli Mwafrika katokana na adamu na hawa kwanini DNA za Waafrika ni tofauti na za wazungu,wahindi,wachina,wakorea,nk??

    Habarini, Tafakarini juu ya hili kwa kumshirikisha MUNGU WA KWELI WA WATU na siyo mungu wa uongo wa warabu na wazungu. Iweje DNA za WAAFRIKA, wahindi,wachina,wazungu,waafrika ziwe tofauti kama kweli wote wametokana na adamu na hawa??
  20. H

    UKOMBOZI wa kweli anaohitaji MWAFRIKA kwa sasa ni wa KIFIKIRA na AKILI ZA KUFIKIRI siyo wa KIDINI wala KISIASA!!!

    Habarini, Ni wazi kwa sasa Waafrika hawahitaji ukombozi wa kisiasa na kidini hasa ukizingatia ua kuwa siasa na dini zimewafanya Waafrika kuwa wavivu wa kufikiri na kutumia akili katika kupambanua mambo kwaajili ya ustawi wao. Siyo wokovu wa kodini au ukombozi wa kisiasa kama vile "no reform...
Back
Top Bottom