mtumba

Mtumba is an administrative ward in the Dodoma Urban district of the Dodoma Region of Tanzania. According to the 2002 and 2012 census., the ward has a total population of 7,277.The ward is along the main road to Dar es salaam. Residence in this ward depends much on Agricultural activities as well as Animal keeping.
The Wards of District of Dodoma urban -Dodoma Region-Tanzania
Chamwino | Chihanga | Dodoma Makulu | Hazina | Hombolo | Ipala| Kikombo| Kukuyu North | Kikuyu South | Kilimani | Kiwanja cha Ndege (Dodoma)| Kizota | Madukani | Majengo (Dodoma) | Makole | Makutupora | Mbabala | Mbalawala | Miyuji | Mkonze | Mpunguzi | Msalato | Mtumba | Nala | Ng’ong’ona | Nzuguni | Tanbukareli | Uhuru | Viwandani | Zuzu

View More On Wikipedia.org
  1. Ziroseventytwo

    Sumsung Galax F flip3 5G, ya mtumba. Nikiweka line inaniandikia inter unlock netork code.

    Inaonekana hii simu ilitumika huko marekani kwenye kampuni ya AT&T. Nikiiwasha bila line inawaka vizuri. Nikiweka line inanitaka ku unlock network code. Kwankuwa nipo mkoani, na huku mafundi hamna kuna ujanja bila mafundi wa software? mkuu Chief-Mkwawa
  2. thriftwaika

    Nguo za Mtumba kwa jumla na Rejareja

    Jina la biashara ni thriftwaika au kwa namna rahisi Waika Mitumba Ni wauzaji wa nguo za mtumba za kike na watoto kwa bei ya jumla na Rejareja Tunaouzoefu wa miaka zaidi ya minne (4) kwenye biashara hii..Na kwa uzoefu wetu tunatambua kuwa hitaji kubwa zaidi kutoka kwa watu kwenye bidhaa hizi za...
  3. R

    Tunanunua V8 mpya kwa Kodi zetu, ila Engine ya Treni ya iweje inunuliwe mtumba?

    Hellow! Kwamba V8 ni muhimu kuliko engine ya SGR inayobeba watu wengi? Nani anyongwe Katika hili. Karibuni 🙏
  4. Carlos The Jackal

    Treni ya SGR yapata ajali. Serikali ya Samia iko kimya, yazuia vyombo vya habari kuripoti

    Msigwaaa Kiko wapi 🤣🤣 Msigwa Hilo Bichwa lako tunajua Lina Elimu ya hapa na pale tu kama mashahidi wako wa kesi ya LISSU . Mnatanguliza Ufisadi mbele na Matumizi mabaya ya Fedha za Umma . .
  5. V

    Wauzaji wa balo za mtumba

    KARIBUNI SANA VUNJABEIMTUMBAGRADE1 WAUZAJI WA BALO ZA MTUMBA GRADE 1 KUTOKA CHINA UK CANADA'S DUBAI WHATAPP GROUP LETU UJIFUNZE ZAIDI VUNJABEI 🔥BALO ZA MTUMBAGRADE 1 Mawasiliano 0657710078 TUNAPATIKANA ILALA DAR ES SALAAM MIKOANI TUNAFANYA DELIVERY
  6. hon daniel killion

    Biashara Ya MTUMBA Grade 1

    Habari wakuu, Natumai wote ni wazima. Nimepanga kuanzisha biashara ya kuuza nguo (hasa T-shirts za kiume na kike - Grade 1 A). Lengo langu ni kuanzisha duka lenye muonekano wa kisasa na bidhaa bora kwa vijana wa mjini. Nahitaji ushauri na mawazo mapya kuhusu mambo yafuatayo: 1. Njia bora ya...
  7. Roving Journalist

    Rais Samia atembelea Maabara Kuu ya Kisasa ya Kilimo – Mtumba, leo Agosti 8, 2025

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu akitembelea Maabara Kuu ya Kisasa ya Kilimo iliyopo Mtumba Jijini Dodoma tarehe 08 Agosti, 2025. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akisikiliza maelezo kuhusu Maabara Kuu ya Kisasa ya Kilimo...
  8. jangoma

    Wanapouza taulo za high quality mtumba au special mkoani Mwanza

    Kwa wenyeji wa jiji la Mwanza ,ni wapi wanauza taulo zenye quality ya juu kabisa ,zisizo toa manyuzi nyuzi wakati wa kujifuta mwili? Iwe mtumba au special ili mradi iwe very high quality/fabric.msaada wadau
  9. V

    Wauzaji balo za mtumba grade 1 quality

    WHATAPP GROUP LA MITUMBA Vunjabei balo za mtumba grade1 group 3 Karibuni sana jaman mjipatie balo za mtumba grade1 kutoka china uk Canada Dubai Korea Tuna balo za nguo aina mbalimbali na Kila balo Lina nguo yake na bei yake mfano balo la shati ni shati tu t-shirt ni t-shirt tu Jean's...
  10. V

    Tunauza mabalo ya mtumba grade 1

    Karibuni sana mtumba safi wauzaji balo za mtumba grade1 kutoka Pakistan china Thailand Canada Dubai UTURUKI na Korea Tuna balo za nguo aina mbalimbali na bei hutofautiana kulingana na balo linatoka nchi Gani na aina ya nguo Whatapp group VUNJABEI 🔥BALO ZA MTUMBAGRADE 1 Mawasiliano 0657710078...
  11. Justine Mitumba

    Biashara ya mtumba

    . Kutokana na changamoto za ajira nashauri vijana wale ambao hamna kazi mtumie mitandao ya kijamii vizuri tafuta mfanyabiashara anayekuamini mwenye uwezo wa kukupa mzigo wa mali kauli ukihitaji ushauri wa biashara ni FOLLOW Justine mtasiwa au Justine mitumba tunauza mitumba jumla na...
  12. V

    Tunauza mabelo ya mtumba grade 1

    Habari karibu vunjabeimtumbagrade1 Hapa tuna deal na uuzaji wa mabalo ya mtumba ya aina zote Whatapp group Vunjabei balo za mtumba grade1 group 3 Ballo zetu ni Kutoka UK,China, Dubai,Canada 🇨🇦 AINA ZA MABALO👇 Mixer handbag 👜 Ladies skinny jeans Office paints Shifon blouse Shifon blouse...
  13. V

    Wauzaji balo za mtumba grade 1

    KARIBUNI SANA balo safi za mtumba wauzaji balo za mtumba grade 1 kutoka China uk Canada uingeleza Dubai na korea Tuna balo za nguo aina zote Viatu mabegi shuka pazia Mawasiliano 0657710078 Tunapatikana ilala dar es salaam mikoani tunafanya delivery
  14. Waufukweni

    PreGE2025 Mavunde kuwania ubunge jimbo jipya la Mtumba, atoa sababu tatu za kuiacha Dodoma mjini

    Mbunge wa Dodoma Mjini (CCM), Anthony Mavunde ametangaza katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 atagombea tena ubunge katika Jimbo jipya la Mtumba, akianisha sababu tatu za kuiacha Dodoma Mjini. Uamuzi huo ameutangaza huku akilia kuwa hakuna namna na hawezi kujigawa katika maeneo mawili akabaki...
  15. Shakala

    KERO Kituo cha Polisi Mtumba, Dodoma muache uonevu

    Imekuwa miezi kadhaa sasa askari toka mtumba wanapita na difenda zao Mahoma, Ipala na Hombolo kubeba vijana wasio na hatia na kuwavisha kosa la uzururaji. Wanapita saa 3 usiku wakakamata mpaka madogo wanaorusha movie tena wakiwa ndani ya vibanda vyao. Ndugu zao kufika kituoni wakatozwa 50000...
  16. Nipe Maji

    Ujenzi wa miundombinu barabara yarahisisha usafiri kwa wananchi Mtumba

    Kata ya Mtumba yanufaika na ujenzi wa barabara pamoja na kalavati kwa gharama ya shilingi 73,000,000 kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa usafiri na usafirishaji katika eneo hilo. Hayo yalielezwa na Diwani wa Kata ya Mtumba, Edward Maboje alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari...
  17. Nipe Maji

    Dodoma: Wananchi kata ya Mtumba wanufaika na mikopo asilimia 10 ya halmashauri

    Kata ya Mtumba, Halmashauri ya Jiji la Dodoma yapatiwa jumla ya shilingi 83,000,000 kwaajili ya mikopo ya asilimia 10 kwa makundi maalum ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kwa lengo la kuwainua kiuchumi na kuboresha maisha yao. Hayo yalielezwa na Afisa Maendeleo ya Jamii Kata ya Mtumba...
  18. Fbn

    Tofauti ya kusema mtumba sio nguo za mdosho sawa na kusema udi sio dawa ya kufukuza mbu

    Wiki zilizopita nili nunua viatu vya kichina ikatokea vikapotea mazingira ambayo ni uzembe wangu.Kwa vile nilipo mji ni mdogo nikashangaa kuulizia na alama niliyo gundua kuwa niliweka mimi nikaambiwa ni mtumba vinadumu. Hivi kwa nini watu wanaamini kilicho tumika kinadumu wakati kinaweza kuwa...
  19. A

    Chimbo la wachina wauza Mabalo ya Mtumba

    Habari zenu ndigu.zangu Kuna yoyote anaefahamu iwapo kuna chimbo la hawa wachina ambao wanauza mabalo ya mitumba kwa jumla ukiachana na wamatumbi wenzetu ilala?
  20. V

    NAUZA MABALO YA MTUMBA NAPATIKANA ILALA BOMA 0657710078

    Karibuni sana vunjabeimtumbagrade1 wauzaji wa balo za mtumba grade 1 tuna balo za nguo aina zote Leo nawapa Bei ya nguo baadhi tu ✅Jeans kiume 450000 kike 320000 PC 80 mpk 90 ✅nguo ya mtoto 400000 PC 350 ✅ gauni 400000 PC 130 ✅blouse 380000 pc 280 ✅shati 900000 PC 200 ✅viatu 250 PC 40 ✅ school...
Back
Top Bottom