Ndugu zangu, tuseme ukweli usiofunikwa na siasa za kupaka sukari!"
Wafuasi wa CHADEMA wamegawanyika katika njia tatu — na kila njia ina hadithi yake.
Waliokimbilia CHAUMA
Hawa ni wanasiasa waliochukua uamuzi si kwa tafakari ya kina, bali kwa msukumo wa kundi. Ni kama mtu anayeongozwa na kelele...