Kwenye maisha watu ni mtaji muhimu sana.
ISAYA 43: 4
Kwa kuwa ulikuwa wa thamani machoni pangu, na mwenye kuheshimiwa, nami nimekupenda; kwa sababu hiyo nitatoa watu kwa ajili yako; na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako.
Umeona unaitaji watu Maana mungu hutumia watu...