Hivi majuzi nilipata bahati ya kukutana na "mkuu wa majeshi", tukagonga "cheers" na kula kuku, kwa kweli tuliburudika.
Ni mtu mwema na muadilifu sana, ana moyo wa huruma na mwenye kutanguliza maslahi ya Taifa mbele.
Sikuwahi kudhani kama ningewahi kutokwa na machozi ya furaha kiasi kile...