mkenya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MakinikiA

    Ilimwagika damu,itamwagika damu alisikika mkenya mmoja

    Dosari zilezile za uchaguzi uliopita kama hazitafanyiwa kazi mkenya mmoja akasikika akinena damu itamwagika tena
  2. sky soldier

    Rekodi Mpya: Tanzania avuliwa taji la gharama nafuu za Internet, Kenya ndie bingwa mpya East Africa

    Hongereni majirani, kwa sasa nyie ndio mnaoongozea kwa cheapest internet in East Africa. Well, kwa huku kwetu TZ gharama zimepanda sana, kwa sasa GB 1 ni 1,861 sawa na shilingi yenu ya kenya 94. Youtube views za miziki yetu zilivyo drop ni kithibitisho tosha,
  3. Mohamed Said

    Dome Okochi Budohi: Mkenya katika Harakati za TAA na TANU 1950s

    DOME OKOCHI BUDOHI MZALENDO KUTOKA KENYA ALIYEPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Naamini umeona hiyo video ya ufunguzi wa kumbi 12 zinazohifadhi historia ya Wakenya katika kupigania uhuru wa nchi yao. Video hii imenitia hamu ya kumweleza Dome Okochi Budohi. Sijui kama katika kumbi hizo kuna historia...
  4. MK254

    Mkenya aliyekataliwa na Watanzania kisa majungu yao, aukwaa Ukurungenzi Uganda

    Haya makampuni ya kigeni huhitaji akili kubwa kwenye uongozi, hutumia vigezo vingi sana wakati wanamtunuku mtu yeyote ukurungenzi au uongozi wowote, na sio ajabu wakakosa wa kumuajiri kwenye nchi yenu yote hata kama mpo milioni mia huko. Huyu dada, Watanzania walimkataa kisa eti haiwezekani kwa...
  5. Tony254

    Kuna Mkenya amepiga 180 KPH kwenye Nairobi expressway

    Hii Nairobi expressway itatuonyesha mambo. Kuna huyu jamaa anapiga 180 kph kwenye Nairobi expressway. Kwangu naona kama anahatarisha maisha yake na sioni kama ni sawa. Japo jamaa amenishangaza kwa ujasiri alionao. Amepiga Westlands hadi JKIA distance ya takriban 27 kilometres kwa dakika 7 tu.
  6. Tony254

    Mfahamu Mkenya aliyeiwezesha uchaguzi wa Afrika Kusini wa 1994 kufanyika

    Kuna watu wanaopenda kulia lia hapa kwamba Tanzania imeikomboa Afrika. Mfahamu Mkenya kwa jina Professor Washington Okumu aliyeleta pande mbili pamoja na kuwezesha uchanguzi wa South Africa wa 1994 kufanyika. Mangosuthu Buthelezi, kiongozi wa watu wa kabila la Zulu alikuwa amekataa kushiriki...
  7. MK254

    Mwanamke Mkenya ashinda tuzo ya muuguzi bora duniani

    Kenyan Anna Qabale Duba named world’s best Nurse. PHOTO/Courtesy Anna Qabale Duba from Marsabit County in Kenya has been named the winner of a prestigious award, which has prize money of $250,000 (Ksh29M). Sheikh Ahmed Bin Saeed Al Maktoum, President of Dubai Civil Aviation Authority honoured...
  8. Tony254

    Mkenya anatengeneza circuit boards za electronic devices

    Huyu Morris Mbetsa nimemfuatilia kwa muda mrefu tangu zamani alipokuwa amevumbua car tracking device na speed governor hadi sasa ambapo amefungua factory ya kutengeneza electronic circuit boards ya devices ya aina tofauti kama vile meter ya umeme, meter ya maji au car tracking device. Uvumbuzi...
  9. MK254

    Mkenya mwingine ateuliwa ukurugenzi Tanzania, natumai hatafanyiwa majungu kama yule wa Safaricom

    Mpaka leo Voda wanahangaika hawajapata mkurungenzi wa kudumu, kila wanayemteua anageuza na kurudi kwao baada ya muda mfupi, na wameshindwa kumpata mwenye sifa za maana ndani ya Tanzania. Walipomteua Mkenya ile awamu ya tano kwa zile chuki zao alikataliwa tena kwa makelele mengi. Sasa kuna huyu...
  10. B

    TCD endapo mtaelewa kauli aliyoitoa George (Mkenya) mtatambua hakuna Tume bila Katiba na hakuna Katiba bila Tume Huru

    George amewaeleza wananchi mambo muhimu sana ambayo kwa historia ya Kenya kwenye mchakato wa Katiba hakuna tofauti na Tanzania. Kenya walikusanya maoni ya wananchi then chama tawala na Serikali wakayakataa hayo maoni yaliyokuwa na jina la BOMAS. Chama tawala wakaanzisha mchakato wao na...
  11. MK254

    Mkenya aajiriwa kufunza Kiswahili kwenye chuo kikuu cha Michigan, Marekani

    Wakenya hatujambo likija suala la kuchangamkia fursa duniani, huyu kuupiga mwingi maana hiki chuo kikuu cha Michigan ni mojawapo wa vyuo maarufu duniani na kipo ndani 100 bora. Kuchaguliwa ufunze chochote pale lazima upitie ukaguzi sio haba. A collage image of Paul Otieno (Left) and an aerial...
  12. MK254

    Aliyefurushwa Tanzania kwa kutuhumiwa Mkenya, atunukiwa kitita cha hela na mahakama

    Kuna kipindi tulifungua uzi kumhusu huyu jamaa, mataga kama kawaida yao wakatiiririka kutetea uamuzi wa yeye kufukuzwa Tanzania kisa ana majina ya Kikenya, ilhali babake na mama yake wote wazawa wa Tanzania. Hiyo nchi mlikua mumefika pabaya, full chuki na povu, mara mtie viranga viberiti, mara...
  13. B

    Mkenya, nilifanyiwa uchawi, naona heri nihamie Tanzania

    Nishawai posti hapa kutafuta ushauri wa kuondoa uchawi Hivi juzi baada ya mimi kudhani mambo yangu yanaenda shwari, nimefungua duka la branding, nikalipa miezi sita na kuleta machines kadhaa, sasa baada ya kutumia sarafu zangu zote nikaanza kazi ningojee matokeo, nirefeshe mtaji, washenzi...
  14. MK254

    Mkenya ateuliwa cheo muhimu cha juu Vodacom, Afrika Kusini

    Endeleeni kupika majungu kwa wivu wenu ila Wakenya wanapaa, tena sio ushirikina ila bidii na elimu bora....hehehehe ====== Vodacom Group has tapped Safaricom's chief corporate affairs officer Stephen Chege as its group chief external affairs officer. The announcement was made by Safaricom...
  15. MK254

    Nahisi Wakenya tutazuiwa riadha, haya Mkenya mwingine avunja rekodi

    Jameni tuanze kuachia achia, ila hamna mwendo huo huo mbele kwa mbele. Kenya's Angela Tanui celebrates her victory at Xiamen Marathon on April 11, 2021 Kenya's Angela Tanui has broken the course record to win the Amsterdam Marathon, Netherlands. She clocked in at 2 hours 17 minutes 57...
  16. MALCOM LUMUMBA

    Dada wa Kikenya kampa Rais wa Ufaransa vidonge vyake bila kumung'unya maneno

    Kwanza naomba niseme wazi kabisa Mimi ni kati ya binadamu wanaochukia uonevu na unyonyaji wa binadamu mmoja dhidi ya mwingine. Ile hali ya kuhisi kwamba wewe ni bora na mtu wa maana kuliko wengine (Grandiosity and Megalomania) huwa inanifanya nichafukwe na nyongo sana. Mambo maovu kama ukoloni...
  17. MK254

    Ubunifu wa kijana Mkenya kuwakilisha Afrika kwenye shindano la kimataifa baina ya wabunifu duniani

    Kama kawaida, Afrika tunazidi kuiwakilisha kwenye mambo makuu yanayohitaji matumizi ya ubongo. A Kenyan startup has made it to the finals in an international competition for newly established businesses, where the winner will take home Ksh11,040,000 prize money. KOA Mobile App, which offers...
  18. comte

    Hadithi ya Mkenya huyu inatupa somo kubwa-wezi waliumbwa na kuzaliwa

    An undated file image of former bank manager Ben Mwangi This is the case of one Ben Mwangi, whose story can only be visualised in a movie-style act. Once a very successful bank manager in the 1970s and having amassed wealth over years, Mwangi would later lead a life of solitude and eventually...
  19. MK254

    Muigizaji Mkenya kuhusika kwenye filamu ya Matrix 4: Resurrection

    In the brazen and competitive world of Hollywood, Kenyan youth are etching their names among the greats and establishing their prominence within the industry. This has been reflected in the case of Mumbi Maina, a 36-year-old actress, who is set to feature in the latest Matrix franchise film...
Back
Top Bottom