*Hello Wana JF,
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Natafuta mke wa kuoa, Ni mwanaume mwenye umri 37, dini mkristu, nimejiajiri, sina mtoto, situmii kilevi chochote,Ila nimpambanaji
Sifa ya mke ninaye mtaka.
~ Awe na umri 28-30.
~ Elimu siyo kipaumbele changu.
~ Dini yeyote
~ Kabila...