mke wangu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Katotochamwisho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimegundua mke wangu ananiroga akishirikiana na wazazi wake

    Wakuu habari ninaomba mawazo na mchango nini nifanye nimegundua mke wangu ananiroga na hii akishirikiana na wazazi wake. Nimegunduaje nilidukua simu yake na kuona taarifa zote pale alipotoka nyumbani nami kua na wasi wasi kama hio safari si ya usalama kwangu maana ilikua inalazimishwa na wazazi...
  2. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nifanye nini? Ndoa ina miezi 10, mke wangu kabadili dini kaolewa na mwanaume mwingine

    Niliunganishwa na huyu mke wangu na shangazi yangu. Kipindi hicho nilikuwa nimetoka masomoni Uingereza, na kwa kuwa nilitoka huko nikiwa na kazi tayari, hivyo nilikuwa nishajipanga kimaisha na mambo yalikuwa mazuri. Sikupanga kuoa kwa kipindi hicho, lakini kama unavyojua familia zetu, ukiwa na...
  3. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu kuhusu kibwagizo cha wimbo "Mke wangu ni mlevi ananuka gongo"

    Ukweli huo unakuhusu wewe unae soma Uzi huu. Miaka ya 90 ulipokuwa bado mtoto. Ulikuwa ukisikia redioni kibwagizo cha wimbo " MKE WANGU NI MLEVI ANANUKA GONGO". Ulikuwaga una assume kibwagizo hicho kinawahusu watu wa Manzese, Tandale huko uswekeni ndani ndani, watu ambao hawajasoma , hawana...
  4. Se Busca

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ni mimi tu ninayenyimwa tendo la ndoa na Mke wangu? au wengine mpo?

    Ni mimi tu ninaemuomba mke wangu tendo la ndoa au tuko wengi kwangu imekuwa ajabu sana, kila ninapotaka tendo la ndoa nimuombe mke wangu tena inafika hatua ya kumbembeleza kabisa ile anipe mambo, kipindi ndoa mpya tulikuwa tunafanya kila siku ila now days mpaka uombe tena inafika kipindi tunakaa...
  5. haszu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba uzoefu wa kuendana na mke wenye uhitaji wa "sex" kila wakati

    kwa uzoefu wangu nimefikia hitimisho la kusemackua, mke wangu ana nguvu nyingi kwenye tendo la ndoa na si kuwa nina tatizo la nguvu za kiume. Nimejaribu kuendana na kasi yake ya uhitaji wa jambo hili lakini nimeona uhitaji wake ni above average. Naomba msaada wa namna ya kuedanda nae, anapokua...
  6. wakusoma21

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu amezidisha dharau

    Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea...
  7. Zee la madawa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yamenikuta: Nilifunga ndoa ya kanisani kimya kimya bila mke wangu kujua

    Maneno ya mwisho niliyomwambia ni kuwa, "Huwezi kupata mwanaume mwingine kama mimi, ondoka, lakini najua utarudi, mjinga wewe!" Miaka miwili iliyopita nilifunga ndoa na mke wangu wa sasa. Kipindi hicho nilikuwa nimetoka kuachana na mpenzi wangu wa muda mrefu ambaye tuliishi naye kama mke na mume...
  8. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Alinisaliti nimebeba mimba ya mwanaume mwingine ananiambia niitoe ili anioe

    Wakuu naombeni ushauri wako, sijui nifanye nini. Mimi ni binti wa miaka 23, nipo chuo mwaka wa pili naingia watatu. Naomba ushauri wako, mwaka jana nilikuwa na mpenzi wangu, ni mwanafunzi mwenzangu, lakini tukagombana tukaachana, na yeye akamchukua rafiki yangu. Nikiwa katika maumivu, nilikutana...
  9. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu anavaa mavazi yasiyomsitiri tukiwa chumbani

    Habari wana MMU. Mke wangu anavaa mavazi yasiyomsitiri tukiwa chumbani. Nimesema sana naona haelewi, miezi sita kwenye ndoa lakini mambo mengi ambayo nilikuwa siyataki ameyaacha, swala la mavazi ndio limekuwa tatizo. Tukiwa chumbani anavaa uchi uchi mapaja yote njenje, Nimeshamuonya kuwa haya...
  10. Nyarupala

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu anadai simridhishi kitandani

    Habarini? Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke" "Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu. Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu...
  11. haszu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kila mke wangu akifanya madudu, namkumbuka Ex wangu alikua na akili nikamuacha maana hakua mzuri

    Huyu niliechagua kumuweka ndani bwana story anazoweza yeye ni za mapenzi, mapishi na na gossip kwa mbali. Mengine yote haelewi, unaweza hata kumtumia picha ya kawaida ya meme na asipate ujumbe uliokusudiwa. Nilipendea uzuri wa sura na umbo eeh ila department ya kichwani ni kama kuna shida...
  12. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Archraf Hakimi: Hii ndo sababu ya mimi kuhamishia mali zangu kwa mama yangu mzazi nilipoona dalili za kutopendwa na mke wangu wa zamani

    Mchezaji wa timu ya Morocco pamoja na PSG Hakimu aelezea sababu zilizo mpelekea kubadilisha jina lake kwenye urithi wa mali zake zote kwa mama yake mzazi na kusema Nilifunga ndoa na mke wangu wa zamani, Hiba Abouk kuanzia 2020 hadi 2023 Lakini niligundua kuwa alikuwa akitafuta pesa zangu miezi...
  13. Zee la madawa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namuachaje kwa Amani? Nilimtoa kwenye ndoa ili anizalie sasa mke wangu kapata mtoto

    Namuachaje kwa amani, nilimtoa kwenye ndoa yake ili anizalie sasa mke wangu naye kapata mtoto sitaki tena kuchepuka! Niko kwenye ndoa huu ni mwaka wa 7. Katika kipindi chote hicho mimi na mke wangu tulikuwa hatujabarikiwa kupata mtoto. Tulikwenda hospitalini kupima, ikagundulika yeye ndiye...
  14. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu kaenda kuolewa na pesa zangu

    . Wakuu nilikuwa naishi na huyu mke wangu, ilikuwa imetimia miaka 4 tayari, kwao walikuwa wananijua na kwetu wanamjua vizuri, alivyo maliza kulea mtoto mwaka juzi tukashauriana ajifunze masuala ya saluni Ili badaye nije nimfungulie duka la vipodozi na saluni hapo hapo Kwa maana Mimi ni fundi...
  15. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemfumania mke wangu na mwanaume mwingine, nimemwambia arudi nyumbani amekataa. Nifanyeje?

    Nimemfumania MKE wangu na mwanaume mwingine, nimemsamehe lakini hataki kurudi! Mimi ni kijana wa miaka 40, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 15 sasa. Wakati nakutana na huyu mke wangu, wote tulikuwa bado wadogo na ndiyo tumemaliza chuo. Ni mtu ambaye tumekua pamoja, na kila kitu kilikuwa vizuri...
  16. Planet Data bundles

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu ameanza kunizoea. Naona vimigogoro vimeanza

    Wakuu, Hapo nyuma mke wangu alikua hajanizoea ye mwenyewe amekiri kwamba alikua ananiogopa. Kwa upande wangu ilikua burudan ananiheshimu naongea mara moja ananisikia. Sasa miezi kadhaa naona amenizoea ananipanda kichwani. Tunabishana ukiongea kitu mnazozana. Baada kuona sina mambo mengi sasa...
  17. Utajua wewe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nikifa mke wangu asiolewe

    Salamu WanaJF! Kakitaka kitu kitaniuma humu duniani nikusikia mke wangu kaolewa Anatembea na nusu wa moyo wangu, kusema ukweli siwezi kuvumilia kuchukuliwa na mwanaume mwingine na kuanza kupigwa show. Hivyo basi nikifa asiguswe Everything remind of her, anytime anywhere
  18. Jack Daniel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna jambo linaniumiza toka kwa mke wangu, nimwambieje?

    Anauliza mdau wangu wa karibu ambaye tunaheshimiana na kushirikiana mambo mengi. Mimi na mke wangu tuna miaka mitatu tangu tuoane, Nampenda sana,na yeye ananipenda sana,sijawahi kushitukia usaliti toka kwake japo akiwa kama binadamu anaweza kufanya hata kwa siri ila binafsi sijawahi...
  19. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Mke wangu mtarajiwa anawasiliana na ex wake, nifanyeje?

    Nifanye Nini Nataka Kumuoa Lakini Bado Anawasiliana Na X Wake? Ntamani kujua zaidi hasa kusikia kwa wanawake, mimi ni kijana wa miaka 32 sijaoa ila nina mpenzi wangu ambaye niko naye kwenye mahusiano kwa miaka minne sasa. Wakati nakutana na huyu Dada alikua ametoka kwenye ndoa yake, mwanaume...
  20. Kasomeko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vitendo hivi vya mke wangu ni kawaida

    Bila shaka mko powa wananzengo wenzangu!! Nawapa visa vya kweli vya mke wangu ambavyo siwezi kumpa mtu yeyote isipokua nyie coz hatujuani✍️✍️ Huu ni mwaka wa nane tangu tuanzishe uhusiano na ni mwaka wa sita tangu tuanze kuishi kama mama na baba . Sijawahi kuuona utupu wake (naomba uniamini)...
Back
Top Bottom