mix

MIX is a hypothetical computer used in Donald Knuth's monograph, The Art of Computer Programming (TAOCP). MIX's model number is 1009, which was derived by combining the model numbers and names of several contemporaneous, commercial machines deemed significant by the author. Also, "MIX" read as a Roman numeral is 1009.
The 1960s-era MIX has since been superseded by a new (also hypothetical) computer architecture, MMIX, to be incorporated in forthcoming editions of TAOCP. Software implementations for both the MIX and MMIX architectures have been developed by Knuth and made freely available (named "MIXware" and "MMIXware", respectively).
Several derivatives of Knuth's MIX/MMIX emulators also exist. GNU MDK is one such software package; it is free and runs on a wide variety of platforms.
Their purpose for education is quite similar to John L. Hennessy's and David A. Patterson's DLX architecture, from Computer Organization and Design - The Hardware Software Interface.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Wizi wa pes Mix by YAS

    Imeshangasha Pesa imeweza kuhamishwa kutola kwenye namba yangu ya YAS bila mimi kujua au kuona meseji. Imenishangaza kwasababu nimeigundua baada ya kuangalia statement kwenye Yas app na kuona nimetuma hela mara tatu kiasi cha laki 3 kwa watu nisiyowafahamu. Hakuna msaada kutoka Yas wanasema...
  2. M

    Kampuni ya mix by Yass heshimuni wateja haya madisco hapo makumbusho stand siyo haki kwa raia

    Hpo makumbusho stand kuna maspika Makubwa, muziki unapigwa kuanzia asubuhi mpaka Jioni, Muziki wenyewe unatangaza kampuni ya mix by Yass. Yaani wafanyabiashara wengine walioko hapo wanateseka, makelele mtindi mmoja hakuna kusikilizana. Hii siyo sawa. Pia tunauliza mamlaka za kudhibiti kelele...
  3. M

    Kampuni ya TiGO, sasa yas by mix ina huduma mbovu za kifedha!

    Habr wanajukwaa, napenda kuwasilisha malalamiko yangu kwa kampuni ya TiGo sasa yas by Mix. Nimekuwa mteja wa kampuni hii since 2006, sijawahi kupata usumbufu kama huu nilioupata jana baada ya kutuma hela kwenda airtel. Muamala mpaka sasa hivi haujamfikia mlengwa na ni mtu ana shida ya...
  4. H

    Hawa Mix by Yas wajitathimini wanakwama sana

    Mlio karibu nao muwape taarifa wanafeli sana . Mtu unahela kwenye simu ila unakosa kulipia dili au lala njaa kisa mtandao wao . Soma pia Kampuni ya YAS ni failure katika huduma zao hasa Mix by YAS...
  5. enzo1988

    YAS NA MIXX BY YAS, tunaomba ufafanuzi mtandao unasumbua!

    Kuanzia saa nane mchana mpaka muda huu huduma zote hazipatikani, tunaomba ufafanuzi!
  6. conductor

    Concrete design mix (m40)

    Apart from standardized nominal mix, that mostly used at situ , and structure construction, let now try to calculate at available data of designing advanced mix depending the requirements of clients and quality standards.assuming other factors are constant .How to design M40. Welcome on the field!
  7. Nazjaz

    Napenda sana kunywa pombe kali na mix na wine 🍷, ila nasweat sana hata nikiwasha AC 16°C

    Napenda sana kunywa pombe kali na huwa nachanganya na red wine 🍷 kuongezea ladha na stimu. It is something very unique and tasty. Mimi sio sister doo kwamba nafeki na imported drinks, my favourite is Konyagi 500 mls na Imagi ndogo mbili, naridhika kabisaaaa. Ila problem ninayookabiliana nayo...
  8. 2019

    Hawa ni maDj wa Kenya wanaokimbiza sana Tanzania kwa mix kali

    Kwenye simu yangu sina mix hata moja ya dj wa kitanzania,sijawahi kupata. Madj maarufu wa kenya na wakali hawa hapa. 1. Dj Prince 2. Dj Perez 3. Dj Shinsk 4. Dj Layta Huwezi kukuta mtanzania ana mix yeyote ulakosaajina ya hawa jamaa. Ni wakali sana. Kuna jamaa mmoja anajiita mc fullstop...
  9. mirindimo

    Mnatumia “photoshop” mnapiga hela mnamdanganya Rais Samia

    KUNA WAHUNI WAMEPIGA PESA NDEFU SANA HAPA , YAANI NASIKIA AIBU HALAFU INANIUMA HII DEAL IMENIPITA KUSHOTO
  10. Civilian Coin

    Kutana na DEEJAY(dj) maarufu Duniani anayetumia Simu ku mix Muziki na matangazo

  11. Z

    Kiswahili kimetekwa! Asalaam aleykum na Bwana yesu asifiwe

    Kama kuna wakati kiswahili kimejishushia hadhi kimataifa, ni kipindi hiki kwa kuwa na salaam ya utata. Nilimuonea huruma Palamagamba Kabudi akihutubia wageni waalikwa wa nchini na wa-kimataifa wakiuga mwili wa marehemu Mh JPM, huku akianza kwa kuwasalimia " Asalaam aleykum na baadae Bwana yesu...
  12. R

    Chakula kinaitwa MIX kwa sasa ni uchafu, wabongo tukomae na vyakula vyetu hivi vya waarabu tuwaachie wao

    Nisiwachose let go straight leo nimepita zangu magomen pale sasa kuna kamgahawa nikawa nikawa nasikia harufu ya vitu vzr vzr Mzee baba nikajisemea leo ijumaa ngoja nijitose maana hapo zamani nikiwa shule ya msingi pale Msimbazi nimekula sana mix pale Boma nakumbuka ulikuwa unawekewa mchuzi...
Back
Top Bottom