Wajinga wake wameshindwa hata ku design vitu vya maana Sasa wapuuzi kama hao ndio wako kwenye nafasi za maamuzi kwa Nini Nchi isikwameCombat na ushungi haviendani. Wazungu wataogopa kuja. Hakuna kitu wazungu wanaogopa kama misimamo mikali ya kidini, kuvaa maushungi, ugaidi n.k
Mama ashauriwe. Hii film inakwenda kuzinduliwa Marekani ajue. Atoe ushungi au awaachie kina Hoyce Temu waigize hiyo film.
Ova!.
Tutaipeleka falme za kiarabu na AfghanistanCombat na ushungi haviendani. Wazungu wataogopa kuja. Hakuna kitu wazungu wanaogopa kama misimamo mikali ya kidini, kuvaa maushungi, ugaidi n.k
Mama ashauriwe. Hii film inakwenda kuzinduliwa Marekani ajue. Atoe ushungi au awaachie kina Hoyce Temu waigize hiyo film.
Ova!.
Ha ha ha msisahau Iran na Iraq.Tutaipeleka falme za kiarabu na Afghanistan
Kwa hiyo Chief Hangaya=Mgambo wa jiji?Kuna wale mgambo wa jiji wanawake ambao mara nyingi huwa wanafukuza mama ntilie, hasa maeneo ya kariakoo.
Wengi wao huwa na miili mikubwa sana sababu ya kula wao yale majungu wanayoyakamata. Hunenepa kiasi cha magwanda yao kutowatosha.
Comment yangu haihusiani na mada ya uzi. Nimewaza kwa sauti tu.
uzuri wa uigizaji unaweza cheza role yeyote na kuwa mtu yeyote. Leo unaweza kuwa tour guard, kesho ukawa mgambo. Kikubwa uzingatie script inataka nini tu.Kwa hiyo Chief Hangaya=Mgambo wa jiji?
Au upungue ukubwa.. avae kama wa mabeto...Combat na ushungi haviendani. Wazungu wataogopa kuja. Hakuna kitu wazungu wanaogopa kama misimamo mikali ya kidini, kuvaa maushungi, ugaidi n.k
Mama ashauriwe. Hii film inakwenda kuzinduliwa Marekani ajue. Atoe ushungi au awaachie kina Hoyce Temu waigize hiyo film.
Ova!.
yani badala ya kutangaza utalii wanamtangaza Chief Mama Samia na mbaya zaidi ni photo shop tupu.Just saying....
Badala ya huyo binadamu wangemuweka Simba au Twiga hizo picha zingeuza zaidi..., Nadhani watalii wanakuja kuangalia vitu kama hivyo na sio watu / mtu (kama wanahitaji sana watu, mmasai angetosha)
By the way sidhani kama hii ndio kazi pekee iliyofanyika ni mengi yatakuwa yamefanyika yenye tija...., hii picha ni kama nyongeza tu.
Dah, hizi spana Chief Hangaya ajiuzuluMataga pori mko wapi Taifa linapata aibu ya karne huku.
View attachment 1929362
View attachment 1929364
View attachment 1929365
yani kwa ugoro huu hadi Kigwangala anachekea tumboni kwa hii aibu.Dah, hizi spana Chief Hangaya ajiuzulu
Kkkkkkk dah, Disco kaingia mmasai.Au upungue ukubwa.. avae kama wa mabeto...
My foot
Utaambiwa imetumika Trilioni 1 kurekodi hiyo film. Bora Kingwangala na Clouds waliiba milioni 500 tu kwa mujibu wa CAGyani kwa ugoro huu hadi Kigwangala anachekea tumboni kwa hii aibu.
Gharama zinaweza kuwa kubwa wangeza hata mchukua msanii mkubwa wa hollwood au msanii yeyote mkubwa wa mbele kucheza hiyo film, rais angebaki kuangaikia mambo mengine yanayo husu nchiCombat na ushungi haviendani. Wazungu wataogopa kuja. Hakuna kitu wazungu wanaogopa kama misimamo mikali ya kidini, kuvaa maushungi, ugaidi n.k
Mama ashauriwe. Hii film inakwenda kuzinduliwa Marekani ajue. Atoe ushungi au awaachie kina Hoyce Temu waigize hiyo film.
Ova!.
Kweli kabisaGharama zianaweza kuwa kubwa wangeza hata mchukua msanii mkubwa wa hollwood au msanii yeyote mkubwa wa mbele kucheza hiyo film, rais angebaki kuangaikia mambo mengine yanayo husu nchi
Binafsi nashangaa,na naendelea kushangaa, ebo pole Sana Tanzania yangu,umetikiswa Sana ila ,utatengamaa tena, asema bwanaView attachment 1929335
KUNA WAHUNI WAMEPIGA PESA NDEFU SANA HAPA , YAANI NASIKIA AIBU HALAFU INANIUMA HII DEAL IMENIPITA KUSHOTO