Usiseme hutafikiwa, bali jiulize utafikiwa lini kwakuwa hata waliokaa kimya walifikiwa zile siku 5 za giza nene Tanganyika..
Ukiliangalia hili jambo kimwili unaweza usipate majibu ya kuridhisha sana! Litazame kiroho.. Lina kina kirefu, giza zito na majibu ya kutisha sana!
CCM iko madarakani...