Idea 3 za Biashara zinazoenda kuniweka kundi la Milionea by 2025

Congressman

JF-Expert Member
Jun 2, 2020
729
2,153
Habari Wakuu!

Sio kila mtu kwake mtaji ni tatizo, wengi wetu tuna pesa ndefu kiasi tu kwenye Acc, (20M+50M).

Personal, nilipanga kuanza kuwekeza kwenye biashara kwa Capital ya 30M, ambapo nashukuru mtandao wa JamiiForums chini ya Maxence Melo hatimaye nimeweza kuvuna idea 3 muhimu kupitia thread za humu JF.

Kwa miezi 2 nilijikita kufanya tafiti ya thread za zamani na mpya kuhusu aina ya uwekezaji naoweza kufanya kwa kiasi tajwa maxmum 30M. Ila busara ikanituma hiyo hela niwekeze kwenye biashara 2 tofauti kuliko kuwekeza mtaji wote kwenye single business ambapo ni risk.

Hivyo nimeamua rasmi kuwekeza kwenye biashara hizi,
1. Car accessories - 15M
2. Barbershop (Modern & Executive) - 13M

Idea iliyo pending mpaka sasa ni Bakery factory (Uokaji mikate), ambapo hii nitaanza baada ya hizo business 2 hapo juu kutake off.

Hali kadhalika, hizo business 2 nimeziweka kwa phase kiutekelezaji kwa miezi 3 kabla ya kuhamia uwekezaji mwingine. Hii yote ni control mechanism pia kuweka concentration ili kukuza biashara.

Nimeanza na bishara hizo sababu kwangu mimi zina low risk ya kupoteza mtaji pia hata margin profit yake ni nzuri, pia kwa kiusimamizi hazisumbui sana.

Asante JF, see you at the top.
 
Kama uko Dar, bakery usiiache mbali kwa sabab nimeona dar badala ya kulishwa mikate wanalishwa sponji. Kwa case study kula mikate ya uganda ndo utaona maana ya kuongeza thamani.

Usisahau baada ya corona watu wametambua umuhim wa kula kw afya, hivyo weka na mashine ya kutengeneza mkate wenye mboga za majan na matunda na ingredients nyingine zinazoongeza kinga ya mwili.
Ukiachilia watu binafs una soko kubwa la taasisi za serkali na binafs kupitia bajet ya hospitality!

Kama we sio muislam fikiria hata kiwanda cha GIN spirits na Vodka inalipa ukijua marketing na wateja ni wapi.
kila la heri.

NAPENDA NENO KUFANIKIWA HATA KAMA MFAIDIKA NI MWINGINE!
 
Habari Wakuu!

Sio kila mtu kwake mtaji ni tatizo, wengi wetu tuna pesa ndefu kiasi tu kwenye Acc, (20M+50M).

Personal, nilipanga kuanza kuwekeza kwenye biashara kwa Capital ya 30M, ambapo nashukuru mtandao wa JamiiForums chini ya Maxence Melo hatimaye nimeweza kuvuna idea 3 muhimu kupitia thread za humu JF.

Kwa miezi 2 nilijikita kufanya tafiti ya thread za zamani na mpya kuhusu aina ya uwekezaji naoweza kufanya kwa kiasi tajwa maxmum 30M. Ila busara ikanituma hiyo hela niwekeze kwenye biashara 2 tofauti kuliko kuwekeza mtaji wote kwenye single business ambapo ni risk.

Hivyo nimeamua rasmi kuwekeza kwenye biashara hizi,
1. Car accessories - 15M
2. Barbershop (Modern & Executive) - 13M

Idea iliyo pending mpaka sasa ni Bakery factory (Uokaji mikate), ambapo hii nitaanza baada ya hizo business 2 hapo juu kutake off.

Hali kadhalika, hizo business 2 nimeziweka kwa phase kiutekelezaji kwa miezi 3 kabla ya kuhamia uwekezaji mwingine. Hii yote ni control mechanism pia kuweka concentration ili kukuza biashara.

Nimeanza na bishara hizo sababu kwangu mimi zina low risk ya kupoteza mtaji pia hata margin profit yake ni nzuri, pia kwa kiusimamizi hazisumbui sana.

Asante JF, see you at the top.

Kwahiyo unaaminisha uma kwamba milioni 30 ni pesa ndefu?
 
Kama uko dar, bakery usiiache mbali kwa sabab nimeona dar badala ya kulishwa mikate wanalishwa sponji. Kwa case study kula mikate ya uganda ndo utaona maana ya kuongeza thamani.
Usisahau baada ya corona watu wametambua umuhim wa kula kw afya, hivyo weka na mashine ya kutengeneza mkate wenye mboga za majan na matunda na ingredients nyingine zinazoongeza kinga ya mwili.
Ukiachilia watu binafs una soko kubwa la taasisi za serkali na binafs kupitia bajet ya hospitality!
Kama we sio muislam fikiria hata kiwanda cha GIN spirits na Vodka inalipa ukijua marketing na wateja ni wapi.
kila la heri.
NAPENDA NENO KUFANIKIWA HATA KAMA MFAIDIKA NI MWINGINE!

Asante mkuu, kuna strategic area Mkoani ndo nimeona fursa huku.
 
Kama uko dar, bakery usiiache mbali kwa sabab nimeona dar badala ya kulishwa mikate wanalishwa sponji. Kwa case study kula mikate ya uganda ndo utaona maana ya kuongeza thamani.
Usisahau baada ya corona watu wametambua umuhim wa kula kw afya, hivyo weka na mashine ya kutengeneza mkate wenye mboga za majan na matunda na ingredients nyingine zinazoongeza kinga ya mwili.
Ukiachilia watu binafs una soko kubwa la taasisi za serkali na binafs kupitia bajet ya hospitality!
Kama we sio muislam fikiria hata kiwanda cha GIN spirits na Vodka inalipa ukijua marketing na wateja ni wapi.
kila la heri.
NAPENDA NENO KUFANIKIWA HATA KAMA MFAIDIKA NI MWINGINE!

Uganda mbona mbali sana, Zamani Arusha walikua vizuri sana lakini IRINGA kwa mikate Tanzania nzima hawana mpinzani wana kitu cha Tosti hatari tupu, Dar hakuna mkate mzuri tunateseka tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom