Congressman
JF-Expert Member
- Jun 2, 2020
- 729
- 2,153
Habari Wakuu!
Sio kila mtu kwake mtaji ni tatizo, wengi wetu tuna pesa ndefu kiasi tu kwenye Acc, (20M+50M).
Personal, nilipanga kuanza kuwekeza kwenye biashara kwa Capital ya 30M, ambapo nashukuru mtandao wa JamiiForums chini ya Maxence Melo hatimaye nimeweza kuvuna idea 3 muhimu kupitia thread za humu JF.
Kwa miezi 2 nilijikita kufanya tafiti ya thread za zamani na mpya kuhusu aina ya uwekezaji naoweza kufanya kwa kiasi tajwa maxmum 30M. Ila busara ikanituma hiyo hela niwekeze kwenye biashara 2 tofauti kuliko kuwekeza mtaji wote kwenye single business ambapo ni risk.
Hivyo nimeamua rasmi kuwekeza kwenye biashara hizi,
1. Car accessories - 15M
2. Barbershop (Modern & Executive) - 13M
Idea iliyo pending mpaka sasa ni Bakery factory (Uokaji mikate), ambapo hii nitaanza baada ya hizo business 2 hapo juu kutake off.
Hali kadhalika, hizo business 2 nimeziweka kwa phase kiutekelezaji kwa miezi 3 kabla ya kuhamia uwekezaji mwingine. Hii yote ni control mechanism pia kuweka concentration ili kukuza biashara.
Nimeanza na bishara hizo sababu kwangu mimi zina low risk ya kupoteza mtaji pia hata margin profit yake ni nzuri, pia kwa kiusimamizi hazisumbui sana.
Asante JF, see you at the top.
Sio kila mtu kwake mtaji ni tatizo, wengi wetu tuna pesa ndefu kiasi tu kwenye Acc, (20M+50M).
Personal, nilipanga kuanza kuwekeza kwenye biashara kwa Capital ya 30M, ambapo nashukuru mtandao wa JamiiForums chini ya Maxence Melo hatimaye nimeweza kuvuna idea 3 muhimu kupitia thread za humu JF.
Kwa miezi 2 nilijikita kufanya tafiti ya thread za zamani na mpya kuhusu aina ya uwekezaji naoweza kufanya kwa kiasi tajwa maxmum 30M. Ila busara ikanituma hiyo hela niwekeze kwenye biashara 2 tofauti kuliko kuwekeza mtaji wote kwenye single business ambapo ni risk.
Hivyo nimeamua rasmi kuwekeza kwenye biashara hizi,
1. Car accessories - 15M
2. Barbershop (Modern & Executive) - 13M
Idea iliyo pending mpaka sasa ni Bakery factory (Uokaji mikate), ambapo hii nitaanza baada ya hizo business 2 hapo juu kutake off.
Hali kadhalika, hizo business 2 nimeziweka kwa phase kiutekelezaji kwa miezi 3 kabla ya kuhamia uwekezaji mwingine. Hii yote ni control mechanism pia kuweka concentration ili kukuza biashara.
Nimeanza na bishara hizo sababu kwangu mimi zina low risk ya kupoteza mtaji pia hata margin profit yake ni nzuri, pia kwa kiusimamizi hazisumbui sana.
Asante JF, see you at the top.