mikocheni

Dar es-Salaam (; from Arabic: دار السلام‎, romanized: Dār as-Salām, meaning: Place of Peace) is the largest city and former capital of Tanzania. It is the largest city in East Africa and the seventh-largest in Africa, with a population of 6,701,650. Located on the Swahili coast, Dar es-Salaam is an important economic centre and one of the fastest growing cities in the world.Until 1974, Dar es-Salaam served as Tanzania's capital city, at which point the capital city commenced transferring to Dodoma, by order of then-president Julius Nyerere, which was officially completed in 1996. However, as of 2018, it remains a focus of central government bureaucracy, although this is in the process of fully moving to Dodoma. It is Tanzania's most prominent city in arts, fashion, media, music, film and television, and is a leading financial centre. The city is the leading arrival and departure point for most tourists who visit Tanzania, including the national parks for safaris and the islands of Unguja and Pemba.
It is the capital of the co-extensive Dar es-Salaam Region, which is one of Tanzania's 31 administrative regions and consists of five districts: Kinondoni in the north, Ilala in the centre, Ubungo and Temeke in the south and Kigamboni in the east across the Kurasini creek.

View More On Wikipedia.org
  1. Kasri Homes Tz

    Plot4Sale Mikocheni: 5th Plot off Mwai Kibaki Road Inauzwa - Dar

    • Direction: Chama • Survey: skwata • Plot Area: Mita za mraba (sqm) 1,200 • Document: Leseni ya Makazi • Price: TZS milioni 350 . ✓ eneo linachipukia ujenzi wa majengo ya kisasa kama: kanisa apartments, hospitali, kituo cha mafuta, nyumba (standalone), n.k . Call/Watsap: 0767 15 77 88 . In real...
  2. Pascal Mayalla

    BullDoza Mwamposa Ana Powers za Mvuto wa Ajabu, Aleta Balaa Kubwa Kawe na Maeneo ya Jirani, Mkesha Wake, Kawe, Mikocheni, Mbezi Beach, Wote Tumekesha!

    Wanabodi, Hebu shuhudia Huyu Pasta Bulldoser, Mwamposa.. sio mchezo... 1. Nyomi!. Kiukweli kabisa watu ni wengi ajabu, sijui hata walitoka wapi, mabasi yote yalijaa, watu kwa makundi wanatembea kwa miguu, tumekaa foleni masaa 3!. Hii maana yake Bulldozer Mwamposa, ana nguvu za upako wa mvuto...
  3. Kasri Homes Tz

    INAUZWA Iringa Town, Business Center for Sale - Iringa

    • Direction: Iringa Town opposite Mlandege main bus terminal • Built up area: 277 sqm • Plot area: 4320 sqf (401 sqm) • Document: Title deed • Price: USD 950,000 . • 22 hired shop frames 3 on front side 6 beside 13 in the corridor • The frames laid on a foundation of 9 storey building • The...
  4. U

    Kwanini wakazi wa maeneo haya hutumia vitambaa kusafisha pua zao zinapowasha wakati wengineo hutumia mikono mitupu?

    Wadau hamjamboni nyote? Naandika na kuuliza haya siyo nakashfu ila ndiyo ukweli unaonishangaza sana Ni nadra sana kuona mtu mzima au mtoto maeneo ya Masaki, Oysterbay au Mikocheni akiingiza vidole puani ili kuondoa uchafu au muwasho bila ya kutumia kitambaa ' handkerchief' Yaani kwanini...
  5. Lycaon pictus

    Huu mti una uhusiano na jina Ilala na Mikocheni?

    Kuna mkuu humu jana ameniambia kuwa huu mti(Palm) kwa kiswahili unaitwa Mkoche(Kisayansi Hyphaene Coriacea) Unapatikana pwani ya Afrika Mashariki kutoka Somalia hadi South Afrika na Namibia. Huko kusini ya Afrika unajulikana zaidi kama Ilala. Kuna uwezekano mkubwa jina Mikocheni limetokana na...
  6. Lycaon pictus

    Maneno Bunju na Mikocheni yanamaanisha nini?

    Habarini. Asili ya haya maneno Bunju na Mikocheni ni nini? Yana maana gani?
  7. S

    Kwa mahitaji ya photoshoot wasiliana nami

    Kwa maitaji ya photoshoot wasiliana nami stoney lens kupitia namba 0654726672 kwa wàle wote ndani na nnje ya nchi ila napatikana Dar es salaam Tanzania
  8. A

    KERO Shule ya Academic Mikocheni Njia ya Clouds inasababisha Foleni, Utaratibu mbovu wa kupokea magari

    Hii shule ipo njia ya Cocacola -Clouds, karibu kabisa na Bushoke Chips, hapa bhana asubuhi wazazi wanaleta watoto wao shule, basi hakuna parking, magari yanajaa barabarani na inasababisha foleni na usumbufu sana kwa watumiaji wa barabara hiyo. Tunaomba uongozi wa shule uwajibike kuwa na mpango...
  9. Mr Dudumizi

    Nimeoteshwa kuwa hii ndo inaweza kuwa kauli ya mwenyekiti wa chama katika ofisi yao mpya huko Mikocheni

    Ndugu wananchi, waandishi wa habari, wanachama wenzangu na watanzania kwa ujumla Asalam aleikum...., bwana Yesu asifiwe...., tumsifu Yesu Kristo. Ndugu zangu waandishi wabari leo nimewaita hapa kwa lengo la kuweka mambo sawa kuhusu mustakabali wangu na wa chama changu. Mtakumbuka miaka kadhaa...
  10. Shark

    Kwako Waziri Silaa, vituo vilivyopo kwemye makazi ya watu siyo Mikocheni tu

    Za maandalizi ya Sikukuu wakuu? Tufurahi na Sikukuu lakini tukumbuke Kuna January pia. Ningependa kumpa Ujumbe Bwana Jerry Silaa, Waziri wa Ardhi kua vituo vingi vinaendelea kujengwa maeneo ya Makazi na labda anaweza kuviwahi na hivyo. Kuna kituo kingine cha hawa hawa Barrel kiko Kijitonyama...
  11. JanguKamaJangu

    Dar: Wananchi Mikocheni wagomea Kituo cha Mafuta kujengwa kwenye makazi yao

    Wananchi wakazi wa Mtaa wa Ally Hassan Mwinyi, Kata ya Mikocheni wilayani Kinondoni Dar es Salaam wamelalamikia kujengwa kwa Kituo cha kuuza mafuta cha Barrel Petrol Station karibu na makazi yao. Kituo hicho kinajengwa katika Barabara ya Senga, Mtaa wa Ally Hassan Mwinyi Kata ya Mikocheni...
  12. Unasemeje

    Tahadhari: Wakazi wa Mikocheni mpaka Ubungo Sheli Kesho Msitoke Nje

    Kama kuna kitu unataka kununua kwa matumizi ya kesho na unaishi kwenye maeneo tajwa hapo juu, tafadhali nunua leo. Pia wanaopanga kwenda kanisani nivema mkaabudu majumbani. Kuna hatari inawanyemelea huko. Ni hivi, kesho ntakuwa najifunza kuendesha pikipiki na ntatumia hiyo barabara hivyo...
  13. Shark

    DOKEZO TAKUKURU Nendeni Mikocheni Sekondari mkaone Walimu wanavyodai Rushwa Waziwazi Kwa Waliomaliza Form4

    Kwema Wakuu, Hapa mtaani nilipo kuna ka binti kamemaliza Form4 na majibu ndio yametoka siku chache zilizopita. Shule aliyomaliza inaitwa Mikocheni Sekondari, na ilipo ni njia ya Kawe (Old Bagamoyo Road) kituo kimoja kabla ya Clouds. Sasa wanafunzi hawa waliomaliza form 4 ili wakabidhiwe...
  14. R

    Kulikuwa na umuhimu gani kwa Chama changu CHADEMA kutengeneza ofisi Mikocheni kwa Bilioni 2 ?

    Je hakuna maeneo mengine Dar es Salaam ambako tungeweza kujenga kwa gharama ndogo zaidi ? Maana gharama kubwa kwa haraka ni sababu ya location . Kweli pesa za wajinga huliwa kijinga . Watanzania tunaonewa sana .
  15. agent 89

    A stand alone house for rent at Mikocheni Morocco for 1.5 mil

    House for rent at Mikocheni Morocco. ~ 3 bedrooms ~ Rent 1.5 mil. ~ Advance payment 6 months Note: Viewing charges and agent comission is applied.
  16. R

    Nje ya nyumba ya Rais Mstaafu Mwinyi, Mikocheni mitaro imejaa maji, imeziba

    Ni aibu mazingira anayoishi kiongozi mkubwa wa nchi kuwa na sehemu chafu hiki. Mitaro yote imejaa maji mpaka yanafika kwenye kuta ambazo zipo karibu na hapo ikiwemo na ukuta wa nyumba ya Rais Mstaafu. Sehemu hizi ambazo wanakaa viongozi muhimu wa nchi zinatakiwa kutunzwa na kuwa vizuri muda...
  17. kwenda21

    Mkandarasi anayejenga Barabara ya Mikocheni kupitia Shoppers Plaza hadi Mbezi

    Jamani madreva mnaopita njia hiyo, nahisi huyu mkandarasi anatengeza hiyo Barabara hawazi sawa sawa muwe makini. Kachimba mashimo kila mahali, leo ni siku karibu ya tano napita hapo, yako vilevile. Sasa naomba muwe makini maana, mnaweza mkafanya ajari, najua lengo lake ni kuifanyia Barabara...
  18. Tripo9

    Anatafutwa msichana wa kazi - kuuza duka - anaeishi kwao mikocheni "A" karibu na "Palm village" mwendo wa kutembea

    Msichana wa kwa ajili aje auze Duka la makasha ya simu na charger nk. Awe anaishi kwao umbali wa kutembea tu karibu na pale PALM VILLAGE Mikocheni A ili mambo ya nauli yasiwepo. Malipo kwa mwezi ni shs.100,000/- (laki moja Tu) kwa kuanzia. contact 0628501029 Asanteni.
  19. Shujaa Mwendazake

    Askari kuanza kutumia nyumba za kisasa za Kunduchi na Mikocheni

    Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene ameruhusu askari polisi kuanza kutumia nyumba za kisasa zenye uwezo wa kubeba familia zaidi ya 300 zilizopo eneo la Kunduchi na Mikocheni mkoani Dar es Salaam. Pongezi kwa Wizara na Serikali.
  20. Erythrocyte

    Dar: Hafla ya BAWACHA Mikocheni yazingirwa na Polisi, wapewa dakika 30 tu

    Hii ni baada ya Polisi kuruhusu Bawacha wakutane kwa dk 30 tu huku polisi nao wakitaka kuwemo ndani ya ukumbi ili kusikia yanayozungumzwa , kabla ya ruhusa hiyo zimepigwa danadana kuanzia polisi kinondoni , DC hadi RC wakipiga danadana huku kila mmoja akijitoa asionekane kuruhusu jambo hilo ...
Back
Top Bottom