mikocheni

Dar es-Salaam (; from Arabic: دار السلام‎, romanized: Dār as-Salām, meaning: Place of Peace) is the largest city and former capital of Tanzania. It is the largest city in East Africa and the seventh-largest in Africa, with a population of 6,701,650. Located on the Swahili coast, Dar es-Salaam is an important economic centre and one of the fastest growing cities in the world.Until 1974, Dar es-Salaam served as Tanzania's capital city, at which point the capital city commenced transferring to Dodoma, by order of then-president Julius Nyerere, which was officially completed in 1996. However, as of 2018, it remains a focus of central government bureaucracy, although this is in the process of fully moving to Dodoma. It is Tanzania's most prominent city in arts, fashion, media, music, film and television, and is a leading financial centre. The city is the leading arrival and departure point for most tourists who visit Tanzania, including the national parks for safaris and the islands of Unguja and Pemba.
It is the capital of the co-extensive Dar es-Salaam Region, which is one of Tanzania's 31 administrative regions and consists of five districts: Kinondoni in the north, Ilala in the centre, Ubungo and Temeke in the south and Kigamboni in the east across the Kurasini creek.

View More On Wikipedia.org
  1. Shujaa Mwendazake

    JamiiForums Tanzania Askari kuanza kutumia nyumba za kisasa za Kunduchi na Mikocheni

    Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene ameruhusu askari polisi kuanza kutumia nyumba za kisasa zenye uwezo wa kubeba familia zaidi ya 300 zilizopo eneo la Kunduchi na Mikocheni mkoani Dar es Salaam. Pongezi kwa Wizara na Serikali.
  2. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Dar: Hafla ya BAWACHA Mikocheni yazingirwa na Polisi, wapewa dakika 30 tu

    Hii ni baada ya Polisi kuruhusu Bawacha wakutane kwa dk 30 tu huku polisi nao wakitaka kuwemo ndani ya ukumbi ili kusikia yanayozungumzwa , kabla ya ruhusa hiyo zimepigwa danadana kuanzia polisi kinondoni , DC hadi RC wakipiga danadana huku kila mmoja akijitoa asionekane kuruhusu jambo hilo ...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Je, nyumba za mawaziri Mikocheni nani anaishi kwa sasa?

    Baada ya serikali kuhamia Dodoma ni wazi kuwa mawaziri wote sasa wanatakiwa kuishi Dodoma jirani na ofisi zao. Je, hizi nyumba zao za mikocheni kwa sasa hivi nani anaishi humo? Nashauri tupewe watumishi wa DSM au serikali izipangishe kwa wanachi kwa kodi ndogo ili kila mwananchi afaidi matunda...
  4. luangalila

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Mikocheni, poleni kwa Mvua

    Habarini za Usiku, Mvua zinazo shambulia Jiji la DSM linashambulia mitaa mbali mbali ya jiji, leo nilipita mitaa ya MIKOCHENI kwa WARIOBA nilichokishuhudia pale leo ni wazi serikali inapaswa ichukue jambo Leo kwa warioba kuna bajaji ilisombwa na maji kutoka barabarani ikapelekwa ng'ambo ya...
  5. N

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dar: CCM yapata aibu kubwa TPDC Mikocheni

    Kati hali isiyo ya kawaida, Viongozi wa CCM waambulia watu 6 katika kikao kilichotegemewa kuwa na isiyo ya kawaida. Kwani TPDC peke yake in Kaya 72 na Mikocheni B ikiwa na watu ,5000 Mwezi uliopota, wafanyakazi wote wanaoishi kwenye nyumba za TPDC na wakazi wa Mikocheni wallabies wafike bila...
  6. Heci

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Mateso, mtu mwema wa Msasani aliyeuawa kwenye tukio la ujambazi Mikocheni jirani na Coca-Cola

    Mateso au Meshach, mkazi wa Msasani mtaa wa Mikoroshoni, unashuka pale General Tyre, ulizia kwa John muuzà duka ambalo pia ni genge na bar. Kiji bar cha John kinakesha 24/7, Msasani ikilala, kwa John pako live. Kwenye kijiwe hiki ndio watendakazi wote wa Msasani hunywa wakikosa wateja...
Back
Top Bottom