migogoro wakulima na wafugaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Josephat Masanja Jerry

    SoC03 Chozi la mkulima na mfugaji ni laana kwa vizazi vijavyo

    Picha; The chanzo. UTANGULIZI Nchi zote duniani ikiwemo Tanzania, hofu ya ustawi wa maliasili inazidi kuongezeka kutokana na wimbi la ongezeko la watu duniani na changamoto ya mabadiliko ya tabia nchi. Inakadiliwa kuwa ifikapo mwaka 2050, Tanzania itakuwa nchi ya tatu kwa wingi wa watu Afrika...
  2. Ojuolegbha

    Mikakati ya kumaliza migogoro ya Wakulima na wafugaji Kilosa

    "Tumejipanga na tunakuja na mkakati kabambe kumaliza Migogoro ya wakulima na wafugaji, nataka tuandike pamoja historia ya kumaliza kabisa changamoto ya migogoro hii Kilosa. Namimi nikiwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya hii nitaanza na watendaji ndani ya serikali ambao ni...
  3. J

    IGP Sirro: Nimeumia sana kuwasikia Wanafunzi wakiniambia hawajaenda shule kwa sababu wanaogopa kuuawa na Wamasai hapa Kilindi

    IGP Sirro amefanya ukaguzi wa kushtukiza wilayani Kilindi ambako wananchi sita wameuawa katika mapigano kati ya Wakulima na wafugaji. Sirro amesema alijisikua maumivu moyoni baada ya kuelezwa na wanafunzi kuwa wameshindwa kwenda shule wakihofia kuuliwa na wamasai. IGP Sirro ameahidi kupeleka...
  4. N

    Mgogoro wa wafugaji nchini imeshamiri sana

    Daah kwa kweli siku hzi wafugaji na wakulima kuna migogoro mbalimbali hutokea Kila siku. Mifugo kula mazao ya wakulima inapelekea migogoro mbalimbali hata vifo pia. Tutafanya nin ili kupunguza mogogoro na vifo hivyo?
Back
Top Bottom