mifumo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Dr Slaa: Madai ya Humphrey Polepole ya kuhujumiwa kwa mifumo ya uchaguzi ni tishio la usalama wa nchi na taifa moja kwa moja. Huu ndio uhaini uhalisi!

    https://youtu.be/Zuf0AQbofZs?si=WeqZpejCIpZYoDR2 IN BRIEF: 1. Dr Wilbroad Peter Slaa ameanza kwa kumshukuru Humphrey Polepole kwa ukiri wake wa kushiriki kuandaa hujuma hizi. Ameomba msamaha kwa taifa na Watanzania wote, nasi tunamsamehe kwa kama ambavyo nasi Mungu wa mbinguni hutusamehe kila...
  2. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Mifumo kusomana (NIDA-INEC-NECTA)

    Mifumo hii kusomana ni jambo zuri na la kuigwa. Unaweza kupata taarifa popote, muda wowote. Tupunguze ujuaji
  3. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Natengeneza website(tovuti), mifumo ya ya kutunza kumbukumbu, hii nilimtengenezea mwanajamiiforum icheki

    Nicheki +255 0756704145 - Hii tovuti nilimtengenezea mwanajamiiforum Meneje wa Kampuni, tovuti kama hii natengeneza kwa 500,000 Tsh bei kitonga kabisa, karibu. Kama unahitaji mfumo wa kutunza kumbukumbu upo au programu (software ) ipo bei mfumo wa kumbukumbu kutunza wa seva ni 500,000 Tsh ,na...
  4. USSR

    JamiiForums Tanzania Mapungufu ya hoja ya mifumo kusomana je, taifa gani mifumo haisomani

    MAPUNGUFU YA HOJA YA POLEPOLE JE NI NCHI GANI MIFUMO HAISOMANI ? NIDA ijitegemee INEC ijitegemee Banki ijitegemee NECTA ijitegemee RITA ijitegemee TRA ijitegemee TUCTA ijitegemee Utumishi Ijitegemee Litakuwa taifa la ajabu sana na kijima. Leo unatumia Google play store kusajili Facebook...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kuingilia mifumo ya uchaguzi ni Uhaini. Lissu anashtakiwa kwa niaba yetu kwa kufanya Uhaini na tunaopaswa kuwashitaki kwa Uhaini!

    Uhaini ni jaribio la kubatilisha matakwa ya wananchi kusimika utawala kwa njia haramu. Kwa kuingilia mifumo ya uchaguzi CCM imekuwa ikibatilisha matakwa ya wananchi na kusimika utawala wake kwa njia zilizo haramu. Tumebebeshwa kesi dhidi ya Lissu tusiyoielewa na tunaopaswa kuwashitaki kwa...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kati ya Lissu aliesema "tutakinukisha" na wanaotuhumiwa kuingiilia mifumo ya uchaguzi kwa mujibu wa Polepole, nani anapaswa kushitakiwa kwa uhaini?

    Baada ya Polepole kutoa tuhuma nzito za mifumo ya uchaguzi kuingiliwa huku akitaka uchunguzi huru utaohusisha vyama vyote ufanyike ili umma ujiridhishe kama alichosema ni kweli au laa, nimejikuta na hili swali hapa chini: Kama Lissu anashitakiwa kwa tuhuma za kusema atakinukisha kuvuruga...
  7. G

    JamiiForums Tanzania Pole pole alikuwa na nafasi ya kurekebisha Yale yote anayolalamikia Leo lakini alijisahau akaacha Mifumo ya one man show walau amesema Ila amechelewa

    Mpaka majira ya saa nne tarehe 21 8 2025 hutujui kinachoendelea kwenye press ya Pole pole Ipite mbali Mifumo isipite naye Ila Kuna watu wanajisahau Sana wakipewa nafasi Hadi waondolewe Nape naye alijisahau siku aliponyoshewa bastola na Mifumo mibovu akashtuka sijui Kama ameshajifunza na...
  8. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Misime: Ukiona watu wanashambulia mifumo ya ulinzi ndiyo tabia ya wahalifu

    Akizungumza leo Agosti 21, 2025 katika mkutano wa wadau wa sekta ya habari na utangazaji kanda ya mashariki kuelekea uchaguzi mkuu 2025 Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amesema watu wanaoshambulia na kulikatisha tamaa Jeshi la Polisi ndio wahalifu.
  9. Tman900

    JamiiForums Tanzania Mifumo Haina ushirikiano

    Mtu una vielelezo hivi 1. Cheti Cha kuzaliwa 2.Cheti Cha shule ya msingi 3.Cheti Cha secondary 4. Cheti Cha ufundi veta. 5.TIN number 6.Reseni ya Biashara 7.Kitambulisho Cha NIDA 8.Passport ya Tanzania • Sasa mtu ukienda kupata Huduma ktk Hofisi za watawala wanakuambia kalete Barua ya...
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwasaga: Udukuzi sio tu wa mifumo, kuna udukuzi wa Akili za Binadamu

    Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA, Dkt. Nkundwe Mwasaga amezungumzia kuhusu matumizi ya Artificial Intelligence (Akili Unde), msikilize akifafanua jinsi gani suala hilo linavyoweza kuwa hatari kwa Jamii... Korea ya kusini kupitia taasisi ya usalama mtandani ya korea- KISA,inatarajiwa kuendesha...
  11. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania GE2025 Awamu ya Kikwete ndio mzizi wa kuharibu mifumo thabiti ya Taifa hili kwa Maslahi yao

    Kwa Watanzania wenye umri wa makamo kama wangu, tunakumbuka kuwa, tangu Awamu ya kwanza, ya pili na ya tatu baada ya Bunge kuvunjwa madaraka ya Wabunge na Mawaziri yalikuwa yana seize mara moja huku nchi ikiendeshwa na Makatibu Wakuu. Pia mfumo wa kukaimu madaraka ya Urais uliwatambua Spika na...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Polepole Utamaduni wa CCM ndiyo umetuletea umasikini! Pigania mifumo sio CCM

    Polepole Utamaduni wa CCM ndiyo umetuletea umasikini! Pigania mifumo sio CCM. CCM sio nchi ni brand na Chama. Ushauri Popepole huwezi kufanikiwa kwasababu mawazo yako ni kupigania chombo ambacho sio cha kidemokrasia. Huwezi kupingana na wana CCM ambao chama chenyewe ni chama cha kifalme...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Mifumo ya huduma ya afya GOT-HOMIS na EHMS inatumiwa kwa misingi ya hadhi ya hospitali?

    Habari ndugu, Naomba kufahamu mifumo ya kutolea huduma za afya kwa mfano GOT-HOMIS na EHMS imewekwa kwa kufatana na hadhi ya hospitali? Hospitali nyingi za wilaya zinatumia GOTHOMIS na huu mfumo naambiwa na watumiaji kwamba una mashetani mengi kiasi kwamba unapelekea baadhi ya huduma za afya...
  14. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Mvutano ndani ya CCM ni alama ya kuvifungua akili vyombo vya dola. Vikiwa makini huu ndo wakati wa kusimika mifumo imara

    Siasa za Tanzania chini ya Chama cha Mapinduzi ni siasa za makundi kugombania Madaraka na Ulaji. Makundi yote yanafanana kwenye jambo kuu moja. Uchu wa madaraka ili kuila keki ya Taifa vizuri. Makundi yote haya yanaamini yakishika utawala wa nchi basi watapata hela wapendavyo, wataishi vizuri...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Walitaka Uraisi kwa miaka 10 lakini wote hawapo!! Tubadilishe mifumo

    Walitaka Uraisi kwa miaka 10 lakini wote hawapo!! Tubadilishe mifumo badala ya uchawa
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Vyuo havi-update kwa wakati taarifa za Diploma kwenye Mfumo wa NACTE. Ukiomba ajira Serikalini, mfumo haukutambui

    Mimi ni Mwanafunzi wa Chuo kimoja hapa Dar es Salaam, ninasomea Stashahada Mwaka wa Pili..... nilikuwa na changamoto au kero kuhusiana na usajili wa Vyuoni na NACTEVET ambapo hata mimi nimekutwa na hiyo changamoto na mpaka sasa haijafanyiwa kazi. Vyuoni humu wanatabia ya kutusajili Wanafunzi wa...
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Jenista Mhagam: Serikali imepanga kutumia Sh Bilioni 161. 3 za Mfuko wa pamoja wa Afya kuboresha na kuimarisha mifumo ya afya

    Serikali imeazimia kutumia Shilingi Bilioni 161. 3 za Mfuko wa pamoja wa Afya kwa ajili ya kuboresha na kuimarisha mifumo ya afya nchini ili kutoa huduma bora za afya ya msingi kwa wananchi sambamba na kupunguza vifo vya watoto vitokanavyo na uzazi na kuimarisha huduma za bima ya afya kwa wote...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Tatizo sio watu wahuni ni mifumo bora

    Huwezi kumaliza wahuni kwenye nchi au chama weka mifumo bora Polepole anakosea kwa kujali wahuni badala ya mfumo mzima wa nchi wa uhuru na haki
  19. Surya

    JamiiForums Tanzania Mifumo miwili inayotawala ulimwengu

    Kila unachokifahamu kuhusu wewe na kuhusu dunia ni taarifa kutoka kwa Wazazi, Ndugu, Pastor au Shehe, Mwalimu. Binadamu anapozaliwa huja duniani na kuwekwa kwenye Mwanga, Mwanga ni kitu muhimu sana kwa binadamu, Hakuna mmea wa ardhini ambao unaweza kukuwa vizuri bila mwanga (Light). Huwezi...
  20. hamis77

    JamiiForums Tanzania Ushawishi wa wayahudi katika mifumo ya kiuchumi na kisiasa duniani

    Katika mjadala wa nguvu za mataifa na udhibiti wa rasilimali duniani, jamii ya Kiyahudi huibuka mara kwa mara kama kundi lenye ushawishi mkubwa sana hasa katika masuala ya kifedha, kisiasa, na kiteknolojia. Ingawa hoja hii mara nyingine huibua mijadala mikali, ukweli wa kihistoria, takwimu, na...
Back
Top Bottom