midomo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Logikos

    JamiiForums Tanzania Tusiwazibe midomo wapotoshaji, bali tufunge masikio yetu na kuwapuuza

    "I might disapprove of what you say, but I will defend to the death your right to say it" Siafiki mengi yanayosemwa na wapotoshaji.., lakini sifurahii kuwaziba midomo so called wapotoshaji, sababu kama tukiwaziba midomo leo na kweli wamepotosha uzibaji midomo huo huo unaweza kutumika kesho...
  2. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Midomo mibaya

    Si ubaya wa umbo la hasha. Wala si tafsiri ya midomo michafu. Uchafu kwa maana ya kutokuwa msafi. Na uchafu kwa maana ya matusi na maneno yasiyo na staha Tunaishi kwenye jamii ambazo ni jambo la kawaida kusikia kuwa fulani ana mdomo mbaya. Na anaweza kuwa ndugu jamaa rafiki ama hata wewe...
Back
Top Bottom