mgeni

Mgeni Jadi Kadika (born 1957) is a Tanzanian member of parliament for the Civic United Front.

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Tanzania Waziri mkuu mgeni rasmi kongamano la wadau wa mazingira, miaka 40 YA NEMC

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Mei 28, 2026 amewasili kuwa Mgeni Rasmi katika Kongamano la Kitaifa la Wadau wa Mazingira pamoja na maadhimisho ya miaka 40 ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) yanayofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC)...
  2. JamiiForums Tanzania Je, mgeni wa Azam anayetangazwa ni nani?

    Ni nani huyu mgeni ambae atapokelewa kesho? Je ni Ayoub Rioba?
  3. JamiiForums Tanzania Rais Samia kuwa mgeni rasmi maadhimisho ya siku ya Mazingira duniani

    Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya Siku ya Mazimgira Duniani yatakayofanyika jijini Dodoma Juni 5 mwaka huu. Katika hafla hiyo, kutafanyia pia uzinduzi wa Programu ya mageuzi ya kimkakati ya Mazingira endelevu Tanzania (2026 - 2030). Akizungumza leo na...
  4. JamiiForums Tanzania Uongozi wa Shule ya Pugu mmefeli sana kumuweka Mpoki kuwa mgeni rasmi wa mahafali yenu

    Katika mazingira ya elimu, mahafali si sherehe ya kawaida bali ni jukwaa la maono, msukumo na mwelekeo wa maisha ya wahitimu. Ndiyo maana uchaguzi wa mgeni rasmi hubeba uzito mkubwa kuliko inavyodhaniwa, kuna wakati viongozi waandamizi haswa mkuu wa shule pamoja na wasaidizi wake huzungusha...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kuna watu wanaweza kukaa peke yao siku nzima bila kuchoka, wanapenda wageni ila mgeni ukikaa zaidi ya saa unawaboa

    Mtu yupo ndani kwake siku nzima, kama hujamzoea unaweza kuhisi kuna shida ila ukiishi hapo kwa muda mrefu unamgundua wala hana shida, haonyeshi dalili za masikitiko, ndo furaha yake, Anapenda company lakini iwe ya muda mfupi tu, ukienda kumtembelea kaa nusu saa tembea, ukizidisha unamuona jinsi...
  6. JamiiForums Tanzania Mimi ni mgeni Dar, je kukaa baadhi ya sehemu kunaweza kushape maendeleo yako?

    Kukaa sinza, Kinondoni, Mbweni na Goba Au kukaa Buza, Mbagala, Mbande, Kongowe, Manzese, Tandika nk Ipi Bora?
  7. JamiiForums Tanzania Kwanini Tanzania ndiyo nchi rahisi zaidi duniani kwa mgeni kuishi kienyeji bila vibali na asichukuliwe hatua yoyote?

    Nimefuatilia sana mienendo ya nchi yetu na nikagundua jambo la kusikitisha: Tanzania imekuwa kama 'shamba la bibi'. Yaani ni nchi pekee ambayo mgeni anaweza kuingia kama mtalii, akapanga nyumba, akafungua kijibiashara au kuanza kazi za 'consultancy', na akaishi miaka mitano bila kuguswa na...
  8. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tetesi: Rais kuwa mgeni rasmi kwenye mechi ya Yanga na Simba huko Zanzibar

    Raisi wa Tangabar anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye dabi ya kariakoo itakayopigwa tarehe 01/03/2026 katika uwanja wa Amaan huko Zanzibar.
  9. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Arsenal inanitesa. Mapenzi yananitesa. Mi nitakua mgeni wa nani?

    Aisee hii timu muda wa kunifariji yenyewe ndio inanitesa.
  10. JamiiForums Tanzania Naitwa Tundusami mgeni nipokeeni

    Mi wamda mrefu umu ila nilikuwaga nasoma sasa nimeamua kujiunga mana kuna mada zinanivutiaga nashindwaga kuchangia asa ndo nimejiunga ivyo
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ni mikoa ipi hapa Tanzania ambayo ukienda kusaka fursa ukiwa mgeni utapata changamoto kunufaika kiuchumi ?

    Kuna mikoa ukienda kufungua biashara, jipange kama ni mgeni
  12. JamiiForums Tanzania Mgeni kukaa kwako mwisho siku ngapi ?

    Mgeni kukaa kwako mwisho siku ngapi ?
  13. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo ashiriki katika ufunguzi wa Ofisi ya CRDB Dubai

    Mgeni Rasmi ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo akipokepelewa na viongozi wa Serikali pamoja na uongozi wa Benki ya CRDB katika hafla ya uzinduzi wa kihistoria wa Ofisi ya Uwakilishi ya Dubai, tukio linaloashiria upanuzi wa...
  14. JamiiForums Tanzania Mimi ni mgeni tafadhari naomba mnipokee.

    Habarini wanajukwaa. Naomba mnipokee kwa mikono miwili Mimi ni mgeni humu jukwaani, natanguliza shukrani 🙏🏿
  15. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia kuwa Mgeni rasmi Mkutano wa umoja wa Mabunge duniani (IPU) jijini Arusha

    Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano mkubwa wa Mabunge unaotarajiwa kufanyika kwa siku sita mkoani Arusha na kuhusisha Maspika, Wabunge na Viongozi zaidi ya 1500 kutoka kote duniani. Hayo yameelezwa ikiwa ni maandalizi ya...
  16. JamiiForums Tanzania Mgeni nipokeeni - Nimejiunga rasmi sababu ya D9 na hotuba ya Samia

    Guys, guys, guys habarini, niko JF muda mrefu kama guest ila D9 na hotuba ya kesho ya chimama imenisukuma kufungua akaunti ili niweze kufuatilia mubashara na kuchangia. Kama kuna kitu natakiwa kukijua basi nifahamisheni. Kunihusu: Jinsia - KE Makazi - Pwani Kazi - Winga Umri - Gen Z Mahusiano...
  17. JamiiForums Tanzania Wakuu mi ni mgeni humu kazi yangu mwanamitindo(modeling) na uchekeshaji mitandaoni

    Habari zenu ndugu zangu, kwa jina naitwa alexander Zacharia Alex khalifa. Najishughulisha na mitindo na uchekeshaji tu ndo kazi yangu. Nimejiunga Leo rasmi hivo mnipokee, picha yangu ndo hiyo mnayo Iona, naomba nielekezwe napo kosea maana mi ni MGENI sijui utaratibu wa humu.
  18. JamiiForums Tanzania Mgeni lawama

    Hivi juzi nilipokea simu kutoka kwa ndugu huko mkoani. Akisema amepata kibarua mkoa nilipo hivyo anaomba aje akae kwangu. Nilimkaribisha lakini nikamwambia mimi naishi kibachela nyumbani sipiki akasema ye anataka pa ku lala tu. Alipofika akaanza kusema vyakula vya hotel hivi mara vile bora awe...
  19. JamiiForums Tanzania Mimi ni mgeni JF mnipokee

    Habari wanajamii mimi ni mgeni humu , ni kijana 30 male naomba mnipokee
  20. JamiiForums Tanzania Mgeni hataki soda anataka mia saba yake

    Ab
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…