mengi

Mengi is a common masculine Turkish given name. It means "eternal", "without a beginning", "having no beginning". It is an Oghuz accented version of Mengü which is also a Turkish given name. Compared to Mengü, Mengi has an additional meaning: "happy".

View More On Wikipedia.org
  1. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Mashirika mengi ya umma watumishi wana hali mbaya, yet wanagawa gawio kwa serikali

    Hivi kila kilichofanyika wakati wa Magufuli ni lazima kidumishwe? Kipindi cha Magufuli wahuni wachache ili kulinda nafasi zao wakaona wamkoshe Rais kwa kutoa gawio kwa serikali. Mashirika mengi yanajiendesha kwa hasara, watumishi wana hali ngumu na wale wanaoonekana kuwa super basi wako mahali...
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kumekucha: Wanaume wengi wa Dar hawana Nguvu za Kiume kwa kupenda kula Chips zenye Mafuta mengi hivyo waanze kula Chips zinazokaangwa na Maji

    Wala tusipotezeane sana muda nendeni manaratv mkamsikie wenyewe, ila Mimi nauliza tu Utakaanga vipi Chips na Maji? Sasa taratibu naanza kuamini kuwa huenda Tanzania ikawa na Madaktari Vihiyo (wa Mchongo) na ambao huenda wakawa wanavuta mno Bangi kuliko hata ambao wanazilima huko Tarime (Mara) na...
  3. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Utabiri 2024; mengi aliyotabiri yameanza kutokea

    https://youtu.be/ZRtV1GTdV3c?si=utlV5n-p9g7L7AZq Machache niliyoyanasa Barua ya kugombea kupitia CCM alipewa Askofu Gwajima, bahati mbaya alikuwa kazubaa Akaja mwanamke akanyakua kwa nguvu ile barua na kusonga mbele Mungu akamwambia yule mwanamke kuwa hana kibali ya kugombea Mh.Mbowe...
  4. excel

    JamiiForums Tanzania Ongeza Juhudi itafute hii DAWA.. inatibu matatizo mengi sana

  5. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Kwanini Yesu ana majina mengi kila nchi (Jesus, Yesu, Emmanuel, Yoshua, Jisos, Jesu, Issa)

    Karibia kila nchi ina namna ya kumuita Yesu kwa jina lake, mm mtanzania nikiomba nasema Katika jina la Yesu alafu mwingine anasema in Jesus nama ama Yoshua, to me it feels like maombi yanaenda kwa mtu tafauti! unlike waislam mtume wao wanamwita jina moja dunia nzima Prophet Muhammad, sjawahi...
  6. Camilo Cienfuegos

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Nimekutana na magari mengi hapa Dodoma yakiwa na usajili huu, ndio mahaba au kujipendekeza?

    Kwasasa Dodoma kuna magari yana usajili huu. Usajili huu wa kufanana hauwezi kuleta shida huko barabarani? Je ni mahaba au kujipendekeza kwa Rais?
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Je, Wajua? Umri wa kuishi nchini Finland ni mrefu ikilinganishwa na mataifa mengi duniani!

    Umri wa kuishi nchini Finland ni mrefu ikilinganishwa na mataifa mengi duniani, ambapo wanaume huishi wastani wa miaka 79 na wanawake miaka 84. Tofauti hii ya miaka mitano kati ya jinsia inaonyesha hali bora ya huduma za afya, lishe, na mtindo wa maisha unaojali afya. Maisha marefu ya raia wa...
  8. errymars

    JamiiForums Tanzania Nilifungua Website ya Kimataifa Mwezi wa Kwanza nikapokea Maoni mengi sana

    Sasa imefikia hatua hii, Naombeni maoni yenu 🙏 https://fntaz.com/
  9. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Sura ya Bashiru Ally Kakurwa inazungumza mambo mengi sana !

    Sura huwa inazungumza. Ukimtazama Bashiru Anafikiria alivyoharibu demokrasia kuhasisi mambo ya kupita bila kupingwa Anafikiria ule mchakato wake wa wabunge na madiwani wa chadema kuhama na kuunga mkono juhudi. Na anafikiria je agombee ubunge pale Bukoba vijjini je atatoboa ? Wabunge wa ccm...
  10. W

    JamiiForums Tanzania Ni hatua zipi za kuchukua kupunguza upotevu wa mali kwa mzazi mwenye mashamba na nyumba nyingi lakini hashirikishi mke wala watoto ?

    Sio lazima arithishe familia yake, Tatizo hashirikishi hata ndugu zake. Ni kwa lengo la kupunguza upotevu wa mali, Matapeli kujimilikusha vitu kiholela, n.k. Wala hakuna ugomvi familia inaishi vizuri lakini unakuta mzee hataki kabisa kuzungumzia ishu za mali, Mali mnazijua kupitia watu...
  11. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kasongo, Zakayo, El Chapo na Naibu Yesu - kwa nini rais wa Kenya ana majina mengi ya utani?

    Mei 2025 Rais wa Kenya William Ruto ni mtu mwenye majina mengi ya utani. Naibu Yesu, El Chapo, Hustler na Muuza Kuku ni baadhi tu ambayo amepata katika miaka ya hivi majuzi. Kama ilivyo ada wakati watu wanapewa majina mbadala, mengine ni kuonyesha mapenzi lakini mengine yanakusudia kumdhihaki...
  12. Blaszczykowski

    JamiiForums Tanzania Nina maswali mengi juu ya mashetani aliokuwa akipandisha mama yangu mzazi

    Hello wapendwa, kama kichwa cha Habari kinavyo jieleza apo juu. kipindi nilivyokuwa mdogo miaka 7 niliona kwa macho yangu bi mkubwa akipandisha mashetani na kuongea lugha ambayo nilishindwa kuielewa (kiarabu) alieweza kuongea nae alikuwa mama mkubwa na yeye lazima apandishe mashetani ndio waweze...
  13. Hharyson

    JamiiForums Tanzania Appartments design 2bedrooms ,lounge kitchen 2verandah . Plot of 600sqm 4units call us for design and construction services

    SISI TUNAHUSIKA NA DESIGN + UJENZI OFISI ZETU ZIPO SINZA DAR ES SALAAM CALL/WHATSAP +255624004650
  14. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Video: Sakata la Elie Mpanzu lachukua sura Mpya. Ayaibua mengi mazito

    Hili limechafua hali ya hewa
  15. Pdidy

    JamiiForums Tanzania SIKU YA KESHO TUFUNGE KUIOMBEA SIMBA IFUNGWE MAGOLI MENGI MOROCO

    HABARINI ZA UZIMA WANA UBAYA UMWELA KESHO TUTAKUW NA MFUNGO MAALUM KUANZIA ASBH MIN MASAA SABA MAX 12 UNAWEZA LENGO KUU BERKANE ASHINDE KWA MAGOLI MENGI KULE.MOROCO TTUIMBEEEE MAGOLI YA BERKANE YAWE MENGI WAKIRUDI WAFUNGWE KWA MKAPA MAGOLI MENGI YA KUTOSHA BERKANE AWE BINGWAAA OMBI MAALUM...
  16. hamis77

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mungu alimpenda sana Daudi ,japokuwa alikuwa na machafu mengi?

    DAUDI ALIKUWA NA MADHAIFU MAKUBWA Daudi hakuwa mkamilifu. Alifanya makosa mazito kama: Kuzini na mke wa Uria (Bathsheba) Kumuua Uria kwa njama ili kuficha kosa lake (2 Samweli 11:1–27) Haya yalikuwa makosa ya kimaadili na kisheria mbele za Mungu. LAKINI DAUDI ALIPENDA KWELI NA HAKUWA...
  17. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Bw, Mnyika kama kiongozi uliyesaidia transitional, how do you survive?, maswali ni mengi sana!

    Wenye akili zetu tumekaa tu kimya tunakuangalia, #Pole sana bw. FAM.
  18. Brayan_Jk

    JamiiForums Tanzania Unataka Kuku wanaotaga Mayai mengi? Hawa ndio 5 bora wanaokuachia mpaka 318 Mayai kwa mwaka!

    Hello Wafugaji wenzangu 👋🏽, Nimeona kuna watu wengi wanaanzisha ufugaji wa kuku, hasa kwa lengo la kupata mayai ya kutosha kwa matumizi au biashara, lakini ndani ya miezi michache wanakata tamaa. Nimeona hii mara kwa mara, na mara nyingi chanzo kikubwa ni kununua kuku bila utafiti sahihi...
  19. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Wananchi wana maarifa mengi kuliko mamlaka?

    Je ni kweli kwamba wenye akili wako mtaani na wengine ndio wako kwenye mamlaka walioaminiwa na kukasimiwa madaraka makubwa ya maamuzi? Je ni kweli na pengine ni sahihi kusema kwamba wana maono kimo cha mbilikimo? Kwa wenzetu walionyooka kama rula ukituhumiwa tuu.. Cha kwanza ni kuachia kiti na...
Back
Top Bottom