medali

The Order of the Lithuanian Grand Duke Gediminas is the Lithuanian Presidential Award which was re-instituted to honour the citizens of Lithuania for outstanding performance in civil and public offices. Foreign nationals may also be awarded this Order. The Order of the Lithuanian Grand Duke Gediminas was instituted in 1928. It features the Columns of Gediminas, one of the national symbols of Lithuania.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Kwa ubabe aliomfanyia mchina: Pelosi avalishwa medali ya heshima ya ujasiri na ushujaa!

    Pelosi receives medal of honor Taiwanese leader praised the US House Speaker for her stalwart support of the island. “The speaker’s courage and actions are deeply inspiring and touching,” Tsai said, according to the South China Morning Post, as she presented Pelosi with one of the highest-rank...
  2. simplemind

    AfriKa mashariki imenyakua medali zote za Marathon

    Let us share the happiness together.
  3. Melubo Letema

    Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro Ampongeza Simbu Kwa Medali ya Fedha.

    Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Dkt Asha-Rose Migiro, Ampongeza mwanariadha Alphonce Felix Simbu kwa kunyakua Medali ya fedha baada ya kuibuka mshindi wa pili, nyuma ya Mganda Victor Kiplagat katika mchuano wa Marathon Kwa wanaume katika Michezo ya Jumuiya ya Madola yaliyofanyika leo jijini...
  4. Melubo Letema

    Mwanariadha wa Mbio Ndefu Marathon (42KM) Alphonce Felix Simbu Amenyakua Medali ya Fedha

    Mwanariadha wa Mbio Ndefu Marathon (42KM) Alphonce Felix Simbu Amenyakua Medali ya Fedha ,kwa kukimbia muda (2:12:29) nyuma ya Mganda Victor Kiplagat (2:10:55) na Mkenya wa Tatu Kwa Muda (2:13:16), kwenye Mashindano ya Jumuiya ya Madola yaliyofanyika Jijini Birmingham, Uingereza Leo Tarehe 30...
  5. pingli-nywee

    Faith Kipyegon ainyakulia Kenya medali ya kwanza ya dhahabu kwenye mashindano ya World Athletics Championships, Oregon22

    Siku ni ya nne ya mashindano hayo ya riadha(IAAF), ambayo yanaendelea kule mji wa Oregon, USA. Kenya tayari ina medali zingine mbili, moja ya fedha na nyingine ya shaba. NAIROBI, Kenya, Jul 19 – Faith Kipyegon underscored her status as the greatest 1500m athlete of all time with an imperious...
  6. B

    Mashujaa Watanzania wawili miongoni mwa waliotunukiwa medali ya Dag Hammarskjold

    27 May 2022 UN HQ / Makao ya Umoja wa Mataifa New York Mashujaa Watanzania wawili miongoni mwa waliotunukiwa medali ya Dag Hammarskjold Askari wa Tanzania waliopoteza maisha, Luteni Kanali Christopher Kavalambi na private Mbwana Daudi wametunukiwa na Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres...
  7. Melubo Letema

    Zimebaki siku 50 Giniki Gisamoda na Gabriel Geay kutuwakilisha Kimataifa

    Emanuel Giniki Gisamoda na Gabriel Gerald Geay ni Wanariadha Wawili mpaka sasa wanaotarajia kutuwakilisha kwenye Mashindano ya Dunia yatakayofanyika Eugene, Oregon nchini Marekani, kuanzia Tarehe 15 julai Hadi Agosti 25. Zimebaki takribani siku 50 kabla ya wao kwenda kutupa karata yao ya Kusaka...
Back
Top Bottom