27 May 2022
UN HQ / Makao ya Umoja wa Mataifa
New York
Mashujaa Watanzania wawili miongoni mwa waliotunukiwa medali ya Dag Hammarskjold
Askari wa Tanzania waliopoteza maisha, Luteni Kanali Christopher Kavalambi na private Mbwana Daudi wametunukiwa na Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres, medali za heshima za Umoja wa Mataifa UN iitwayo Dag Hammarskjold kwa kujitoa kutumikia Jeshi la Umoja wa Mataifa la Kulinda Amani DR Congo na kupoteza maisha yao katika misheni ya kijeshi mwaka 2021 .
Personnel from UN Peace Operations Posthumously Awarded the Dag Hammarskjòld Medal on 26 May 2022
UN HQ / Makao ya Umoja wa Mataifa
New York
Mashujaa Watanzania wawili miongoni mwa waliotunukiwa medali ya Dag Hammarskjold
Askari wa Tanzania waliopoteza maisha, Luteni Kanali Christopher Kavalambi na private Mbwana Daudi wametunukiwa na Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres, medali za heshima za Umoja wa Mataifa UN iitwayo Dag Hammarskjold kwa kujitoa kutumikia Jeshi la Umoja wa Mataifa la Kulinda Amani DR Congo na kupoteza maisha yao katika misheni ya kijeshi mwaka 2021 .
Personnel from UN Peace Operations Posthumously Awarded the Dag Hammarskjòld Medal on 26 May 2022