Katika pita pita zangu kwenye mitaa ya YouTube, nimekutana na video ya Rais Julius Nyerere akiwa New Delhi, India, akipokea tuzo.
Ilikuwa mwaka 1982.
https://youtu.be/aGHLfV4S3CM?si=y1MsBA83j5P1y4p0
Kwenye ukurasa wa mabandiko wa chaneli ya mwanahistoria Adeyinka Makinde, kuna mdau katema...