The Dictator
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 4,421
- 12,109
Kwa nini mpaka sasa mamlaka haijaachia huru mtandao wa JAMII FORUM kupatikana kwa watu wote hata baada ya tarehe ya kifungo kuisha? Kuna maelezo yoyote kuhusu swala hili?
Mjumbe
Mjumbe