Marekani yapungukiwa na mifumo ya ulinzi wa makombora mashariki ya kati - yataka msaada korea kusini
Marekani yaruhusu urusi kuuza mafuta kwa nchi za magharibi baada ya hormuz kufungwa na iran--mwamba putin kagoma
Putin: Niondoleeni vikwazo lasivyo uchumi wenu utaangamia
Kanali Mstaafu, Joseph Simbakalia amesema kuwa nchi za Afrika zinapaswa kujikomboa kifikra kwa kuondoa mtazamo wa kudhani kuwa mataifa ya magharibi ndio yenye mamlaka ya kuamua mustakabali wa mambo ya nchi za Afrika ikiwemo matumizi ya rasilimali zake.
Ameongeza kuwa Afrika inapaswa kuungana na...
Mwenyekiti Mstaafu wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Hamad Rashid Mohammed amesema kuwa mbali na wakoloni kuwachukua Waafrika kuwa watumwa katika mataifa yao walianzisha mifumo iliyowafanya Waafrika kudharau utamaduni wao ili waendee kuwatawala kifikra.
Amesema kuwa hata sasa...
Ni swali TU najiuliza
Tuongee TU kiuhalisia bila ushabiki wa upande wowote waarabu wangepewa uwezo wa maarfa na silaha kama mataifa ya magharibi Dunia ingekuwaje ?
Hatar mpya katika ustawi na usalama wa mataifa ya magharibi na dunia ilio timamu n muunganiko itikadi ya mrengo wa kushoto na itikadi ya msimamo mkali
Katika usawa huu ambao watoto wenu wanatakiwa wafundishwe kuhusu ushoga tangu mashuleni, kuupiga chini ukristo kwa sababu hauendani na ushoga na...
Hawa ndio wanao-force watoto wenu wasome vitabu vyenye details za kishoga shoga mashuleni.
Hawa ndio wanaoforce uwezekano wa kumbadili mtoto wako jinsia ukihisi tu ana elements za jinsia ambayo sio alionayo.
Hawa ndio wanao -force mwanamke afanye abortion kwa namna na wakati wowote aupendao...
Kundi la nchi za BRICS linaendelea kupanuka, na likiwa sasa limeongeza nchi washirika mwezi Januari mwaka huu wa 2025, baada ya kuingiza wanachama wapya mwaka jana. Sasa kundi hili lina takriban ya nusu ya idadi ya watu duniani na zaidi ya 41% ya Pato la Taifa (GDP), ambapo limekuwa nguvu ya...
Jerusalemu Katika Siku za Mwisho
“Zekaria 12:2 Angalia, mimi nitafanya Yerusalemu kuwa kikombe cha kuyumba-yumba kwa watu wa kabila zote, wazungukao pande zote; tena kitakuwa juu ya Yuda pia wakati wa kuhusuriwa Yerusalemu.
3 Tena itakuwa siku hiyo, nitafanya Yerusalemu kuwa jiwe la kuwalemea...
GOVTECH MATURITY INDEX ni utafiti unaolenga kupima uwezo wa nchi mbalimbali kuendeleza na kutumia teknolojia kwa ajili ya kuboresha utoaji wa huduma za umma na utawala bora.
Kwa mujibu wa GOVTECH MATURITY INDEX, kuna makundi manne ya nchi ambayo ni A, B, C na D.
Kundi A lina nchi ambazo...
Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilikumbwa na mabishano makali kati ya Urusi inayoshikilia urais wa zamu wa Baraza hilo na mataifa ya Magharibi yanayoilaani kwa uvamizi wake dhidi ya Ukraine.
Akiongoza kikao kilichokusudiwa kuwa mdahalo juu ya nafasi ya Baraza Kuu la Usalama la...
Lengo kubwa la mataifa ya magharibi ni kuiangusha kiuchumi Urusi ili hatimaye idhoofike kijeshi.
Kufikia lengo hilo walimpata rais msanii na mchekeshaji Zelensky wa Ukraine, ambaye walimvimbisha kichwa na kumdanganya kuwa aigomee Urusi kuhusu kuruhusu majimbo ya mawili yaliyoko mashariki mwa...
Rais Joe Biden amesema Bungeni kuwa Rais wa Urusi, Vladimir Putin alifikiri vibaya kuhusu hatua ambazo Mataifa ya Magharibi yangechukua alipoivamia Ukraine.
Amesema Vita ilipangwa bila kuchochewa, na Rais Putin alikataa juhudi za mara kwa mara za Kidiplomasia akifikiri Nchi za Magharibi na NATO...
Volodymyr Zelensky ametoa ombi jingine kwa washirika wa nchi za Magharibi kuisaidia Ukraine na kukomesha mashambulizi ya kikatili ya Urusi.
"Leo asubuhi tunalinda taifa letu peke yetu. Kama jana, majeshi yenye nguvu zaidi duniani yanatazama kutoka mbali," Zelensky alisema katika hotuba yake kwa...
Viongozi wa mataifa ya Magharibi na taasisi za Kimataifa wamekemea vikali mashambulizi dhidi ya Ukraine na kuahidi kuiwajibisha Urusi.
Mara baada ya kuripotiwa taarifa ya milipuko katika miji mbalimbali ya Ukraine, Rais wa Marekani Joe amemshutumu Rais wa Urusi Vladimir Putin kwa kusema “Urusi...
Habari wanajamvi,
Nilikuwa na Majukum huku North Korea nikapata Furaha Kupitia YouTube video mama amefafanua leo kuhusu 1.3T tulizokopa binafsi nimeona Kuna jambo ambalo watz tunaumizwa pasi sisi kujua kwa sababu za kisiasa za kikundi fulani.🤔
Mama amesema tumepewa Concessional Loan ya miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.