Kuelekea uchaguzi wa kwanza wa urais Marekani, uliofanyika Desemba 1788 hadi Januari 1789, mtindo wa kumchagua na kupata Rais, ulisababisha vichwa vya mababa waasisi wa taifa hilo viume. Anachaguliwaje?
Ilikuwa mwaka 1787 baada ya Kongamano la Kikatiba lililofanyika Philadelphia, Marekani...