Tofauti mojawapo kati ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania na Marekani, ni kuhoji mchakato wa Uchaguzi katikati ya Uchaguzi!

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,347
6,471
Nasikia Donald Trump amekimbilia mahakamani kusitisha uhesabuji wa kura. Akiwa madarakani amekimbilia mahakamani, badala ya kwenda kwenye Tume ya Uchaguzi. Hapa kwetu Tanzania, balaa, mgombea haruhusiwi kukimbilia mahakamani wala Tume haitakiwi kuulizwa lolote juu ya Uchaguzi.

Hapa sio suala la ukomavu kidemokrasia, bali ustaarabu na u-smart upstairs.
 
Tofauti kubwa ni kwamba wakati Trump anajitangaza mshindi media karibu zote zilikata matangazo ya speech yake.

Baadae media karibu zote zikamponda madai yake ya wizi wa kura hayana evidence.

Ndio ujue mabeberu yaliyovyokuwa ayachukulii poa maswala ya National security.

Wakati kwenye chaguzi zetu media zao hizo hizo ndio zinachangia ku promote pale mtu anapokataa kushindwa na vyombo vya habari za nchi jirani ndio vinasambaza sumu duniani.

Inakwambia sisi waafrika bado sana, walau Tanzania tupo mbele kidogo jamaa wanaelewa madhara ya kurusha maudhui ya ovyo.

Imagine alichofanyiwa Trump na media zao afanyiwe Lissu halafu uone upuuzi wa watu kule Twitter sijui uminyaji wa free speech na mengineo to do with nonsense, kazi ya kuweka amani na kuongoza nchi sio rahisi; kwa Africa Tanzania tunaongoza jamaa huwa awacheki kabisa na upuuzi big up sana vyombo vyetu vya ulinzi.
 
Katiba yetu inampa maalaka Rais hata akipenda kufanya maagano na wateule wake na kiapo hadi mwisho wa dahari yake.NEC, Jaji mkuu,Vyombo vya ulinzi na usalama nk.
 
Tofauti kubwa ni kwamba wakati Trump anajitangaza mshindi media karibu zote zilikata matangazo ya speech yake.

Baadae media karibu zote zikamponda madai yake ya wizi wa kura hayana evidence.

Ndio ujue mabeberu yaliyovyokuwa ayachukulii poa maswala ya National security.

Wakati kwenye chaguzi zetu media zao hizo hizo ndio zinachangia ku promote pale mtu anapokataa kushindwa na vyombo vya habari za nchi jirani ndio vinasambaza sumu duniani.

Inakwambia sisi waafrika bado sana, walau Tanzania tupo mbele kidogo jamaa wanaelewa madhara ya kurusha maudhui ya ovyo.

Imagine alichofanyiwa Trump na media zao afanyiwe Lissu halafu uone upuuzi wa watu kule Twitter sijui uminyaji wa free speech na mengineo to do with nonsense, kazi ya kuweka amani na kuongoza nchi sio rahisi; kwa Africa Tanzania tunaongoza jamaa huwa awacheki kabisa na upuuzi big up sana vyombo vyetu vya ulinzi.
Hivi kwan hapa kwetu kuna media ilikua ikirusha kampeni za lisu live ?
 
Tofauti kubwa ni kwamba wakati Trump anajitangaza mshindi media karibu zote zilikata matangazo ya speech yake.

Baadae media karibu zote zikamponda madai yake ya wizi wa kura hayana evidence.

Ndio ujue mabeberu yaliyovyokuwa ayachukulii poa maswala ya National security.

Wakati kwenye chaguzi zetu media zao hizo hizo ndio zinachangia ku promote pale mtu anapokataa kushindwa na vyombo vya habari za nchi jirani ndio vinasambaza sumu duniani.

Inakwambia sisi waafrika bado sana, walau Tanzania tupo mbele kidogo jamaa wanaelewa madhara ya kurusha maudhui ya ovyo.

Imagine alichofanyiwa Trump na media zao afanyiwe Lissu halafu uone upuuzi wa watu kule Twitter sijui uminyaji wa free speech na mengineo to do with nonsense, kazi ya kuweka amani na kuongoza nchi sio rahisi; kwa Africa Tanzania tunaongoza jamaa huwa awacheki kabisa na upuuzi big up sana vyombo vyetu vya ulinzi.
Hahaha kwani Tanzania tuna media ?!

Hapa tuna vibaraka wanaoweza kufanya wanayoagizwa na anayewalipa.

Inawezekanaje waandishi wote wawe na akili sawa, wote wafanye mambo kama robots, lazime kuwe na mtu ana wamonitor some where.

Habari zao wote zinafanana kwasababu zote zinatoka sehemu moja na wanaelekezwa nini cha kuandika.
 
Tofauti kubwa ni kwamba wakati Trump anajitangaza mshindi media karibu zote zilikata matangazo ya speech yake.

Baadae media karibu zote zikamponda madai yake ya wizi wa kura hayana evidence.

Ndio ujue mabeberu yaliyovyokuwa ayachukulii poa maswala ya National security.

Wakati kwenye chaguzi zetu media zao hizo hizo ndio zinachangia ku promote pale mtu anapokataa kushindwa na vyombo vya habari za nchi jirani ndio vinasambaza sumu duniani.

Inakwambia sisi waafrika bado sana, walau Tanzania tupo mbele kidogo jamaa wanaelewa madhara ya kurusha maudhui ya ovyo.

Imagine alichofanyiwa Trump na media zao afanyiwe Lissu halafu uone upuuzi wa watu kule Twitter sijui uminyaji wa free speech na mengineo to do with nonsense, kazi ya kuweka amani na kuongoza nchi sio rahisi; kwa Africa Tanzania tunaongoza jamaa huwa awacheki kabisa na upuuzi big up sana vyombo vyetu vya ulinzi.
Acha kujifanya mjinga wakati uko timamu
 
Hahaha kwani Tanzania tuna media ?!

Hapa tuna vibaraka wanaoweza kufanya wanayoagizwa na anayewalipa.

Inawezekanaje waandishi wote wawe na akili sawa, wote wafanye mambo kama robots, lazime kuwe na mtu ana wamonitor some where.

Habari zao wote zinafanana kwasababu zote zinatoka sehemu moja na wanaelekezwa nini cha kuandika.
Kabisa kama hakuna chombo kiliagiza wazime basi lazima kuna regulations fulani au just common sense tu za vyombo vyao vya habari kupitia weledi wa producers ya kuwa kauli za Trump zilikuwa irresponsible wakaamua kukata.
 
Hapa kwetu Tanzania, balaa, mgombea haruhusiwi kukimbilia mahakamani wala Tume haitakiwi kuulizwa lolote juu ya Uchaguzi.
Lakini wakati hayo yanakatazwa, Rais aliye madarakani anaruhusiwa kuiba kura za washindani wake ili kura hizo ziwe zake, na mkileta fyokofyoko, mnaletewa vifaru!!
 
  • Thanks
Reactions: cmp
Kabisa kama hakuna chombo kiliagiza wazime basi lazima kuna regulations fulani au just common sense tu za vyombo vyao vya habari kupitia weledi wa producers ya kuwa kauli za Trump zilikuwa irresponsible wakaamua kukata.
Hahaha Trump alitaka media wafanye nini sasa wapindue meza?!

Anataka wanasheria wake wafungue kesi nyingi, wanamuomba ushahidi wa hayo anayolalamikia, hana, sasa wanafunguaje kesi?!
 
Tofauti kubwa ni kwamba wakati Trump anajitangaza mshindi media karibu zote zilikata matangazo ya speech yake.

Baadae media karibu zote zikamponda madai yake ya wizi wa kura hayana evidence.

Ndio ujue mabeberu yaliyovyokuwa ayachukulii poa maswala ya National security.

Wakati kwenye chaguzi zetu media zao hizo hizo ndio zinachangia ku promote pale mtu anapokataa kushindwa na vyombo vya habari za nchi jirani ndio vinasambaza sumu duniani.

Inakwambia sisi waafrika bado sana, walau Tanzania tupo mbele kidogo jamaa wanaelewa madhara ya kurusha maudhui ya ovyo.

Imagine alichofanyiwa Trump na media zao afanyiwe Lissu halafu uone upuuzi wa watu kule Twitter sijui uminyaji wa free speech na mengineo to do with nonsense, kazi ya kuweka amani na kuongoza nchi sio rahisi; kwa Africa Tanzania tunaongoza jamaa huwa awacheki kabisa na upuuzi big up sana vyombo vyetu vya ulinzi.
Hadi umejua media zilizuia madai ya Trump lakini habari umeitoa wewe sasa sijui umeipata wapi kama sio kupitia hizo hizo media.

Halafu mbona makelele ya Trump hakina media iliyozuia eti kwa kisingizio cha National security mbona kila pembe ya dunia watu wanasikia nakujionea wenyewe kupitia hizo hizo media za Marekani.

Hata mtoto mdogo anajua jinsi Trump anavyolalama pasina kuweka evidence.
 
Hadi umejua media zilizuia madai ya Trump lakini habari umeitoa wewe sasa sijui umeipata wapi kama sio kupitia hizo hizo media.

Halafu mbona makelele ya Trump hakina media iliyozuia eti kwa kisingizio cha National security mbona kila pembe ya dunia watu wanasikia nakujionea wenyewe kupitia hizo hizo media za Marekani.

Hata mtoto mdogo anajua jinsi Trump anavyolalama pasina kuweka evidence.
Nazungumzia alipokuwa live wakati hakuna mtu alijua ata ongea nini habari ilikatwa kabla ajamalizia kuongea baada ya kuanza kutoa tuhuma.

Kwa sasa wanachoonyesha ni marudio with counter argument his allegations are unfounded.
 
Hadi umejua media zilizuia madai ya Trump lakini habari umeitoa wewe sasa sijui umeipata wapi kama sio kupitia hizo hizo media.

Halafu mbona makelele ya Trump hakina media iliyozuia eti kwa kisingizio cha National security mbona kila pembe ya dunia watu wanasikia nakujionea wenyewe kupitia hizo hizo media za Marekani.

Hata mtoto mdogo anajua jinsi Trump anavyolalama pasina kuweka evidence.




Hiko ☝️ndio kilichotokea karibu wote walifanya ivyo, kwa pamoja in a synchronised move.
 
Back
Top Bottom