Mzuka sana, sana sana sana sana yani sana yaaaaaaaaani.
Hivi ni nani alianzisha hili wazo, bonge Moja la idea,
Jamani kipi unalikumbuka kuhusu Dodoma hususani kwenye marathon kama hii, zamani kidogo kwenye tamasha baada ya mbio pale jamhuri watu walikua wachache sana, lakini siku hizi mzuka...