Dodoma marathon iliyounganika pamoja na festival ya kuchoma nyama, inaleta mabadiliko chanya sana kibiashara na kiuchumi kwa mkoa wa Dodoma,
Je hii hawezi kuzunguka na mikoa mingine?
Nimeona mpaka TRC imepandisha bei za Tickets kumaanisha kuna ongezeko la mapato.
Washiriki wekeni likes hapo...