The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 6,179
- 14,046
Heshima kwenu wakuu, Itifaki na izingatiwe.
Iko hvi, kwa muda mrefu nimekua natamani uwezo wa kukimbia atleast 10KM kwa pace nzuri.
Sasa jana nimeanza vizuri tu, easy running kwa 4.14KM kwa pace ya 07:25min/KM.
Sasa leo nikawa na aim nifike 5KM lkn naona pumzi imekataa kabisa 😂 tuwaone tu akina Simbu wanapewa tuzo Marathon sio rahisi pia.
Japo hakijaharibika kitu, kesho tena niko Barabarani, mpaka kieleweke.
Nikifika 10KM nitasimama hapo nianze traning kwa ajili ya kupanda Mt. kilimanjaro.
Nataka ninapo sherehekea miaka 30, nisherehekee juu ya kilele cha Mlima Kilimanjaro 😂
Embu ona Chartgpt anavoicheka pace yangu ya leo 😂.
Iko hvi, kwa muda mrefu nimekua natamani uwezo wa kukimbia atleast 10KM kwa pace nzuri.
Sasa jana nimeanza vizuri tu, easy running kwa 4.14KM kwa pace ya 07:25min/KM.
Sasa leo nikawa na aim nifike 5KM lkn naona pumzi imekataa kabisa 😂 tuwaone tu akina Simbu wanapewa tuzo Marathon sio rahisi pia.
Japo hakijaharibika kitu, kesho tena niko Barabarani, mpaka kieleweke.
Nikifika 10KM nitasimama hapo nianze traning kwa ajili ya kupanda Mt. kilimanjaro.
Nataka ninapo sherehekea miaka 30, nisherehekee juu ya kilele cha Mlima Kilimanjaro 😂
Embu ona Chartgpt anavoicheka pace yangu ya leo 😂.