mapingamizi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Mahakama Kuu yatupilia mbali Mapingamizi ya Serikali katika Kesi ya Kikatiba ya Bandari

    HOJA ZA MAPINGAMIZI YA SERIKALI YA MUUNGANO NA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR KUHUSU KESI YA BANDARI YATUPITILIWA MBALI, KESI YA MSINGI YA KIKATIBA SASA KUPANGIWA TAREHE YA KUANZA KUSIKILIZWA https://m.youtube.com/watch?v=D5ZLtOJJ-nE Ndugu Odero Charles Odero amechukua hatua ya kuipeleka...
  2. Crocodiletooth

    Yapo mambo mtambuka juu ya mapingamizi ya mkataba huu

    Ipo clip inaonyesha Dp world foundations imeanza kutoa misaada mbalimbali ya Ujenzi wa misikiti awamu kwa awamu,ikumbukwe hawa ndugu zetu al maarab wanafedha kweli kweli,huu ni mtazamo wangu binafsi Dp world haikupaswa kuja Tanzania na kuanza kupromote suala la Ujenzi wa misikiti, hapo...
  3. Nyendo

    DPP na DCI waweka mapingamizi manne kufunguliwa kesi ya Makonda. Wasema Kubenea hana maslahi na maombi hayo

    DPP na DCI wameweka mapingamizi manne katika maombi yaliyofunguliwa na Saed Kubenea, kupata kibali cha kumfungulia kesi ya matumizi mabaya ya madaraka, aliyekuwa RC wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Mapingamizi hayo ni, Kubenea kutokuwa na maslahi na maombi hayo. Pia soma Mwanasheria: Hadi sasa...
  4. M

    Mapingamizi yote yanatupwa, tujadili

    Tangu kesi ya Mbowe na wenzie ianze upade wa utetezi umeweka mapingamizi kama sikosei matatu na yote yametupwa. Ningefurahi kama wangetokea wanasheria huru waweke ushabiki pembeni) na watusaidie kuyajadili haya mapingamizi na technicalities zake. Tusio wanasheria tusome tu na tuwaachie wataalamu!
  5. Q

    Baada ya kutupilia mapingamizi yote Jaji Siyani ajitoa kesi ya Mbowe na wenzake.

    jaji: Kama Shauri likienda mfululizo ingechukua Miezi kama Minne jaji: Hivyo kwa Majukumu niliyonayo nimeona nijitoe aje Jaji mwingine haraka iwezekanavyo.
  6. Roving Journalist

    Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa yatupilia mbali mapingamizi 2 kesi ndogo ya Mbowe na Wenzake. Jaji Siyani ajitoa kuendelea na kesi

    Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, leo Jumatano Oktoba 20, 2021 inatarajiwa kutoa uamuzi katika kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu. Uamuzi huo ambao utatolewa na Jaji Mustapha Siyani (Jaji Kiongozi...
  7. Replica

    Jacqueline Mengi apeta mahakama ya Rufani, mahakama yakubali kumsikiliza kinyume na mapingamizi ya watoto wakubwa

    Mahakama ya Rufani leo October 13, 2021 imetupilia mbali mapingamizi ya mtoto mkubwa wa Reginald Mengi dhidi ya maombi ya mapitio ya kesi kutoka kwa Jacqueline Ntuyabaliwe. Awali Abdiel mengi na Benjamin Mengi walimuwekea pingamizi la awali la kisheria Jacqueline wakiiomba mahakama iyatupilie...
  8. B

    Jaji Mustapha Siyani ataanza upya kusikiliza mapingamizi yaliyomfanya Jaji Elinaza kujitoa au anaendeleaje na kesi?

    Upande wa mlalamikaji ulieleza mahakama kwa ushahidi na facts kwamba mashtaka yaliyowasilishwa na Jamuhuri hayapo au hayana nguvu na msingi wa kisheria. Jaji alinaza baada ya kusikiliza pande zote mbili alikubali kuwa hati ya mashtaka ina makosa lakini pamoja na kubaini makosa kwenye hati ya...
  9. P

    Vyama vya siasa nchini haviwezi kukua,vitakuwa vinachipukia kuweka mapingamizi kwenye uchaguzi

    Kumzuia mama mjamzito asipate vyakula bora tangu mimba ilipotunga halafu unampa mlo bora mwezi wakujifungua wewe ni muuaji kwa mama na mtoto.
  10. Z

    Uchaguzi 2020 CCM mnatia aibu kwa kulazimisha ushindi wa mapingamizi

    Baada ya majina ya wagombea kupitishwa, sasa umezuka mtindo wa kila jimbo, kila kata kulazimisha mapingamizi ili wagombea wa CCM wapite bila kupingwa. Huu ni uzembe na uhayawani wa chama kikongwe. Miaka zaidi ya 50 bado CCM mnawaza kukataa kushindana! Kuna majimbo yalishatangaza wagombea, rasmi...
  11. RUSTEM PASHA

    NEC, kwanini hamkumchukulia hatua Babu Tale kujitangaza mshindi kabla ya mapingamizi hayajatolewa uamuzi na Tume?

    NEC nihalali mgombea kujitangaza kapita bila kupingwa kabla hajathibitishwa na tume? Tumeona Clouds FM & tv wakiadhibiwa kwa kutangaza matokeo kabla yakuthibitishwa na tume. Je, ni halali kwa mgombea kujitangaza kashinda kabla hajathibitishwa na tume? Na hata uamuzi wa mapingamizi haujatolewa...
  12. J

    Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi imevionya Vyombo vya Habari vinavyotangaza wagombea wamepita bila kupingwa Kinyume cha Sheria

    NEC imesema muda wa kutangaza wateule bado kwani kuna mapingamizi yanayoshughulikiwa na kwa mujibu wa ratiba mwisho wa kupokea mapingamizi ni leo 26 Agosti, saa 10.00 jioni. NEC imesema taarifa hizo zinaweza kupeleka uvunjifu wa amani Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk. Wilson...
  13. B

    Marekebisho: Taarifa kamili ya NEC kuhusu mapingamizi ya Lissu kwa JPM na Lipumba

    27.08.2020 Dodoma, Tanzania MAREKEBISHO: TAARIFA KAMILI YA NEC KUHUSU MAPINGAMIZI YA LISSU KWA JPM NA LIPUMBA Published on 27 Aug 2020 Hizi ni Ripoti za AyoTV kutokea Dodoma Tanzania ambapo kama ulitufatilia jana tulirusha matangazo ya moja kwa moja yani LIVE kwenye Youtube yetu kutokea...
  14. J

    Uchaguzi 2020 Mapingamizi ya Tundu Lissu yalikaa kienyeji sana yalijikita kwenye ujazaji wa fomu badala ya kilichojazwa

    Nilitegemea mapingamizi ya Wakili msomi yajikite kwenye ukweli wa kile kilichojazwa kwenye fomu na siyo ujazaji wa fomu. Yaani Tundu Lisu anakagua picha kana kwamba anasahihisha mtihani . Msingi wa kujaza fomu ni mtu kuweka taarifa zake muhimu kulingana na matakwa ya nafasi anayoomba. Kitu...
  15. Replica

    Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

    Mkurugenzi wa Uchaguzi: Tume ya uchaguzi baada ya kupokea pingamizi dhidi ya wagombea hao, imewataarifu wawekewa pingamizi mapema iwezekanavyo na wahusika wamewasilisha utetezi wao. Pingamizi dhidi ya mgombea wa CUF kwamba hakurudisha fomu kwa mujibu wa masharti yaliwekwa na sheria, tume baada...
Back
Top Bottom