mali

Mali ( (listen); French pronunciation: [mali]), officially the Republic of Mali (French: République du Mali; Bambara: Mali ka Fasojamana; N'Ko script: ߡߊߟߌ ߞߊ ߝߊߛߏߖߊߡߊߣߊ), is a landlocked country in West Africa. Mali is the eighth-largest country in Africa, with an area of just over 1,240,000 square kilometres (480,000 sq mi). The population of Mali is 19.1 million. 67% of its population was estimated to be under the age of 25 in 2017. Its capital is Bamako. The sovereign state of Mali consists of eight regions and its borders on the north reach deep into the middle of the Sahara Desert, while the country's southern part, where the majority of inhabitants live, features the Niger and Senegal rivers. The country's economy centers on agriculture and mining. Some of Mali's prominent natural resources include gold, being the third largest producer of gold in the African continent, and salt.Present-day Mali was once part of three West African empires that controlled trans-Saharan trade: the Ghana Empire (for which Ghana is named), the Mali Empire (for which Mali is named), and the Songhai Empire. During its golden age, there was a flourishing of mathematics, astronomy, literature, and art. At its peak in 1300, the Mali Empire covered an area about twice the size of modern-day France and stretched to the west coast of Africa. In the late 19th century, during the Scramble for Africa, France seized control of Mali, making it a part of French Sudan. French Sudan (then known as the Sudanese Republic) joined with Senegal in 1959, achieving independence in 1960 as the Mali Federation. Shortly thereafter, following Senegal's withdrawal from the federation, the Sudanese Republic declared itself the independent Republic of Mali. After a long period of one-party rule, a coup in 1991 led to the writing of a new constitution and the establishment of Mali as a democratic, multi-party state.
In January 2012, an armed conflict broke out in northern Mali, in which Tuareg rebels took control of a territory in the north, and in April declared the secession of a new state, Azawad. The conflict was complicated by a military coup that took place in March and later fighting between Tuareg and other rebel factions. In response to territorial gains, the French military launched Opération Serval in January 2013. A month later, Malian and French forces recaptured most of the north. Presidential elections were held on 28 July 2013, with a second-round run-off held on 11 August, and legislative elections were held on 24 November and 15 December 2013.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Mali: Wanajeshi 20 wanaoshukiwa kutaka kupindua serikali ya Rais Assimi Goita wakamatwa

    Mali imewakamata makumi ya wanajeshi wanaoshukiwa kupanga njama ya kupindua serikali ya kijeshi, ambayo ilichukua pia mamlaka kupitia mapinduzi. Vyanzo kadhaa vimesema kuwa karibu askari 50 wametiwa nguvuni Miongoni mwa waliokamatwa ni Jenerali Abass Dembele, Gavana wa zamani wa Jimbo la Mopti...
  2. Isenye

    Tumefikia hapa na huyu mrembo,niweke gia number ngapi ili nitafune hii mali?

    Poleni na msiba wa ndugu Ndungai. Sasa iko hivi, Jana kuna bibie nilikua namfuatilia muda mrefu tu,nikapata number yake. Nimemtongoza tumefikia hapo ila mimi lengo langu nataka nimtafune chap kisha niingie mitini. Hapo niweke gia number ngapi ili lengo langu litimie?
  3. Karim Mussa

    Leo Tujifunze kuhusu wosia: hati yenye nguvu kisheria kuhusu mgawanyo wa mali baada ya kifo.

    Wosia ni tamko au maandishi ya mtu akiwa hai, yanayoeleza namna mali zake zitakavyogawanywa kwa warithi wake baada ya kifo. Ni nyaraka muhimu ya kisheria ambayo husaidia kuzuia migogoro ya familia na ndugu baada ya msiba. --- AINA ZA WOSIA KISHERIA: 1. Wosia wa Maandishi – huandikwa na...
  4. Liverpool VPN

    Wanasheria na Wataalamu wa Miliki (mali) Njooni mnipe ushauri Kuhusu hii Kampuni yangu na Warithi wangu.

    INTRODUCTION:- Salam sanaaa? HUU NI UKWELI WA MAISHA YANGU, KUHUSU MAHUSIANO NA MALI. Naitwa Mr. Liverpool ni kijana wa kiume mwenye Diploma, Degree, Masters, na PhD Candidate dropout (Nilipata Scholarship ila biashara ikanipenda zaidi kuliko shule..!!) Ni mtumishi wa umma mwenye miaka 35...
  5. MamaSamia2025

    Kibiblia mtumwa anachukuliwa kama mali na sio sawa na binadamu wengine

    Ee Mungu nisamehe kwa sababu kila ninavyosoma Biblia ndo ninakutana na maandishi yenye ukakasi yenye kutia hasira mno. Kwenye KUTOKA 21 tunaona kulikuwa na adhabu ya kifo kwa mtu atakayemuua mtu ila kulikuwa na adhabu isiyo ya kifo endapo mtu atamuua mtumwa wake. Na biblia imeandika kuwa mtu...
  6. Wickama

    Pima Udongo

    Wakuu, Kuwekeza mamilioni kwenye kilimo pasipo kufuatilia afya ya udongo wako ni kama ku-bet. Vifaa vya kujipimia udongo siku hizi ni vingi kwa bei rafiki na maelezo yake yamejaa You Tube. Huhitajiki kufunga masafari marefu kama enzi zileeee. Take care
  7. R

    Shirika la Human Rights Watch (HRW) yaituhumu Jeshi la Mali na Kikundi cha Wagner kwa Mauaji na Utekaji wa Jamii ya Fulani

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limetuhumu jeshi la Mali na kikundi cha kijeshi cha Urusi, Wagner, kwa kuhusika na mauaji ya jamii ya Fulani na kutoweka kwa wanaume wengine 81 tangu mwezi Januari 2025, Kwa mujibu wa HRW, matukio haya yalitokea wakati wa...
  8. Beira Boy

    Tunaomba kujua ni wapi aliko Rais wetu kipenzi Samia Suluhu Hassan, Rais ni mali ya umma

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU Rais ni mali ya watu wote ni mali ya raia Tunaomba kujua ni wapi alipo maana kimiya na tetesi ni nyingi sana Kwaamaana October tunataka kutic Ni wapi alipo rais wetu Asanten sana LONDON BOY
  9. Tlaatlaah

    Gwajima aelimishwe juu ya wajibu wa Jeshi la polisi wa kulinda usalama wa raia, mali na makazi na sio ujenzi wa barabara au uchimbaji visima vya maji

    Afundishwe vyema pia kwamba hakuna namna nchi inaweza kuacha jambo muhimu sana kama la ulinzi wa Taifa, watu, mali na makazi yao likafanywa na makampuni binafsi ya ulinzi, kwasababu tu eti jeshi la polisi liko na shughuli au tenda nyingi za ujenzi wa barabara na uchimbaji visima vya maji...
  10. R

    Mitano tena kwa Rais wa Mali, bila kikomo rasmi

    Tangu kupata uhuru mwaka 1960, Historia ya Urais nchini Mali imegubikwa na misukosuko ya kisiasa, ambapo karibu kila mabadiliko ya madaraka yamehusisha mapinduzi ya kijeshi. Kuanzia kumuondoa Modibo Keïta mwaka 1968, hadi mapinduzi dhidi ya Amadou Toumani Touré mwaka 2012, na Ibrahim Boubacar...
  11. Manyanza

    John Bosco Nchindo (23). Ni Mali ya Simba Sports Club

    Ripoti zinaeleza kuwa klabu ya Simba, imefikia makubaliano ya awali na kiungo wa Coton Sport, John Bosco Nchindo (23). Mazungumzo baina ya Simba na kambi ya mchezaji yamekamilika kilichobaki ni Simba kumalizana na klabu yake (Coton Sport). Nyota huyo raia was Cameroon alishinda tuzo ya...
  12. The Zanzibar Echo

    Mali: Assimi Goïta atangaza sheria inayompa mamlaka bila kikomo

    Mkuu wa utawala wa ijeshi nchini Mali Assimi Goïta siku ya Alhamisi ameidhinisha sheria inayompa mamlaka ya miaka mitano ya urais, ambayo yanaweza kufanyiwa upya "mara nyingi inavyohitajika" na bila uchaguzi. Mkuu wa serikali ya Mali amejipa mamlaka ya miaka mitano ya urais, ambayo yanaweza...
  13. Meja Jenerali Isamuhyo

    Mali Vs Tanzania | 2025 Women’s Africa Cup of Nations | Group C | 07.07.2025

    Wakuu hamjambo, Usiku wa leo Saa 4:00 kwa masaa ya Afrika Mashariki, Timu yetu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) itashuka dimbani dhidi ya Mali katika mchezo wa AFCON ya Wanawake huko nchini Morocco. Huo utakuwa mchezo wetu wa kwanza katika kundi C ambalo pia kuna timu za South Africa pamoja...
  14. Meneja Wa Makampuni

    Amedai Talaka ili wagawane Mali kumbe mume nyumba zote kaandika majina ya watoto!

    Naishije haya maisha kwani nahisi kuchanganyikiwa. Mimi ni mama wa watoto 5, niliolewa lakini nimedai talaka na imetoka sina hata shilingi mia kaka. Iko hivi, mume wangu ni mfanyakazi wa serikali, ana kipato kikubwa na mara nyingi yuko bize sana kazini, alinifungulia biashara na katika hii...
  15. The Zanzibar Echo

    Kiongozi wa mapinduzi Mali aongozewa miaka mitano madarakani

    Kiongozi wa kijeshi wa Mali, Jenerali Assimi Goïta amepewa muhula wa urais wa miaka mitano na bunge la mpito, ambao anaweza kupewa tena bila kufanyika kwa uchaguzi. Kiongozi huyo wa kijeshi, ambaye ametwaa utawala kwa nguvu mara mbili, aliahidi kurejea kwa demokrasia mwaka jana, lakini hilo...
  16. The redemeer

    Mtoto sio mali ya mzazi bali mzazi ni daraja tu la uhai.

    WAZAZI "PARENTS =PAIR RENT Katika ulimwengu mzazi ni yule aliyemleta mtoto duniani – mama na baba Hiyo ni tafsiri ya kijamii na kibiolojia. Lakini katika ulimwengu wa kiroho na hekima ya ndani, jukumu la mzazi lina maana pana zaidi inayogusa roho na asili ya uhai. Uumbaji wa maisha unahitaji...
  17. Alloyce PR

    Urithi wa akili, siyo mali

    "Kijana mwenye akili muhimu kwake ni amani na upendo tu kutoka kwa wazazi/walezi. Mengine yote hujipambania mwenyewe. Mzazi anayehangaika kumrithisha mali mtoto ni kiherehere cha uzeeni ambacho kitaamua aidha ni mtoto awe mzazi na mzazi awe mtoto, hapo mzazi lazima aondoke haraka sana kwenye...
  18. Ponjoro wa Kinondoni

    Sasa ni rasmi: Elie Mpanzu Kibisawala ni mali ya Dar es Salaam Young Africans

    Nilikuwa najua ni utani wa Ally Kamwe tu kumbe kweli bwana. Aisee kwa hali hii nadhani mzee Mangungu atupishe tu. Ikumbukwe pia Feitoto na Jonathan Soah tayari wamesha saini Yanga.
  19. Amba Samedi

    KULINDA MALI ZA FAMILIA ZIISHI MIAKA 200

    MALI HAZITAUZWA WALA KUKOPEWA BENKI BALI ZITAKODISHWA AMA KUPANGISHWA TU KWA MIAKA 200 WARITHI (WANUFAIKA ) WATALIPWA KODI TU KILA MWEZI/MWAKA KWA MIAKA 200 ⸻ 🏛️ FAMILY TRUST YA KIZAZI HADI KIZAZI (MIAKA 200) Jina la Trust: FAMILY INCOME TRUST Mwanzilishi: - Muda: Miaka 200 Lengo: Kulinda...
Back
Top Bottom