malaya

The University of Malaya (UM) (Malay: Universiti Malaya) is a public research university located in Kuala Lumpur, Malaysia. It is the oldest and highest ranking Malaysian institution of higher education according to two international ranking agencies. The university has graduated four prime ministers of Malaysia, and other political, business, and cultural figures of national prominence.
The predecessor of the university, King Edward VII College of Medicine, was established on 28 September 1905 in Singapore, then a territory of the British Empire. In October 1949, the merger of the King Edward VII College of Medicine and Raffles College created the university. Rapid growth during its first decade caused the university to organize as two autonomous divisions on 15 January 1959, one located in Singapore and the other in Kuala Lumpur. In 1960, the government of Malaysia indicated that these two divisions should become autonomous and separate national universities. One branch was located in Singapore, later becoming the National University of Singapore after the independence of Singapore from Malaysia, and the other branch was located in Kuala Lumpur, retaining the name University of Malaya. Legislation was passed in 1961 and the University of Malaya was established on 1 January 1962. In 2012, UM was granted autonomy by the Ministry of Higher Education.Today, UM has more than 2,500 faculty members and is divided into thirteen faculties, two academies, five institutes and six academic centres.
In the latest QS World University Rankings, UM is currently ranked 65th in the world, 9th in Asia, 3rd in Southeast Asia and the highest ranked learning institution in Malaysia.The Faculty of Languages and Linguistics, Japanese Language and Linguistic Course was awarded the Japanese Foreign Minister’s Commendation for their contributions to promotion of Japanese language education in Malaysia on 1 December 2020.

View More On Wikipedia.org
  1. nyboma

    Mke wako na kama umebahatika kupata watoto hao ndio ndugu wa kweli, hawa michepuko hawatakusaidia ukipata matatizo

    Siku ukipata matatizo utakuja kufungua huu uzi na kukumbuka haya niliyoandika leo.. Mke, watoto na ndugu wa kuzaliwa ndio ndugu zako, maana hawa wanawake tunaowaita michepeko wapo na wewe muda huu kwa kuwa una hela. Niwe muwazi kwa hili ukiwa na pesa “You can *** any woman around you” maana...
  2. Exorcist

    Kweli penye nia pana njia, ni wiki ya pili sasa sijanunua kahaba

    Kwakweli siamini kama wiki ya pili hii inakatika eti sijanunua malaya kabisa, si mtandaoni wala sio Sinza, naona kwangu ni mafanikio makubwa sana katika safari yangu ya kuushinda huu Uraibu. Kwa sasa najitajihidi kujiburudisha kwa muziki au bia au vyote kwa pamoja, ila malaya hapana, huo ndio...
  3. tang'ana

    Nimeamua kulala na malaya leo.

    Niko somewhere in East africa, wife yuko kilometres kadhaa from me na tumezinguana toka jana,hakuna aliyemtafuta mwenzie leo for sex video,so nimeamua nitafute tu malaya hapa nilipo nijipigie siku iishe. Muwe na usiku mwema nyote mlioko East africa.
  4. sky soldier

    Ukristo: Mungu hajakataza kuoa mke zaidi ya moja, dhana ya mwili moja si kuwa na mke moja, hata ukilala na malaya ninyi tayari ni mwili moja

    Tatizo kubwa ni kwamba wakristo wanafata wanachoambiwa na viongozi wa kidini na sio maandiko yanavyosema. Hakuna sehemu imeandika mwanaume aoe mke moja tu. Kuna huu mstari wa "Nao wawili watakuwa mwili mmoja." i hutafsiriwa vibaya kwa kudhani kwamba mwanaume inabidi awe na mke moja, La hasha...
  5. yuda75

    The Ugly Truth: Wanaume Wote ni Malaya na Wasaliti

    Mwanamke anaweza kuishi katika ndoa au mahusiano bila kucheat kwa asilimia 99 na wanaume wanaweza kuishi bila kucheat kwa asilimia 1 kwa sababu ni nature ya mwanaume kuwa hivyo.Kwahiyo ukiona mumeo au mpenzi wako hujamkamata inabidi umuheshimu saaana kwasababu anafanya kwa umakini na usiri wa...
  6. Mzalendo Uchwara

    Watanzania wamezoea unafiki na siasa za ki malaya malaya, sio ajabu wanawashangaa CHADEMA

    Watu wengi, wakiwamo wanasiasa na wasomi, wamewajia juu CDM baada ya chama hicho kumshukia kama mwewe Zitto Kabwe baada ya yeye kumwombea msamaha Mwenyekiti wao kwa rais kwamba afutiwe kesi. Hili kinadhihirisha kiwango cha juu cha unafiki na umalaya malaya wa kisiasa wa watanzania, wengi...
  7. mugah di matheo

    Nimeamini wanawake wengi ni malaya

    Habari za muda huu Kuna demu moja hivi nilikutana nae tukafahamiana akawa mteja wangu,nikamtongoza akakubali .Ila kutoa mzigo akawa anaringa na kuzungusha nikamuuliza au unataka uniuzie?? Akasema yeye hafanyi biashara Kwakuwa nilishajua vingi toka kwakee nikampandia Fb kwa account ambayo jina...
  8. Mkulungwa01

    Nina siku 4 tangu niende kwa Malaya

    Wanajamvi habarini, Juzi kati nilikwenda kwenye moja ya machimbo maarufu ya malaya hapa Dar, tulitumia kinga na kinga haikupasuka, ila tulidumu kwa muda mrefu kidogo, baadaye nikagundua kuwa kwenye uume shingoni kulikuwa na mchubuko, na baada ya kama siku mbili hivi naanza kuhisi macho yanakuwa...
  9. lee Vladimir cleef

    Hakuna kabila Malaya Tanzania

    Merry Christmas Kumekua na maneno ya kashfa Sana dhidi ya baadhi ya makabila hapa Tanzania.kuwa "wanawake wa kabila fulani Ni Malaya Sana,hawafai". Mtazamo huu Mimi Lee sikubaliani nao. Sikubaliani nao kwa sababu kila mtoa lawama hulaumu kutokana na wanawake wa kabila fulani aliokutana nao. Na...
Back
Top Bottom