The Makonde are an ethnic group in southeast Tanzania, northern Mozambique, and Kenya. The Makonde developed their culture on the Mueda Plateau in Mozambique. At present they live throughout Tanzania and Mozambique, and have a small presence in Kenya. The Makonde population in Tanzania was estimated in 2001 to be 1,140,000, and the 1997 census in Mozambique put the Makonde population in that country at 233,358, for an estimated total of 1,373,358. The ethnic group is roughly divided by the Ruvuma River; members of the group in Tanzania are referred to as the Makonde, and those in Mozambique as the Maconde. The two groups have developed separate languages over time but share a common origin and culture.In Kenya, a group of 300 Makonde people trekked from Kwale to Nairobi. The group was accompanied by human right activists and other human rights supportive stakeholders. They headed to the State House in Nairobi to persuade the President to push their recognition as Kenyan citizens. President Kenyatta gave them a warm welcome. After a well-prepared meal on Thursday 13 October 2016, the President ordered the relevant ministry to give the A-Makonde identity cards by December 2016.
Wazee wetu walioshiba makande wameendelea kuongeza mgogoro ndani ya timu yetu, hawaoni shida ndani ya timu yetu, wanaona kufika fainali kombe la losers ni mafanikio makubwa ndani ya timu yetu.
Yanga ameshabeba ubingwa mara nne na nilivyomsikia Injinia kule Kigamboni akisema kuwa wanapanga...
Mchango wa wachambuzi usibezwe katika kuisukuma Yanga kuendelea kufanya vizuri viwanjani.
Kuna wachambuzi ambao wanatafuta na kuyasema mapungufu tu ya Yanga kila siku na kila wakati wanapopata muda wa kuruka hewani na kuisemea vizuri Simba hata kama inafanya vibaya. Kwa mtu asiyefahamu tabia za...
Hii hapa ni orodha ya vilabu vilivyochukua Ligi ya mabingwa barani Ulaya (UCL-UEFA CHAMPIONS LEAGUE) baada ya Jana PSG kubeba taji kwa kipigo cha mbwa Koko alichomshushia Inter Milan,Chama lako ni makombe mangapi mpaka sasa?
Katika hali ya kushangaza kibegi maarufu cha mashabiki lia lia wa Simba kimeonekana kutelekezwa vichakani,kuelekea mwisho wa msimu ambapo Simba sc wakionekena kukata tamaa kupata hata kikombe cha al kasusu wameona kibegi hicho labda ni gundu kwa timu na kuamua kukitelekeza vichakani
Timu hiyo...
Mungu fundi
Mungu fundi
Mungu hajawahi shindwa
Yaan nilianza kuiombea pyramid ifike final
Imefika nkaomba mungu asaidie wachukue na ubingwa
Sasa wanasubiriaa tu masaa kubeba kombe
Niliomtakia heri mayele afanye yake mashallah
Sasa leo kama maombi na kichwa cha habari hapo juu
Nakama...
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU
Msimu huu makombe yote kwa bara la Africa yatachukuliwa ugenini
Lakin mmoja ambaye ni kibonde kabisa atapigwa nje ndani
SAYUNI BOY
Poleni sana Mashabiki wenzangu Wa Simba SC!!
Ukitoa mafanikio ya kufika nusu fainali shirikisho tena mafanikio ambayo wenzetu (Yanga SC) walishavuka,
ukitoa mafanikio ya Yanga SC kushindwa kesi huko CAS na tulipata furaha mno tena mno
na ukitoa mafanikio ya sisi wanasimba (Mashabiki)...
Kumekuwa na ubabaishaji sana kuhusu suala la kufungua barabara ya kwa Makombe hadi Jerusalem, ambayo imefungw na mtu mmoja anayeitwa Jose ph dhidi ya wanaichi zaidi 30 wanao itegemea barabara hiyo,
Awali, Ofisi ya wilaya na Kamati ya urasimishaji mtaa wa Hondogo, ilikuja kusikiliza hii...
Siku ya Leo kwa akili zangu timamu rasmi NIMEONGEZA TIMU ya kushangilia ambayo ni real Madrid sitaki ushauri wowote sababu arsenal siioni ikichukua kombe la UEFA hivyo nimeona Madrid ni timu sahihi kwangu kunipa furaha sababu ni wababe wa dunia kwenye suala la soka na niseme ukweli tu nilikua...
Tanzania imeweka lengo la kupunguza utoaji wa gesi chafu kwa asilimia 10 hadi 20 ifikapo Mwaka 2030. Hii ni sehemu ya jitihada za kimataifa za kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Taarifa hiyo niliiona kwenye madokezo ya Ofisi ya Makamu wa Rais.
Hata hivyo, katika baadhi ya maeneo kama...
“Tarehe 19 tunaenda kucheza mechi na mkubwa wetu ambae ametuzidi mwaka mmoja wa kuzaliwa na anatuzidi makombe🏆🏅 nane 8 ya ligi, hii ni mechi ambayo inabeba taswira ya soka letu la tanzania.
Yanga ni timu yenye wafuasi wengi sana wanaokwenda viwanjani kuishangilia, kulipa ada za uwanachama, kununua jezi, kulipia Yanga app na kufanya malipo mbalimbali. Lengo lao kuu la kugharamia haya yote ni kupata furaha wakati timu inashinda mechi na kuchukua mataji.
Yanga inashinda hivyo hakuna...
Bila ya Salamu.
Huwa najiuliza nilichelewa wapi kujiunga na Simba Sc? Mpaka leo nikifikiria nakosa majibu.
Kifupi katika hiki kipindi cha wiki mbili nimeshuhudia chama langu jipya likifanya usajili wa kufuru. Magugu na mapandikizi yaliyokuwa yakihujumu timu yetu yametolewa na kuletwa vyuma...
Nina Jicho la Kuona na Kumjua Mchezaji kuliko Injinia Hersi na mkinipa hizi Hela nawasajalieni Wachezaji wangu Saba ( 7 ) wa Kimataifa niliowaona Watatu niko nao hapa hapa Kampala Uganda na Watano wako Afrika Kusini, Congo DR, Ivory Coast, Zambia na Angola.
Kwa Wachezaji wa Ndani nitawasajilia...
Bodi la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) wameamua kupeleka makombe mawili yanayofanana katika viwanja viwili vya Emirates ambapo utapigwa mchezo wa Arsenal Vs Everton.
Kombe la pili litapelekwa kule Etihad ambapo kutakuwa na mchezo wa Man City Vs West Ham.
Sambamba na hayo pia, watapeleka medali 40...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.