Sijui kama naliona vibaya jambo hili. Kila mahali mahitaji ya viwanja vya makazi yanongezeka kwa kadi hasa kwa sababu ya idadi ya watu kuongezeka. Mahala palipokuwa mashamba katika Majiji, miji, Wilaya, vijiji na vitongoji leo ni makazi, viwanda shule, vyuo nk. Miaka kama 50 ijayo sijui hali ya...