maharage

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Serikali: Bei ya Mchele imefikia Tsh. 3,500, Maharage 3,500, Mahindi 1,500 kwa kilo

    Serikali imetangaza ongezeko la bei katika baadhi ya bidhaa za vyakula, huku kushuka kwa uzalishaji ikitajwa kuwa sababu. Miongoni mwa bidhaa za chakula zilizopanda bei katika mwaka ulioishia Septemba mwaka huu ikilinganishwa na mwaka ulioishia Agosti mwaka huu ni mchele, maharage, mahindi...
  2. Mchele 3200kg, maharage 3000kg na mahindi 100 yamefika 140k

    Mfumuko wa bei hasa mazao ya chakula unatisha! Mfano kilo ya mchele sasa imefika shilingi 3200kg na maharage 3000kg. Kuhusu mahindi ndiyo usiseme kabisa maana gunia la kilo 100 linauzwa laki na arobaini. R.I.P JPM.
  3. Aina gani ya maharage yenye bei nzuri sokoni

    Nina eneo kubwa nataka kulima maharage. Naomba kujua ni aina gani ya maharage inapendwa sana sokoni na bei yake imechangamka sokoni. Ukinipa na mbegu inakopatikana itapendeza. Eneo heka 2
  4. Nawamegea Fursa ya Kilimo cha Maharage ya Soya kwa ajili ya Soko la China

    Wachina tayari wamekamata fursa na pia Nchini kwao kuna fursa ya soko kubwa. Msije kusema hamkuonyeshwa👇
  5. Changamoto za wanawake wanaoweka 'bleach' kichwani

    Nilikutana na mademu kama watatu ivi wenye breach kichwani nyakati tofauti tofauti na kufanikiwa kupata utamu wa asili kiraisi mno bila ata kutumia nguvu lakin sasa kimbembe hawa mademu ni shida Ving'ang'anizi adi walikuwq wananifanya nihame mitaa na kuwa chukia tena. Mwanamke wa kwanza Uyu...
  6. Kula dagaa ni umaskini au maharage, sasa mbona bei iko juu?

    Maharage kilo 2800 Dagaa kilo 8000 Sasa kwanini ukila unaonekana hohehahe?
  7. C

    Biashara ya maharage - Tandika

    Habari za saa hizi wanachama wa jukwaa la biashara na ujasiriamali. Nataka kufanya biashara ya kuuza maharage Tandika - dabo kibini ambapo ndipo lilipo soko la vyakula. Mtaji wangu si mkubwa saaana lakini kwa hii biashara inawezekana kufanyika. Nina 1.1m. Sasa nimekunja katika jukwaa hili...
  8. Nahitaji maharage ya njano(gololi) na mahindi (yale mazito)

    Habari, Nahitaji maharage ya njano yale ya mviringo (manene) kuanzia TANI 2-5 (kwa wiki). Pia nahitaji Mahindi mazito(masafi) kuanzia TANI 5-10(kwa wiki) kwa ajili ya kuchakata unga wa sembe. Location: Kibaha(Boko-Mnemela). Kwa yeyote anayeweza ku-supply mzigo huo kwa wiki, karibu kwa...
  9. T

    Msaada wa mawazo: Nakopi wazo la Q-Beans kuuza maharagwe ya kuchemsha

    Habar wakuu, Kwanza nikiri kuwa nepata wazo la kufanya hii biashara ya maharage ya kuchemsha kutoka humu humu kwa MSELA Q Beans, Ila sio dhambi, msela nimemtafuta kwa number yake ile ya watsap aliyoitoa lakini haipatikani. Nimecheki inbox hajajibu, huenda Yuko bize, najua akiwa online...
  10. Rais Samia huna nia njema na Wizara ya Nishati, haifiki kokote kwa teuzi za urafiki

    Tukubali kwamba hii ni Wizara ambayo waliowekwa ni watu misheni town tu. Nimesikiliza hata huyo anayeitwa Maharage Chande ni aibu tu. Yaani anahangaika na gharama za kuunganisha umeme! Hizo gharama zinaleta faida ktk shirika? Yeye anatakiwa azalishe na kuuza umeme kwa faida badala ya kuhangaika...
  11. Una mapendekezo gani juu ya biashara ya maharage kwa sasa hapa Tanzania?

    Nina mtaji wa tani zaidi ya 15 za maharage kutoka mkoani Songwe (maharage ya njano) na ninahitaji kupata soko la uhakika hapa jijini Dar es salaam, kama unadetails za biashara hii ninaomba tushare tafadhari, asante.
  12. N

    Nauza Maharage: Nipo Arusha

    Heshima Kwenu Wakuu Nina maharage gunia 20, nipo hapa Arusha natafuta mnunuzi. Haya maharage niliyalima mwaka jana hapa hapa Arusha. Maharage yanaitwa "ngaraisee." Kama utahitaji au unajua anayehitaji tafadhali nipigie kupitia 0764-653-982 Shukrani
  13. Usafiri wa Chai Maharage enzi za Mzee Ruksa

  14. Chai maharage

    Watoto wa juzi huu usafiri hawauwezi kuelewa Usafiri bongo umetoka mbali Ova
  15. V

    Maharage Chande wa TANESCO ameingiaje utumishi wa umma akiwa na umri zaidi ya miaka 45?

    Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TANESCO ana umri zaidi ya miaka 45. Ameingiaje kwenye utumishi wa Umma ? Au ni urafiki wake na Waziri wa Nishati January Makamba (cronyism) ndio umempa upendeleo huu ? Makamba ndio amepeleka jina kwa Rais. Rais hamjui Maharage. Matokeo ya cronyism...
  16. RC Homera: Kuleni Maharagwe aina ya Jesca muongeze nguvu za kiume

    RC wa Mbeya, Juma Homera amewashauri wanaume wenye matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume kuacha kutumia dawa za kienyeji kuongeza nguvu hizo akidai dawa hizo zina madhara na badala yake watumie maharagwe aina ya Jesca
  17. Wapi naweza kufanya kilimo cha mahindi karanga mahindi maharage na mpunga?

    Nimekuwa mjini muda mrefu sana Nimeona kukaa mjini hailipi Napanga niende kijijini nikalime Niepukane na matozo ya serikali ambayo yanaletwa kila uchao Niko kanda ya ziwa Unanishauri nihamie wapi ambapo naweza kufanya kilimo cha mahindi karanga mahindi maharage na mpunga Na nikafanikiwa...
  18. Nauza maharage ya njano-Dar

    Nauza maharage ya njano, yapo Dar kwa bei ya 1650 kwa bei ya jumla. Ya yale gololi ndogo. Mawasiliano 0657561168
  19. Naomba ushauri kuhusu kilimo Cha maharage Wilayani Kwimba

    Niko wilaya ya kwimba napenda kujua kama maharage yanaweza kusitawi vizuri kwenye udongo mweusi (mfinyanzi) maana ninaeneo la aina hiyo na liko karibu na chanzo Cha maji. Naomba ushauri wako.
  20. Natafufa aina hii ya maharage

    Yoyote mwenye aina hii ya maharage. Yaliyovunwa kuanzia mwezi wa 6. Anitafute kwa namba 0687575502.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…