Serikali: Bei ya Mchele imefikia Tsh. 3,500, Maharage 3,500, Mahindi 1,500 kwa kilo

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,370
8,107
Serikali imetangaza ongezeko la bei katika baadhi ya bidhaa za vyakula, huku kushuka kwa uzalishaji ikitajwa kuwa sababu.

Miongoni mwa bidhaa za chakula zilizopanda bei katika mwaka ulioishia Septemba mwaka huu ikilinganishwa na mwaka ulioishia Agosti mwaka huu ni mchele, maharage, mahindi.

Hayo yameelezwa leo Septemba 15 na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk Ashatu Kijaji wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya mwenendo wa bei za bidhaa katika mwaka ulioishia mwezi Agosti mwaka huu.

Dk Kijaji amesema bei ya mchele imeongezeka hadi kufikia kati ya Sh2000 hadi Sh3500 katika Septemba mwaka huu.

"Ikilinganishwa na Agosti mwaka huu bei ya mchele sokoni ilikuwa kati ya Sh1700 na Sh3000,"

Bei ya maharage ilifika kati ya Sh1, 750 hadi Sh3500 ikilinganishwa na Sh1800 hadi Sh2, 600 iliyokuwapo Agosti mwaka huu.

Kuhusu mahindi bei yake imefikia Sh900 hadi Sh1,550 kwa kilo ikilinganishwa na Sh700 hadi 1,500 Agosti mwaka huu.

Kuhusu uzalishaji wa chakula, mahindi yalishuka kwa asilimia 7.1, uzalishaji wa mchele ulishika kwa asilimia 30.9 na maharage uzalishaji ulishuka kwa asilimia 11.1. Kati ya mwaka 2020/2021 ikilinganishwa na Mwaka 2021/2022.

Ongezeko hilo la bei katika baadhi ya bidhaa za chakula na zisizo za chakula zimefanya mfumuko wa bei wa Taifa kuongezeka kwa asilimia 0.1 katika mwezi Septemba ikilinganishwa na mwezi uliotangulia.

Hapa chini ni Bei za Bidhaa kwa Mwezi August 2022
1663395088766.png
 
Serikali imetangaza ongezeko la bei katika baadhi ya bidhaa za vyakula, huku kushuka kwa uzalishaji ikitajwa kuwa sababu.

Miongoni mwa bidhaa za chakula zilizopanda bei katika mwaka ulioishia Septemba mwaka huu ikilinganishwa na mwaka ulioishia Agosti mwaka huu ni mchele, maharage, mahindi.

Hayo yameelezwa leo Septemba 15 na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk Ashatu Kijaji wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya mwenendo wa bei za bidhaa katika mwaka ulioishia mwezi Agosti mwaka huu.

Dk Kijaji amesema bei ya mchele imeongezeka hadi kufikia kati ya Sh2000 hadi Sh3500 katika Septemba mwaka huu.

"Ikilinganishwa na Agosti mwaka huu bei ya mchele sokoni ilikuwa kati ya Sh1700 na Sh3000,"

Bei ya maharage ilifika kati ya Sh1, 750 hadi Sh3500 ikilinganishwa na Sh1800 hadi Sh2, 600 iliyokuwapo Agosti mwaka huu.

Kuhusu mahindi bei yake imefikia Sh900 hadi Sh1,550 kwa kilo ikilinganishwa na Sh700 hadi 1,500 Agosti mwaka huu.

Kuhusu uzalishaji wa chakula, mahindi yalishuka kwa asilimia 7.1, uzalishaji wa mchele ulishika kwa asilimia 30.9 na maharage uzalishaji ulishuka kwa asilimia 11.1. Kati ya mwaka 2020/2021 ikilinganishwa na Mwaka 2021/2022.

Ongezeko hilo la bei katika baadhi ya bidhaa za chakula na zisizo za chakula zimefanya mfumuko wa bei wa Taifa kuongezeka kwa asilimia 0.1 katika mwezi Septemba ikilinganishwa na mwezi uliotangulia.
Ni Serikali hii hii ya SSH ilitamka kuwa Kuna chakula ya kuwatosha waTanzania msiwe na hofu.
Pale Mkapa Jumapili iliyooita kwenye kongamano la WAWATA! Ilikuwa kadamnasi ya watu na viongozi wengi hadi wa Dini zote!
Yaani hii CCM hii hii inawatafuna waTanzania wake kweli hamna hata aibu.
Kama chakula kipo Kwa Nini kisitolewe na kuendelea kuweka hifadhi wakati kusuburia msimu kilimo.
Yaani ni upigaji kila Kona ya nchi. Uchungu sana!!
 
Serikali imetangaza ongezeko la bei katika baadhi ya bidhaa za vyakula, huku kushuka kwa uzalishaji ikitajwa kuwa sababu.

Miongoni mwa bidhaa za chakula zilizopanda bei katika mwaka ulioishia Septemba mwaka huu ikilinganishwa na mwaka ulioishia Agosti mwaka huu ni mchele, maharage, mahindi.

Hayo yameelezwa leo Septemba 15 na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk Ashatu Kijaji wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya mwenendo wa bei za bidhaa katika mwaka ulioishia mwezi Agosti mwaka huu.

Dk Kijaji amesema bei ya mchele imeongezeka hadi kufikia kati ya Sh2000 hadi Sh3500 katika Septemba mwaka huu.

"Ikilinganishwa na Agosti mwaka huu bei ya mchele sokoni ilikuwa kati ya Sh1700 na Sh3000,"

Bei ya maharage ilifika kati ya Sh1, 750 hadi Sh3500 ikilinganishwa na Sh1800 hadi Sh2, 600 iliyokuwapo Agosti mwaka huu.

Kuhusu mahindi bei yake imefikia Sh900 hadi Sh1,550 kwa kilo ikilinganishwa na Sh700 hadi 1,500 Agosti mwaka huu.

Kuhusu uzalishaji wa chakula, mahindi yalishuka kwa asilimia 7.1, uzalishaji wa mchele ulishika kwa asilimia 30.9 na maharage uzalishaji ulishuka kwa asilimia 11.1. Kati ya mwaka 2020/2021 ikilinganishwa na Mwaka 2021/2022.

Ongezeko hilo la bei katika baadhi ya bidhaa za chakula na zisizo za chakula zimefanya mfumuko wa bei wa Taifa kuongezeka kwa asilimia 0.1 katika mwezi Septemba ikilinganishwa na mwezi uliotangulia.
Wewe unataka iwe kiasi gani? Toka huko Dar nenda kalime afu uuze buku jero.
 
Wewe unataka iwe kiasi gani? Toka huko Dar nenda kalime afu uuze buku jero.
We ni mjinga sana nimeona ukiongea huu ujinga kwenye nyuzi nyingi nimeona nikujibu sio kila mtu lazima awe mkulima hizo kazi nyingine zitafanywa na nani unajua maana ya division of labour and specialization

Kwa kukusidia a modern agriculture inafanywa na watu wchache sana sababu ni machine extensive hiko kilimo Cha kufanywa na watu wengi kama wewe unavyo advocate ni Cha kizamani
 
We ni mjinga sana nimeona ukiongea huu ujinga kwenye nyuzi nyingi nimeona nikujibu sio kila mtu lazima awe mkulima hizo kazi nyingine zitafanywa na nani unajua maana ya division of labour and specialization

Kwa kukusidia a modern agriculture inafanywa na watu wchache sana sababu ni machine extensive hiko kilimo Cha kufanywa na watu wengi kama wewe unavyo advocate ni Cha kizamani

Sasa kwanini usiingie wewe ulime hicho kilimo Cha kisasa Kama kinalipa?!!maana unajidai mjuaji😆
 
Naona watu wengi wanalalamika kuhusu; mipaka ifungwe n.k, jamani gharama za uzalishaji katika sekta ya kilimo imekuwa kubwa sana. Mpaka kilo moja ya mchele inakufikia wewe jua kuna watu wametumia nguvu na gharama kubwa sana. Je mnataka hawa wakulima walime kwa hasara?
 
Nchi ya kusadikika...

Nafikiri Walaji tumekuwa walalamikaji wakubwa sana,,,na tunasahau kuwa gharama za uzalishaji pia zilikuwa kubwa,,,LAKINI kipindi wakulima wanalalamika kuhusu bei za pembejeo hatukuwa pamoja nao,,,,,Ila leo yametufika walaji ndio tunataka wakulima wauze kwa hasara ili vijana wanaoishi kwa Kubet na kucheza pool table wapate msosi kwa bei Chee...,,,halafu wakulima waliowekeza nguvu zao waendelee kuwa Masikini.

Wakuu Kilimo kilikuwa gharama sana,, Na serikali badala ya kununua Chakula wao walijikita kutoa mikopo kwa wasanii,,kutengeneza filamu ya Royo tua,,,kulipia matangazo Budji khalifa dubai,,,kuongeza ma vieiteeee....

Kama nakosea nisahihishwe...
 
We ni mjinga sana nimeona ukiongea huu ujinga kwenye nyuzi nyingi nimeona nikujibu sio kila mtu lazima awe mkulima hizo kazi nyingine zitafanywa na nani unajua maana ya division of labour and specialization

Kwa kukusidia a modern agriculture inafanywa na watu wchache sana sababu ni machine extensive hiko kilimo Cha kufanywa na watu wengi kama wewe unavyo advocate ni Cha kizamani
Kalime ilinuuze buku jero,kwani kila mtu akiwa mkulima kuna shida gani si unakula mwenyewe Ili uache ulalamishi wa kipuuzi?

Ni hivi ukitaka vya buku jero kalime vinginevyo utaishia kulalama na Wala hakuna kitu kitabadilika..
 
Kalime ilinuuze buku jero,kwani kila mtu akiwa mkulima kuna shida gani si unakula mwenyewe Ili uache ulalamishi wa kipuuzi?

Ni hivi ukitaka vya buku jero kalime vinginevyo utaishia kulalama na Wala hakuna kitu kitabadilika..
Sio kila mtu lazima awe mkulima Kuna viwanda vinahitaji wafanyakazi, serekalin wanahitaji wafanyakazi, utalii unahitaji wafanyakazi ukitaka kila mtu hiko kitu hakitakaa kitokee na inaonyesha ulivyokua na upeo mdogo

Hata bidhaa za viwandan vina Bei elekezi sio tu kwenye kilimo ni karibia sekta zote Wana Bei elekezi
 
Back
Top Bottom