Jaji Mkuu George Masaju, Desemba 23, 2025, akiwa Mbeya amesema kuwa kuanzia mwezi Februari 2026 Kanda za Mwanza, Mbeya, Arusha na Dar es Salaam zitakuwa na majopo ya majaji 4 kila moja (Dar itakuwa na majopo 4) kwa jili ya kuongeza kasi ya usikilizaji mashauri/ kesi za rufaa nchini.
Hii ni...