mafisadi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Serikali hatujali misiba yenu ya viongozi Mafisadi Watanzania wanataka haki na uhuru

    Serikali mnataka kulazimisha Watanzania wote tuache kazi na kusikitika nanyi kupoteza marafiki wenu lakini watanzania wengi hatuna muda tunataka democracy na katiba mpya. Hatuta waonea huruma viongozi walio ingia kwa wizi wa kura, kunyanyasa watanzania masikini, kuunga mkono mafisadi wakati...
  2. Watanganyika wana akili sana. Wamemkataa Jesca Magufuli baada ya kutumiwa na mafisadi wa CCM kama chambo

    CCM mtandao ni wajinga na hawana akili za kuweza kuwadanganya Watanganyika. Walidhani Jesca Magufuli atakuwa bait ili wakubalike kwa Watanganyika. Yuko wapi Humphrey Polepole?
  3. Angekuwepo shujaa wa Afrika hayati JPM leo taifa letu lisingekosa kama anavyohangaika Rais Samia sababu ya kukumbatia mafisadi

    Hayati Magufuli alikuwa smart hasa kwa kusimamia pesa za umma tangu akiwa Waziri mpaka anakuwa rais. Taifa lenye utajiri na rasilimali nyingi kama Tanzania sio la kukosa pesa za kujenga viwanja vya mpira likae vikao na na nchi kama Kenya ambayo haina uwezo hata wa kudhalisha mahindi ya ugali...
  4. K

    Benki Kuu inafisha ukweli? ‘Kusawazisha mizani’ ndiyo nini?

    Bank kuu sio kijiweni kuna utaalamu wa kufanya mambo. Hakuna kitu kama kusawazisha mizani yaani bank kuu inanunua gold sasa kusawazisha mizani maana yake ni nini? wanajua kabisa wanaeleza vitu ambavyo havipo kwa lengo ya kuuza gold bila watanzania kujua idadi maalumu na bila kukubali wanauza...
  5. A

    AHMED SHABIBY AWALIPUA MAFISADI, ASEMA YEYE NI USALAMA WA TAIFA WA KUJITEGEMEA

    MBUNGE wa Gairo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, Ahmed Shabiby amewalipua mafisadi akisema kuwa, kwa sasa wanapiga pesa kiuhakika na kuporomosha majumba ya maana. Shabiby ameyasema hayo, leo bungeni Dodoma katika Bunge la 13, Mkutano wa pili, Kikao cha pili kilichoongozwa na Spika Mussa Azzan...
  6. Watanzania walikaa kimya na sio hawana nguvu za kuwashughulikia wauwaji na hao askari wala rushwa wananchi wananguvu zote kuliko jeshi la nchi

    Watanzania walikaa kimya na sio hawana nguvu za kuwashughulikia wauwaji na hao askari wala rushwa wananchi wananguvu zote kuliko jeshi la nchi. Tulipagana na jeshi la Ukoloni lenye silaha za kisasa tukalishinda tukiwa hatuna silaha wala mabuti na hizo kofia za kuzuia risasi hatuwezi kushindwa...
  7. H

    Katika nchi hii sasa hivi mafisadi sio wanapiga kidogo wanapiga kiuhakika

    "Katika nchi hii sasa hivi mafisadi sio wanapiga kidogo wanapiga kiuhakika ni walaji na ni walafi na wanafanya vitu kama vile wananchi wa sasa hivi hawana elimu, lazima tufahamu sasa hivi ukienda sehemu yoyote hata kama ni kwenye kijiwe cha bodaboda utamkuta mtu wa chuo kikuu, utamkuta wa 'form...
  8. PreGE2025 Ukweli wasioutaka Mafisadi: TEC hawajaoverride madhehebu mengine bali Wanapinga uonevu na ufisadi

    Hata kwenye Biblia walikuwepo manibii kama Elisha na Eliya walipinga uonevu na ufisadi. TEC wanapinga utekaji, wizi wa mali za umma na nepotism ya hali juu. Mfano Dp World kupewa usimamizi wa Bandari bila sababu ili kutengeneza mianya ya upigaji na kuwanufaisha warabu. Utekaji usio na...
  9. Kuanzia #D9 Wananchi tunapaswa kugoma kulipa kodi hatuwezi kufadhili wauwaji na mafisadi wanunue siraha kutuuwa kwa kodi zetu

    Kuanzia #D9 Wananchi tunapaswa kugoma kulipa kodi hatuwezi kufadhili wauwaji na mafisadi wanunue siraha kutuuwa kwa kodi zetu. Tunalipaje kodi ili zituletee maendeleo kama mnauwa watu. Kataa wahuni !
  10. Kizazi cha Gen Z kimekuwa na nguvu na mwiba mkubwa kwa mafisadi kwenye mataifa mbalimbali kuliko upinzani wa vyama vya siasa

    Kizazi cha Gen z kimekuwa na nguvu na mwiba mkubwa kwa mafisadi kwenye mataifa mbalimbali kuliko upinzani wa vyama vya siasa. Je, gen z wa Tanzania wanaweza kupindua serikali ya Tanzania? hili ni jibu ambalo linaweza kuwa ndio, kulingana na uchunguzi idadi ya gen z ni zaidi ya asilimia 60% ya...
  11. H

    PostGE2025 Kama Mwigulu hana biashara yoyote, Basi atakuwa Fisadi na Mwizi mkubwa wa Pesa ya Umma

    Mwigulu amesikika akisema kuwa yeye hana biashara yoyote, hana hata Noah ya biashara! Kama hana biashara yoyote, basi kwa vyovyote atakuwa mwizi mkubwa! Aueleze umma, kama hana kitega uchumi chochote, aueleze umma, pesa anayowalipa wale wachezaji wa Timu take ya mpira, anachukua wapi? Maana...
  12. Tumeshashinda mapambano wanapumulia kisoda mafisadi, tumesha wapoteza hawaaminiki tena na wananchi wala kimataifa

    Utaona wanajifanya wapo bize kana kwamba hakuna kinachoendelea kumbe presha zao zipo juu sana, Tukutane kwenye Final #D9 tuwakimbize kwenye nchi yetu
  13. M

    Hivi hizi video za maiti wengi kutokea vyumba vya kuhifadhia maiti viongozi wanaziona?

    Kuna video imepositiwa instagram mpaka nikajiuliza hivi hawa viongozi wanaziona kweli hizi video, na kama wanaziona wanasubiri nini kumwajibisha Samia. Yaani binadamu wamekufa kama kumbikumbi mpaka unahisi kama movie vile. Samia hafai wazee, tuache masihara huyu mama angejiondoa tu mwenyewe
  14. Naona hapa mtu kaingizwa mkenge na madictetors na mafisadi, naye akaingia pasipo kutumia akili

    Hapo vip!! Ipo hivi kwa mauwaji yaliyotokea nchini Tanzania ni wazi hii ni massacre. Sasa ipo hivi hii mbinu huwa inatumiwa na madikteta wenye uwakika wa kubadilisha katiba na kutawala muda mrefu, kwa lengo la kukwepa mkono wa sheria za kimataifa,Kwasababu wanajua fika pale tu wakiwa hawana...
  15. H

    Ukombozi wa Mtanzania utapatikana kwa hujuma dhidi ya mafisadi siyo maandamano wala mitandao

    Asilaumiwe Rais kitakachowakomboa waTZ ni mapambano ya mafichoni dhidi ya mafisadi na viongozi wabovu siyo mitandao ya kijamii,wanaharakati au wanasiasa kwani hawa ndiyo wanaopanga kila leo kubaki madarakani.
  16. Kama mnadai kwamba waandamanaji walianza wizi na uharibifu wa mali ndio wakapigwa risasi basi mafisadi wote nao tuwapige risasi hadi kwao

    Kuna mpuuzi mmoja nimekutana nae anasema eti waandamanaji walianza kupigwa risasi sababu ya wizi. Kama ni hivyo basi majizi yote yalioko serikalini nayo yapigwe risasi hadi nyumbani kwao tena mbele ya familia zao. Ukitumia logic hio yaani kama mtu kuharibu mwendokasi kumefanya apigwe risasi je...
  17. Tuanzeni kususia bidhaa za mafisadi

    Kuna tetesi kwamba waliokufa Ni 3500 na majeruhi Ni 15000. Hivyo tuchukue hatua zifuatazo 1: Hakuna kupanda gari ya fisadi 2: Hakuna kujaza mafuta kwenye Kituo Cha mafuta Cha fisadi. 3:Hakuna kununua bidhaa ya fisadi. 4:Hakuna kuudhuria show za wasaniii machawa lakini pia tumaweza organize...
  18. GE2025 Nchi ambayo vyombo vyote vya dola vinapambana kulinda mafisadi, Gen Z walikuwa sio wa kuachwa peke yao

    Ukiangalia kwa kina JWTZ ilikaa kimya Mgunda hakuwai kuongea chochote wakati watu wanatekwa wakina Soka, Mdude, Kibao na Wengine wakina Polepole lakini ghafla katoka kuja Kukemea maandamano shame on you
  19. F

    Tutakuwa na Tanzania bora, leo hatuna nchi imejaa mafisadi wanajitajirisha wao wenyewe. Tupiganie nchi yetu

    Viongozi wote tuliowaamini wakishirikiana na wezi na mafisadi kama akina Rostam Aziz na wengineo wamemaliza utajiri wa nchi, hawana uchungu na nchi yetu, wakati wananchi wa kawaida wanateseka wanakosa hata jinsi ya kupata matibabu. Hao ndiyo wanaotuua kwa sababu wanaogopa maslahi yao...
  20. shughuli itaanzia 28 hiyo tutakinikusha anajifanya hasikii hakuna amani na mafisadi

    Shughuli itaanzia 28 hiyo tutakinikusha anajifanya hasikii. Hatufanyi amani na wezi watekaji na wauwaji. tarehe 28 tutakinukisha tuirudishe nchi yetu kwenye mstari.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…