madagascar

Madagascar (; Malagasy: Madagasikara), officially the Republic of Madagascar (Malagasy: Repoblikan'i Madagasikara, Malagasy pronunciation: [republiˈkʲan madaɡasˈkʲarə̥]; French: République de Madagascar), and previously known as the Malagasy Republic, is an island country in the Indian Ocean, approximately 400 kilometres (250 miles) off the coast of East Africa. At 592,800 square kilometres (228,900 sq mi) Madagascar is the world's second-largest island country. The nation comprises the island of Madagascar (the fourth-largest island in the world) and numerous smaller peripheral islands. Following the prehistoric breakup of the supercontinent Gondwana, Madagascar split from the Indian subcontinent around 88 million years ago, allowing native plants and animals to evolve in relative isolation. Consequently, Madagascar is a biodiversity hotspot; over 90% of its wildlife is found nowhere else on Earth. The island's diverse ecosystems and unique wildlife are threatened by the encroachment of the rapidly growing human population and other environmental threats.
The archaeological evidence of the earliest human foraging on Madagascar may date up to 10,000 years ago. Human settlement of Madagascar occurred by Austronesian peoples, arriving on outrigger canoes from present-day Indonesia, where the contemporary social and religious situation was that of Hinduism and Buddhism, along with native Indonesian culture. These were joined around the 9th century AD by Bantu migrants crossing the Mozambique Channel from East Africa. Other groups continued to settle on Madagascar over time, each one making lasting contributions to Malagasy cultural life. The Malagasy ethnic group is often divided into 18 or more subgroups, of which the largest are the Merina of the central highlands.
Until the late 18th century, the island of Madagascar was ruled by a fragmented assortment of shifting sociopolitical alliances. Beginning in the early 19th century, most of the island was united and ruled as the Kingdom of Madagascar by a series of Merina nobles. The monarchy ended in 1897 when the island was absorbed into the French colonial empire, from which the island gained independence in 1960. The autonomous state of Madagascar has since undergone four major constitutional periods, termed republics. Since 1992, the nation has officially been governed as a constitutional democracy from its capital at Antananarivo. However, in a popular uprising in 2009, president Marc Ravalomanana was made to resign and presidential power was transferred in March 2009 to Andry Rajoelina. Constitutional governance was restored in January 2014, when Hery Rajaonarimampianina was named president following a 2013 election deemed fair and transparent by the international community. Madagascar is a member of the United Nations, the African Union (AU), the Southern African Development Community (SADC), and the Organisation Internationale de la Francophonie.
Madagascar belongs to the group of least developed countries, according to the United Nations. Malagasy and French are both official languages of the state. The majority of the population adheres to traditional beliefs, Christianity, or an amalgamation of both. Ecotourism and agriculture, paired with greater investments in education, health, and private enterprise, are key elements of Madagascar's development strategy. Under Ravalomanana, these investments produced substantial economic growth, but the benefits were not evenly spread throughout the population, producing tensions over the increasing cost of living and declining living standards among the poor and some segments of the middle class. As of 2017, the economy has been weakened by the 2009–2013 political crisis, and quality of life remains low for the majority of the Malagasy population.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Madagascar Kufanya vipimo 'Polygraph' kwa mawaziri waongo ili kupunguza Rushwa

    Kiongozi wa kijeshi wa Madagascar na Rais, Michael Randrianirina, ametangaza Alhamisi kuwa mtu yeyote atakayeomba kuwa waziri katika serikali mpya atalazimika kufanyiwa kipimo cha mashine ya kugundua uongo (polygraph) ili kuchunguza uwezekano wa rushwa. “Tutaweza kujua nani ni mfisadi na nani...
  2. L

    Karakana ya Luban ya China yachochea maendeleo ya ujuzi kwa vijana nchini Madagascar

    Tangu warsha ya kwanza ya mafunzo ya Luban ilipozinduliwa mwezi Machi 2019 nchini Djibouti, China imeanzisha jumla ya warsha 11 za Luban katika nchi 10 za Afrika. Kwa kuzingatia falsafa ya “kuwapatia nyavu na kuwafundisha uvuvi badala ya kuwapa samaki”, warsha za Luban zimejitahidi kuendeleza...
  3. Nyankurungu2020

    Kumbe vijana waandamanaji walipoimba tunataka iwe kama Madagascar ndio watu wakapigwa risasi ovyo!

    Kitendo cha waandamanaji kuimba na kutaka yaliyotokea Madagascar yatokee hapa Tanzania. Ndio risasi zikawa zinamiminwa hovyo! Hii imenitia hofu. Maana habari za wengi waliofariki sidhani kama walikuwa kwenye maandamano. Mfano yule mwandishi wa Clouds media.
  4. Lord Denning

    GE2025 CDF Mkunda ameamua kusimama dhidi ya wananchi. JWTZ mnajua cha kufanya. Madagascar ni case study nzuri

    Siku zote Jeshi letu lina kiapo Kikuu cha kusimama na Wananchi na Katiba. Wananchi wameamua hawawataki CCM na samia wao na Jeshi linapaswa kusimamia matakwa ya Wananchi. Wananchi wamesema hawautambui uchaguzi maana ulikuwa ni uchafuzi hivyo Jeshi linapaswa kusimama na Wananchi. Dunia inajua...
  5. Agent-47

    Madagascar yamfuta uraia Rais aliyepinduliwa

    Madagascar imemfuta uraia aliyekuwa rais wa nchi hiyo kabla ya kupinduliwa na jeshi. Waziri mkuu, Herintsalama Rajaonarivelo ndiye ametia sahini maamuzi haya ya kihistoria. Habari hii ni kwa mujibu wa BBC --- The order, signed by new Prime Minister Herintsalama Rajaonarivelo, cited local...
  6. Getrude Mollel

    Sababu za Kisaikolojia na Kimuundo Zinazofanya Maandamano Kama ya Kenya, Nepal au Madagascar Yasitokee kwa Tanzania.

    Utulivu wa kisiasa wa Tanzania, ukilinganishwa na nchi nyingine za Afrika na Asia ambazo zimepitia machafuko au mapinduzi ya umma, unatokana na misingi ya kihistoria na mshikamano wa kisaikolojia uliojengeka kwa muda mrefu. Ufuatayo ni uchambuzi wa sababu tano kuu za kisaikolojia na kimuundo...
  7. ngara23

    Yanga nawaomba msitishe mara Moja mpango wa kumleta Coach Rakotondrabe wa Madagascar

    Kama mwanachama anguli wa Yanga, nawaasa acha mara Moja hata kufikiria kumleta Coach Rakotondrabe wa Madagascar kwenye timu yetu maana atafeli hata zaidi ya Folz Mimi ni foundation ya coaching, sisi makocha tunajua ugumu wa coach wa national team kufanya kazi katika vilabu Pili, Ogopa sana...
  8. The Father of All

    Tunajifunza nini toka Madagascar, Malawi, na sasa Kameruni ambako kinaanza kuumana?

    Sina shaka na hili. Tanzania tuna tatizo. Tunafanya uchaguzi bila upinzani. Vyama CCM B vimewekwa baada ya kuhongwa ili kuhalalisha uongo. Ni uchaguzi gani halali wa huru na haki bila Lissu? Ni uchaguzi gani ambapo hata baadhi ya wagombea walijiteua na kukataa hata taratibu za ndani ya chama...
  9. Mkalukungone Mwamba

    Kiongozi wa kijeshi Madagascar, Kanali Michael Randrianirina kuapishwa kesho Oktoba 17, 2025

    Kiongozi mpya wa kijeshi wa Madagascar, Kanali Michael Randrianirina, anatarajiwa kuapishwa kuwa Rais wa taifa hilo siku ya Ijumaa, Oktoba 17, 2025, licha ya upinzani kutoka kwa Umoja wa Afrika (AU), uliosimamisha uanachama wa nchi hiyo kufuatia mapinduzi ya kijeshi yaliyomng’oa madarakani Rais...
  10. Patriot

    Jeshi la Madagascar limechukua Uongozi wa nchi! Eti TV za Bongo wanashindwa kutangaza kwamba

    Kuna watu hovyo wamekazana kusimulia nchi jilani zina vita, machafuko, Oooh Kongo wanateseka, nk. Hadithi kama hizo hujitokeza wakati wa uchaguzi. Mbona hata sisi watu wanatekwa na kupotea? Jana jeshi la Madagascar limechukua uongozi wa nchi. kama kawaida ya BBC Swahili ikawa ni habari kuu. Eti...
  11. Mafyangula

    GE2025 Kiliba: Tumeshuhudia Nepal na Madagascar vijana wameiua nchi yao wenyewe

    Mwenyekiti wa Kampeni ya Kitaifa ya Mama Asemewe Bw. Geofrey Kiliba amesisitiza umuhimu wa kila mmoja kuwajibika kulinda amani ya Tanzania, akitaka pia wale wote wenye maoni na hisia tofauti kutumia njia rafiki za kutaka mabadiliko badala ya maneno ya kichochezi na yenye kuhatarisha amani na...
  12. Mafyangula

    Rais Andry Rajoelina akimbia Madagascar ili kulinda maisha yake kufuatia maandamano ya kitaifa

    Rais Andry Rajoelina amekimbia Madagascar ili kulinda maisha yake kufuatia maandamano ya kitaifa ambayo yalianza mwishoni mwa Septemba. Rajoelina alithibitisha kupitia hotuba ya moja kwa moja kwenye Facebook siku ya Jumatatu kwamba amesafiri kwenda eneo salama, kufuatia ripoti na uvumi kwamba...
  13. Lord Denning

    Maneno Kuntu kutoka Msemaji wa Jeshi la Madagascar " Haya sio Mapinduzi ni Kitendo cha Uwajibikaji"

    Mapema leo mchana Msemaji wa Jeshi la Madagascar Kanali Michael Randriairina alisema maneno kuntu ambayo yatakumbukwa vizazi na vizazi. Maneno hayo ni "Haya sio Mapinduzi, Hiki ni kitendo cha Uwajibikaji" Tukiwq tunaelekea tarehe 29 Oktoba 2025, macho na masikio yetu Watanzania ni kwa Jeshi...
  14. Mafyangula

    ‎Madagascar: Kikosi maalum cha Kijeshi chamwondoa Madarakani Rais Andry Rajoelina

    ‎ Kikosi maalum cha Kijeshi nchini Madagascar cha 'CAPSAT' kimetangaza kuchukua madaraka, kikimwondoa madarakani Rais Andry Rajoelina, baada ya Wabunge katika Bunge la kitaifa kupiga kura ya kumwondoa, licha ya Rais Rajoelina kutangaza kulivunja kabla ya kura kupigwa. ‎Kwa mujibu wa #BBCNews...
  15. The Father of All

    Kwa alichofanya Kapteni Tesha, tunajifunza nini toka Madagascar

    Japo neno kukinukisha linaweza kusababisha mashtaka ya uhaini uchwara, majirani zetu p Pale chini, Madagascar wamekinukisha. Je, ni ajali kuwa kufanya hivyo kumekuja siku chache baada ya Kapteni John Charles Tesha kukinukisha? Rais wao Andry Rajoelina amekimbia nchi baada ya kugundua kuwa the...
  16. Mkalukungone Mwamba

    Rais wa Madagascar aondolewa madarakani na wabunge saa chache baada ya kuvunja bunge

    Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, ameondolewa madarakani kupitia kura ya bunge iliyopitishwa kwa kishindo. Katika kura hizo, wabunge 130 waliunga mkono hoja ya kumng’atua, huku kura moja ikiwa tupu. Hatua hii imejiri saa chache baada ya Rajoelina kulivunja bunge na kukimbia nchi kufuatia...
  17. R

    Rais wa Madagascar avunja Bunge baada ya kukimbia nchi, Upinzani wadai si halali kisheria

    Rais Andry Rajoelina anayekabiliwa na upinzani mkali nchini Madagascar ametangaza kulivunja Bunge la Taifa mara moja Hatua hiyo imekuja muda mfupi baada ya upinzani kutangaza kuwa utaanzisha mchakato wa kumng’oa madarakani kwa madai ya “kuacha wadhifa wake na kukimbia wajibu wake wa kazi”...
  18. Mafyangula

    Ofisi ya Rais wa Madagascar yasema kuna jaribio la kuchukua madaraka kwa nguvu

    Ofisi ya Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, imesema kuwa kuna jaribio la kuchukua madaraka kwa njia isiyo halali na kwa kutumia nguvu nchini humo. Masaa machache baadaye, kikosi cha jeshi kinachojulikana kama CAPSAT kilitangaza kwamba kimechukua uongozi wa kamandi kuu ya jeshi, na sasa...
  19. Carlos The Jackal

    Baada ya CDF kuhongwa Uwaziri Mkuu, Wanajeshi wa Madagascar waungana Rasmi na Wananchi

    https://x.com/marxistJorge/status/1976999644975841453?s=19 "Watoto wetu wanahangaika sana , hayupo hapa Kuwaua wala kuwpaiga .Na sisi pia tunatipitia kile kile wanachopitia watoto wetu.Ni lazima tuwaunge Mkono " . TUSIKUBALI KUHADALIWA KWA PESA AU NAFASI ". Haya ni Maneno ya Hasira na Uchungu...
  20. R

    Madaktari waunga maandamano ya Gen Z Madagascar, Rais aitisha mazungumzo baada ya kupewa muda wa saa 48 na Waandamanaji kuitikisa nchi nzima

    Waandamanaji waliendelea kujitokeza mitaani nchini Madagascar Oktoba 7, 2025, siku moja baada ya Rais Andry Rajoelina kumteua waziri mkuu mpya Jenerali wa Jeshi, katika juhudi za kupunguza mzozo unaoendelea. Katika mji mkuu Antananarivo, hasira zimeenea hadi sekta ya afya, ambapo mamia ya...
Back
Top Bottom