machawa wa ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. east36

    JamiiForums Tanzania Ukweli Mchungu: Machawa wa CCM na uhalisia wa maisha ya mtanzania

    Nauliza kwa dhati kabisa Nauliza swali ambalo wengi wanaogopa kuliuliza waziwazi… Hivi hawa machawa wa CCM wanaishi nchi hii hii tunayoiishi sisi, au wanaishi kwenye dunia yao? Kwa sababu ukweli hauhitaji kupakwa rangi, Maisha yamekuwa magumu kupindukia Vijana hawana ajira Wananchi wanalia...
  2. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Hitimisho: Huwezi kuwa na kitambi alafu ukawa na akili. Ndo mana wamegeuzwa kuwa machawa wa CCM.

    Nimekuwa nikijiuliza sana imekuwaje hawa jamaa wamegeuka ghafla kuwa machawa wa ccm na wapumbavu kupindukia? Badala ya kusimamia maslahi ya wananchi na Taifa sasahivi wanasimamia maslahi ya CCM? Ila sasa nimepata majibu. Angalia mwenyewe! Huwezi kuwa na kitambi alafu ukawa na akili. Askari wa...
  3. Msanii

    JamiiForums Tanzania Je threads na posts za machawa wa CCM mitandaoni zitamuokoa Chura Kiziwi na wenzake kwenye mkono wa ICC

    Nimeona humu jukwaani na huko mitandaoni, machawa pro max wa wauaji wakipambania kampuni yao ya mauaji (CCeM). Wapo maprofesa uchwara, wanahabari, watu maarufu na viongozi. Machawa wa humu tunawafahamu, na wamekuwa wakishambulia kila hoja inayotolewa kuhoji na kukosoa serikali wamekuwa mstari...
  4. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Wasanii na machawa wa CCM wanajipongeza kwa ushindi. Suluhisho ni kuendelea kuwakataa wao na kazi zao zote

    Naona leo wasanii na baadhi ya watu maarufu imekuwa shangwe kubwa sana kwao na kuwananga raia waziwazi. Sasa watu kama hao kimsingi sio wa kujibizana nao, suluhisho ni kuwalia buyu mwanzo mwisho ,hakuna kuwapa attentions. La kwanza kabisa na la msingi zaidi ni ku unfollow, la pili kutocomment...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Upepo ni mkali sana, machawa kuitetea CCM imekuwa mission impossible

    Nawaonea huruma sana Yaan ni ngumu sana kuwatetea hawa watu, roho na nafsi zinawasuta kila kukicha. Tumefika pazuri sana.
  6. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tamaa za muda mfupi zinaondoa utu kwa wasanii wengi na machawa wa CCM na yule mama yao

    Kipindi hiki cha uchaguzi pesa zinamwagwa si mchezo ili kuhakikisha mama yule anapita kwenye uchaguzi mkuu japo hakuna anayeshindana naye. Utu umewatoka wasanii na machawa wa ccm kujifanya hawaoni yanayoendelea nchini, damu za watu zinavyozidi kumwagika wao ndio kwaaaanza wanashangilia na...
  7. Mashamba Makubwa Nalima

    JamiiForums Tanzania Heshima kwa wote hamkuuza utu, mmekaza mpaka mwisho, mnaona matunda?

    Heshima kweni kwa kuwa hamkuwakatia tamaa waTanzania na hiki kizazi. Sasa tunakwenda kupata viongozi wanaoeleweka sio chawa chawa.
  8. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania Baada ya machawa kupigwa chini kwenye mchakato, CCM waja na mkakati wa kuwapitisha tena ndiyo maana wakataka majina mengi yaende juu

    Baada ya wajumbe huku chini kideal vizuri na wale waliokuwa machawa, wazembe na waliongia kwenye nafasi za uongozi kwa kubebwa, CCM imeona haiweziishi bila machawa wameona waje na mpango mwingine wa kuhakikisha wanawapitisha huko juu Ili kudharaulisha na kupuuza maamuzi ya wajumbe kwaiyo...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Tabia za chawa wa CCM

    Tabia zinazohusishwa na baadhi ya "machawa" wa CCM mtandaoni: 1. Kutetea chama bila kuangalia hoja – Hata kama chama kiko wazi kimeteleza, bado hutetea kwa nguvu bila mantiki. 2. Kushambulia wapinzani badala ya kujibu hoja – Mara nyingi hujibu kwa matusi au kejeli badala ya hoja za msingi...
  10. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Bora stars wamefungwa. Maana machawa wa CCM Wamevuka Mipaka kwa propaganda

    Ingetokea wameshinda. Yaani ingekiwa samia Samia samia. Makelele kibao. Kwa kweli tusingepumua. Kwa sasa.CCM hawana agenda maalumu tofauti na propaganda kuhadaa watu. Mara wajishike kwa wasanii. Mara.chadema wanaleta ebora kifupi ni siasa za maji taka. Ila.mambo haya yana mwisho wake hasa...
  11. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenezi CCM Dodoma: Wanaochukia wanaomsifia Rais Samia wana hulka ya roho mbaya

    Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Jawadu Mohamed amesema yeyote anayekerwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kusifiwa kwa maendeleo makubwa aliyoyafanya basi mtu huyo siyo mzalendo na achague kukaa kimya kama hana cha kuzungumza...
  12. Brain Kingdom

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Hivi kweli CCM imefikia hatua ya kupigiwa debe na kutwaliwa na Machawa kama Gari ya Chai Maharage enzi hizo Seriously?

    Is it real? Yaani CCM inabebwa na sura za wasanii akina mwijaku, Dotto toyo, kiredio na mburura wengine, are we serious with our CCM? Shameful strategy, have we become so cheap to this level? Kweli chama kimetekwa? Je, ni uoga au ni ushamba? Je, CCM kila nyakati CCM itakuwa chini mtu ambae yuko...
Back
Top Bottom