maandamano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ukitaka kufahamu kuwa wazee wa maandamano wana akili ndogo kasikilize " space " na "live " zao wakipanga mipango ya maandamano.

    Jana nilisikia space ya Maria , insta live ya Nuru vazi na za TikTok nasikilizaga. Nikichogundua kuwa wako very disorganized yaani hakuna kiongozi watu wanaongea hovyo mpaka wengine wanagombana kabisa. Kuna kundi Wanataka maandamano ya Amani mabango bila fujo huku wengine wakitaka wasipangiwe...
  2. W

    Ombi: Harakati za maandamano zisitishwe

    Ombi langu kwa vijana ni kusitisha harakati zote za maandamano. Maandamano yalishafanyika tena makubwa sana. Ujumbe ulishatumwa. Watawala wameshafahamu kuwa wananchi wameshachoka na uhuni uliokuwa ukifanyika wa mazingaombwe ya kura, ufisadi, uminywaji wa haki, utekaji na mauaji. Watawala...
  3. GenZ chondechonde, wajumbe wa Serikali za Mitaa na vijiji mtawaonea bure kushambulia familia zao. Achaneni na mpango huu

    Hii ni link ya audio video ya GeZ wakijadiliana namna ya kulianzisha tena pengine kabla hata 25/12 na kuendelea.... https://youtu.be/oLG8oqkpG5c?si=8NzhnwgIimcza0Es Kinachopangwa na kujadiliwa ni maandamano ya kuanzia 25/12. Lakini kilichonishitua zaidi mimi si maandamano yenyewe..... Ni kile...
  4. M

    Nguvu ya maandamano imeisha, Serikali tafadhalini sana msituzuie kutoka nje Christmas 25D kama mlichofanya D9.

    Katika sikukuu ya Krismasi, familia nyingi hupata fursa ya kipekee, mara moja tu kwa mwaka, kutoka nje na kukutana na ndugu pamoja na marafiki katika mikusanyiko ya kusherehekea na kufurahia sikukuu hiyo. Litakuwa jambo la kusikitisha sana iwapo tutasikia serikali ikisalimu amri kwa vitisho...
  5. Maandamano yanaishaje? Tarehe 25 barabarani

    Yaani Samia na genge lako mnataka tu maandamano yaishe kirahisi rahisi tu? Wakati ujinga na upumbavu bado unaendelea? Maandamano yaishe Lissu akiwa bado gerezani? Maandamano yaishe Polepole akiwa bado anateswa kigamboni kwenye safehouse? Maandamano yaishe kesi na kamata kamata kwa Watanzania...
  6. Ni kweli maandamano yalianzia kwa Mpina kisesa, na kwa Gwajima Ubungo? Je wako wapi?

    Moja ya kauli aliyowai kuitoa RAIS Samia, ni kuwa adui zake no wale wa kijani na sio vinginevyo hahahaha! Je, ni kweli maandamano upande wa Mwanza yalianzia kisesa kwa Luhaga Mpina? Je, hao walipmdamana walipewa pesa na Mpina? Kwa upande wa Dar mambo yalianzia kwa KANISA la Mzee Gwajima...
  7. Yaliyo Kilimanjaro,hayapo Kanda ya ziwa, maandamano Yao yalibebwa na chuki ,ccm watatoana wenyewe madarakani, Mpina na Gwajima.

    Nipo Kanda ya ziwa, hakika Bado taifa letu halijatulia kamwe, Bado Hali HAIJAWAI sawa sawia kamwe, Bado watu wanachuki kubwa mnooo! Niliyoyaona Kilimanjaro, sio ninayo yaona kwa mkoa wa geita na mwanza wasukuma hawawaelewi watawala, Kanda ya ziwa wanataka doto Biteko kuliko MWIGURU mchemba
  8. K

    Wakulima Brussels wafanya maandamano kwa Matrekta, EU yaahirisha makubaliano

    Mamia ya wakulima wa Ulaya walijaa mitaa ya Brussels wakipinga makubaliano ya kibiashara ya EU-Mercosur trade . Maandamano yaliyoanza kwa utulivu yaligeuka vurugu, waandamanaji walishambulia Polisi kwa mawe, viazi, na kufanya maandamano ya trekta. Polisi walitumia mabomu ya machozi, maji na...
  9. BBC wamelipia tangazo insta kuonyesha maandamano yalivodhibitiwa

  10. M

    TEC naomba muitishe maandamano makubwa kuwakumbuka wote waliotekwa, kuuawa na CCM

    Yawe maandamo ya Amani na siku hiyo ifanyike ibada kubwa .Tena kubwa kabisa. Baada ya maandamano mfanye ibada kubwa . Maandamano haya yawe Tanzania nzima. Muwakumbuke wote bila kubagua dini. Mumkumbe Mzee Ali Kibao na wenzake wote ambao baada ya kutekwa na kuuliwa ilitoka kauli kuwa kifo ni...
  11. Watanzania wote tutarudi barabarani 25D kuna familia hazijapewa miili ya ndugu zao hadi sasa kwa maandamano wata toa

    Watanzania wote tutarudi barabarani 25D kuna familia hazijapewa miili ya ndugu zao hadi sasa kwa maandamano wata toa
  12. Vijana, Hakuna Kuandamana Mpaka Muone Kibali Rasmi Cha Maandamano

    My people, Ni muendelezo ule ule wa makala zetu mbali mbali za kuwakomboa vijana dhidi ya ushawishi wa kufanya maandamano haramu,ambayo madhara yake wote tunayajua Kwa mujibu wa taratibu za nchi yetu,ili maandamano yawe halali au yapate uhalali basi kuna mambo kadhaa au masharti yapate...
  13. Dkt. Mollel: Samia amefanya makubwa halafu kuna Wapumbavu wanasema hakuna alichofanya na wanahamasisha maandamano!

    Aliyekuwa Naibu Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel akizungumza na Wananchi Mkoani Kilimanjaro amesema hakuna Rais aliyefanya makubwa ndani ya miaka minne kama alivyofanya Rais Samia. Upande wa Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema Dkt. Mollel ambaye alikuwa Mbunge wa Jimbo la Siha...
  14. Mifano ya nchi ambazo ziliathirika na vurugu za maandamano

    My people, Machafuko ya Maandamano na Athari Zake: Mifano ya Nchi Tofauti Duniani Maandamano ni njia mojawapo ya wananchi kueleza maoni yao, kudai haki, au kupinga maamuzi ya serikali. Hata hivyo, pale maandamano yanapokosa mwelekeo wa amani, yanaweza kubadilika na kuwa machafuko yenye madhara...
  15. S

    Hamza alikuwa mbele ya wakati, aenziwe kwa kufanya maandamano kila 25 August

    25 August 2021 mwamba mmoja aitwaye Hamza Mohammed aliifunga Dar kwa muda wa masaa 3. Akiwa na leso tu ya kujifutia jasho mkononi mwake, aliweza kuwanyang'anya bunduki polisi kisha kuisimamisha Dar kwa muda. Katika sakata hilo Hamza alifanikiwa kuwapeleka peponi polisi 4, na kuwajeruhi 6...
  16. Maandamano siku ya Christmass ni ujinga,siungi mkono

    Kimsingi mimi binafsi siungi mkono maandamano hasa siku ya sikukuu ya wakristo. Ama sikukuu yoyote ile ya kidini. Inshu ni Kuikataa serikali ya wahuni basi maandamano hayo yalenge sikukuu za umma/serikali ili kudai haki tunazo zihitaji. Acheni waaamini washerekee sikukuu zao kwa utulivu.
  17. Maandamano siku ya Krismas ni mbinu ya watawala kuyaondolea nguvu na hatimaye kuyazika 🇹🇿

    Binafsi naamini huu ni mkakati wa kudhoofisha sauti za wengi: 
Kupanga maandamano siku ambayo ni sikukuu muhimu zaidi ya kidini ni mbinu ya kulipasua kundi la wanaodai mabadiliko, kuwapunguzia nguvu na hatimaye kulizika. Hii nii old trick, usipoweza kuwashinda kwa wingi wao basi watengenezee...
  18. Huenda hizi ndizo baadhi ya sababu zilizowafanya gen z wa Tanzania kuyagomea na kuyapuuza maandamano ya haramu ya Dec.09

    Mnamo dec.9 wanasiasa na wanaharakati wasiojulikana na wanaojulikana lakini wakiwa mafichoni kusikojulikana, walituma mitandao ya kijamii kuhamasisha vijana kufanya maandamo haramu yasioyo na kibali wala malengo mahususi ambayo kwa kiasi kikubwa yalipuuzwa na waTanzania wote hususani vijana, na...
  19. PostGE2025 Gen Z watoa taarifa kuelekea maandamano makubwa Desemba 25 (D25) hadi mwaka mpya wa 2026

    Taarifa kwa Vyombo vya Habari Tunasonga Mbele! Kituo #D25 kuelekea #J1 Itolewe kwa Uharaka Dar es Salaam, 12 Disemba 2025 Na. 028 Tunatambua wazi kwamba Samia Suluhu Hassan kwa kushirikiana na vyombo katili vya ulinzi na usalama na tume batili ya uchaguzi wamefanya uhaini wa kupindua mamlaka...
  20. Jeshi la polisi limegeuka wapotoshaji kulingana na sheria za nchi maandamano hayana kibali, hawa wenzetu wanatumia nini ?

    Jeshi la polisi limegeuka wapotoshaji kulingana na sheria za nchi maandamano hayana kibali, na Kwenye kamusi maandamano ni mkusanyiko sasa kibali cha kufanyia nini kwenye kukusanyika ? Maandamano hayana kibali chochote labda hawa jamaa wananfanya siasa na kuna viashiria vya rushwa kama wanauwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…