UAE, Saudi Arabia, Bahrain, oman & co. hairuhusiwi kusali barabarani ktk nchi karibia zote za kiarabu zilizostaarabika, na ukionekana kwa mfano dubai unakamatwa mara moja kwa kufunga barabara na kubugudhi wengine lkn muslims wa tanzagiza, ulaya au hata USA wanafunga barabara kusali na...